Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
🤣Ndiyo kawaida ya chadema kuwawekea wenzao price tag,wao waliponunuliwa kwa 12b na mamvi 2015 hawakubwatuka,waliishia kuzungusha mikono wakidai mabadiliko Lowasa Lowasa mabadiliko
Bora GenZ wa bongo waendelee kutafuta pisi zenye misambwanda mikubwa 🤣🤣🤣 kila mtu apambane na hali yake.