Kuna demokrasia?ACHA kulia wewe,mtu kaamua kuhamia kwenye Chama chenye demokrasia
Ccm manunuzi....DC juuKapewa bei gani?mkiambiwa chama chenu kinabomoka mnakaza fuvu
Kama am3kubali kununuliwa kosa ka naniCcm manunuzi....DC juu
Kitu mnachokosea nikudhani ni Magufuli ndo alikuwa ananunua,elewa anayenunua ni CCMIt is a pity! sasa 4R zipo wapi?
Kama umefanya hili, kwanini mtu asiseme kwa uhakika kuwa ume sanction matendo mengine ya magufuli kuwateka/kuwaua/na kuwapoteza wapinzani yanayoendelea sasa hivi?
😂😂🤣🤣😂😂Ajiulize Magu yuko wapi.
Mpina aliugua kifafa utotoni,usiamini Sana asemacho,we unaweza mpima Samaki aliyerostiwa kwa rula?!..kasimamishwa bungeni na si CCM, kasimamishwa kwa kuenenda kinyume na taratibu za bungeKuna demokrasia?
**Hujayasikia ya Mpina??
**Hukuyaona ya Ndugai,?
Njaa mbaya sanaaasKamaamkubaku kununuliwa kosa ka nani
Kwani chadema uwa hamumlipi ?Njaa mbaya sanaaas
Amekosa vyeo vyoote....ya CDM siyajui sana ila sasa njaa ileeeKwani chadema uwa hamumlipi ?
Kuna mtu Twitter kasema msigwa kapewa advance ya dola laki tano 🤣🤣. Sina uhakika kama ni kweli au uongo 🤣🤣. Ila dola laki tano ni parefu na bado kuna maokoto mengine yanakuja mifukoni mwakeKapewa bei gani?mkiambiwa chama chenu kinabomoka mnakaza fuvu
Japo maelezo yako yanachekesha, lkn kuna hoja ndani yake. Yule bibi wa bungeni anafanya kazi kwa maelekezo ya ccm.Mpina aliugua kifafa utotoni,usiamini Sana asemacho,we unaweza mpima Samaki aliyerostiwa kwa rula?!..kasimamishwa bungeni na si CCM, kasimamishwa kwa kuenenda kinyume na taratibu za bunge
Anafanya kwa kufuata sheria za bungeJapo maelezo yako yanachekesha, lkn kuna hoja ndani yake. Yule bibi wa bungeni anafanya kazi kwa maelekezo ya ccm.
Mwanasiasa ni mtu wa tamaa sana akikosa cheo ataitafuta balaa......ndo hayoIt is a pity! sasa 4R zipo wapi?
Kama umefanya hili, kwanini mtu asiseme kwa uhakika kuwa ume sanction matendo mengine ya magufuli kuwateka/kuwaua/na kuwapoteza wapinzani yanayoendelea sasa hivi?
Ndiyo kawaida ya chadema kuwawekea wenzao price tag,wao waliponunuliwa kwa 12b na mamvi 2015 hawakubwatuka,waliishia kuzungusha mikono wakidai mabadiliko Lowasa Lowasa mabadilikoKuna mtu Twitter kasema msigwa kapewa advance ya dola laki tano 🤣🤣. Sina uhakika kama ni kweli au uongo 🤣🤣. Ila dola laki tano ni parefu na bado kuna maokoto mengine yanakuja mifukoni mwake