Rais Samia na Waziri Mkuu, hivi hili daraja ndiyo la Bilioni 31?

Rais Samia na Waziri Mkuu, hivi hili daraja ndiyo la Bilioni 31?

Mbona mnaishi kwenye fikra ya Tanzania ya Mwaka 1960 .

Hivi Leo hii bado naibu Waziri, Waziri, Waziri Mkuu na Rais, mnakua wa namna hii ??.

Mimi sio Muandisi, ,ila Hili DARAJA haliwezi gharimu Bilioni 31.


HIVI Kwanini Mungu alimchukua JOHN JOSEPH POMBE ?? KWANINI ??.



Jioneeni wakuu, ili ndo Daraja ambalo Serikali imetumia Bilion 31 , yaan million elfu thelathin na Moja


Mahospital hayana Madawa , Vifaa Tiba hamnaaa, Kuna zahanati Ndani Ndani hukoooo hazina hata Gloves .

Alafu hui ujinga, ndo mtuambie ni Bilion 31?? Bilion??

Au Mimi msukuma niliyezaliwa umasikin huko, ndo Sijui maana ya Hela ??.

Tatizo ni wewe kutokufungwa kamba shingoni, wenzako wanaccm kamba zimewaruhusu.
 
Mbona mnaishi kwenye fikra ya Tanzania ya Mwaka 1960 .

Hivi Leo hii bado naibu Waziri, Waziri, Waziri Mkuu na Rais, mnakua wa namna hii ??.

Mimi sio Muandisi, ,ila Hili DARAJA haliwezi gharimu Bilioni 31.


HIVI Kwanini Mungu alimchukua JOHN JOSEPH POMBE ?? KWANINI ??.



Jioneeni wakuu, ili ndo Daraja ambalo Serikali imetumia Bilion 31 , yaan million elfu thelathin na Moja


Mahospital hayana Madawa , Vifaa Tiba hamnaaa, Kuna zahanati Ndani Ndani hukoooo hazina hata Gloves .

Alafu hui ujinga, ndo mtuambie ni Bilion 31?? Bilion??

Au Mimi msukuma niliyezaliwa umasikin huko, ndo Sijui maana ya Hela ??.

Sikubaliani na daraja hilo kugharimu 31B na simlilii Magufuli kwa sababu pia sikubaliani na daraja la Kigogo-Bisisi kugharimu 700B! Tungejenga kilometer 700 za barabara nzuri ya lami kwa fedha hizo.
 
Hik
Mbona mnaishi kwenye fikra ya Tanzania ya Mwaka 1960 .

Hivi Leo hii bado naibu Waziri, Waziri, Waziri Mkuu na Rais, mnakua wa namna hii ??.

Mimi sio Muandisi, ,ila Hili DARAJA haliwezi gharimu Bilioni 31.


HIVI Kwanini Mungu alimchukua JOHN JOSEPH POMBE ?? KWANINI ??.



Jioneeni wakuu, ili ndo Daraja ambalo Serikali imetumia Bilion 31 , yaan million elfu thelathin na Moja


Mahospital hayana Madawa , Vifaa Tiba hamnaaa, Kuna zahanati Ndani Ndani hukoooo hazina hata Gloves .

Alafu hui ujinga, ndo mtuambie ni Bilion 31?? Bilion??

Au Mimi msukuma niliyezaliwa umasikin huko, ndo Sijui maana ya Hela ??

Hilo ni Daraja la Bilioni 2 tu. Value for money.
 
Mbona mnaishi kwenye fikra ya Tanzania ya Mwaka 1960 .

Hivi Leo hii bado naibu Waziri, Waziri, Waziri Mkuu na Rais, mnakua wa namna hii ??.

Mimi sio Muandisi, ,ila Hili DARAJA haliwezi gharimu Bilioni 31.


HIVI Kwanini Mungu alimchukua JOHN JOSEPH POMBE ?? KWANINI ??.



Jioneeni wakuu, ili ndo Daraja ambalo Serikali imetumia Bilion 31 , yaan million elfu thelathin na Moja


Mahospital hayana Madawa , Vifaa Tiba hamnaaa, Kuna zahanati Ndani Ndani hukoooo hazina hata Gloves .

Alafu hui ujinga, ndo mtuambie ni Bilion 31?? Bilion??

Au Mimi msukuma niliyezaliwa umasikin huko, ndo Sijui maana ya Hela ??.

Tuambie wewe Ni la gharama kiasi gani?

Alimchukua Pombe kwa sababu alikuwa Hana akili.
 
kwani anayefanya haya ni utawala wa nani msije kusingizia vyama pinzani 2025 vilishika madaraka
 
Mwanzoni nilikataa, ila baade nilikubali
 
Sikubaliani na daraja hilo kugharimu 31B na simlilii Magufuli kwa sababu pia sikubaliani na daraja la Kigogo-Bisisi kugharimu 700B! Tungejenga kilometer 700 za barabara nzuri ya lami kwa fedha hizo.

Vipi maamuzi ya kujenga sgr. Tungeweza jenga njia tatu kutoka pwani hadi dodoma na ingekua imeisha
 
Wivu wako wa kijinga, acha kuleta uchokonozi usio na faida ktk maisha yako, fanya utafiti kwa kila unacholalamikia, ovyo kabisa we
Shida ya humu Jf tunajadiliana hata ni vilaza na madebe matupu, kwahiyo unataka kukubali kuwa hilo daraja ni la Billion 30+ ?

Mtu kuhoji ni wivu kwa nani? Pulu wewe.
 
Back
Top Bottom