Rais Samia na wewe unafanya ya Magufuli kuwanunua wapinzani?

Rais Samia na wewe unafanya ya Magufuli kuwanunua wapinzani?

It is a pity! sasa 4R zipo wapi?

Kama umefanya hili, kwanini mtu asiseme kwa uhakika kuwa ume sanction matendo mengine ya magufuli kuwateka/kuwaua/na kuwapoteza wapinzani yanayoendelea sasa hivi?
Azuie watu kutimiza haki zao za kidemokrasia?
 
shortly atateuliwa kuwa waziri or any other high position. La muhimu kama Slaa aliondoka na chadema haikuteteleka, nenda Mchungaji shetani Msigwa
Kwahiyo mnathibitisha kuwa chama chenu ni chama chenye njaa ndio maana mnanunuliwa
 
It is a pity! sasa 4R zipo wapi?

Kama umefanya hili, kwanini mtu asiseme kwa uhakika kuwa ume sanction matendo mengine ya magufuli kuwateka/kuwaua/na kuwapoteza wapinzani yanayoendelea sasa hivi?
Wewe ukienda sokoni ukakuta mtu anauza bidhaa yake kihalali ukiinunua ni kosa?
 
It is a pity! sasa 4R zipo wapi?

Kama umefanya hili, kwanini mtu asiseme kwa uhakika kuwa ume sanction matendo mengine ya magufuli kuwateka/kuwaua/na kuwapoteza wapinzani yanayoendelea sasa hivi?
Hata kipindi cha Magufuli yeye ndiye anaifanya kazi hiyo lakini lawama zilikuwa zikitupiwa mwamba. Wengine wananunuliwa lakini wanabaki ndani ya chama chao
 
shortly atateuliwa kuwa waziri or any other high position. La muhimu kama Slaa aliondoka na chadema haikuteteleka, nenda Mchungaji shetani Msigwa.
Nadhani chadema itateteleka kama siku akiondoka Mbowe, maana huyo ndio nguzo chadema hakuna mbadala wake na ndio maana amekuwa kiongozi hapo kwa miaka yote hii.
 
D
Ni haki yake kikatiba kujiunga na chama anachokipenda ingawaje kwa mtazamo wangu huu haukua wakati muafaka kufanya hivyo!

Je ni kwa sababu ameukosa uenyekiti?

Je amenyimwa haki ya kukata rufaa na chama chake hivyo inaonekana hakuna demokrasia ndani ya chama chake?

Au ndio zile pesa tulizoambiwa zinatembea kwenye chaguzi za CDM nae amelamba halafu jamaa wakamstukia wakamtema mapema?

Anyway, wananchi wanakuaga hawatabiriki. Hiki chama kimewahi kuondokewa na vigogo kadhaa lakini hakijawahi kuanguka labda kiliteleza.

Waliowahi kukihama chama hiki:

Aman Walid Kaburu
Zitto Kabwe
Kitila Mkumbo et al,
Dr. Slaa
Dr.Slaa hakuhama Chama aliachana na siasa za kumwingiza Slaa Madarakani.
 
Back
Top Bottom