Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,941
- 2,081
Anachanga yege na umalaaya huyoKuna demokrasia?
**Hujayasikia ya Mpina??
**Hukuyaona ya Ndugai,?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anachanga yege na umalaaya huyoKuna demokrasia?
**Hujayasikia ya Mpina??
**Hukuyaona ya Ndugai,?
Azuie watu kutimiza haki zao za kidemokrasia?It is a pity! sasa 4R zipo wapi?
Kama umefanya hili, kwanini mtu asiseme kwa uhakika kuwa ume sanction matendo mengine ya magufuli kuwateka/kuwaua/na kuwapoteza wapinzani yanayoendelea sasa hivi?
Kwahiyo mnathibitisha kuwa chama chenu ni chama chenye njaa ndio maana mnanunuliwashortly atateuliwa kuwa waziri or any other high position. La muhimu kama Slaa aliondoka na chadema haikuteteleka, nenda Mchungaji shetani Msigwa
Wewe ukienda sokoni ukakuta mtu anauza bidhaa yake kihalali ukiinunua ni kosa?It is a pity! sasa 4R zipo wapi?
Kama umefanya hili, kwanini mtu asiseme kwa uhakika kuwa ume sanction matendo mengine ya magufuli kuwateka/kuwaua/na kuwapoteza wapinzani yanayoendelea sasa hivi?
Hata kipindi cha Magufuli yeye ndiye anaifanya kazi hiyo lakini lawama zilikuwa zikitupiwa mwamba. Wengine wananunuliwa lakini wanabaki ndani ya chama chaoIt is a pity! sasa 4R zipo wapi?
Kama umefanya hili, kwanini mtu asiseme kwa uhakika kuwa ume sanction matendo mengine ya magufuli kuwateka/kuwaua/na kuwapoteza wapinzani yanayoendelea sasa hivi?
Nadhani chadema itateteleka kama siku akiondoka Mbowe, maana huyo ndio nguzo chadema hakuna mbadala wake na ndio maana amekuwa kiongozi hapo kwa miaka yote hii.shortly atateuliwa kuwa waziri or any other high position. La muhimu kama Slaa aliondoka na chadema haikuteteleka, nenda Mchungaji shetani Msigwa.
Free agent.Na nyie hapo chademani n nani alimnunua Lowassa?
Dr.Slaa hakuhama Chama aliachana na siasa za kumwingiza Slaa Madarakani.Ni haki yake kikatiba kujiunga na chama anachokipenda ingawaje kwa mtazamo wangu huu haukua wakati muafaka kufanya hivyo!
Je ni kwa sababu ameukosa uenyekiti?
Je amenyimwa haki ya kukata rufaa na chama chake hivyo inaonekana hakuna demokrasia ndani ya chama chake?
Au ndio zile pesa tulizoambiwa zinatembea kwenye chaguzi za CDM nae amelamba halafu jamaa wakamstukia wakamtema mapema?
Anyway, wananchi wanakuaga hawatabiriki. Hiki chama kimewahi kuondokewa na vigogo kadhaa lakini hakijawahi kuanguka labda kiliteleza.
Waliowahi kukihama chama hiki:
Aman Walid Kaburu
Zitto Kabwe
Kitila Mkumbo et al,
Dr. Slaa
Yeah time is the best answer