Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo kawaida ya chadema kuwawekea wenzao price tag,wao waliponunuliwa kwa 12b na mamvi 2015 hawakubwatuka,waliishia kuzungusha mikono wakidai mabadiliko Lowasa Lowasa mabadiliko
Hamjaedit hii picha kweli , watu wote hawa wametoka wap
4R na R'....kuhonga vyeoIt is a pity! sasa 4R zipo wapi?
Kama umefanya hili, kwanini mtu asiseme kwa uhakika kuwa ume sanction matendo mengine ya magufuli kuwateka/kuwaua/na kuwapoteza wapinzani yanayoendelea sasa hivi?
Alijiuza hatuna uwezo wa kumnunuaNa nyie hapo chademani n nani alimnunua Lowassa?
AliwanunuaNa nyie hapo chademani n nani alimnunua Lowassa?
Ht msigwa nae amejiuzaAlijiuza hatuna uwezo wa kumnunua
Keshapiga hela zake za chadema anenda kula na za ccm.🤣🤣shortly atateuliwa kuwa waziri or any other high position. La muhimu kama Slaa aliondoka na chadema haikuteteleka, nenda Mchungaji shetani Msigwa
Ni mjinga gani anayeweza kukataa mlungula kama huo? 🤣 🤣 🤣 🤣Kuna mtu Twitter kasema msigwa kapewa advance ya dola laki tano 🤣🤣. Sina uhakika kama ni kweli au uongo 🤣🤣. Ila dola laki tano ni parefu na bado kuna maokoto mengine yanakuja mifukoni mwake
Kwa hiyo mlifanyia nini mpaka akafaAjiulize Magu yuko wapi.
Siyo kuwanunua wapinzani tu,utekaji na mauaji ya wakosoaji yanaendelea kama ilivyo kauli mbiu yake ya kazi iendelee. CCM ni ile ile.It is a pity! sasa 4R zipo wapi?
Kama umefanya hili, kwanini mtu asiseme kwa uhakika kuwa ume sanction matendo mengine ya magufuli kuwateka/kuwaua/na kuwapoteza wapinzani yanayoendelea sasa hivi?
Kwahiyo CCM imebomoka kwa "kuondoka" Mpina? Una akili kiduchuKapewa bei gani?mkiambiwa chama chenu kinabomoka mnakaza fuvu
muulize MunguKwa hiyo mlifanyia nini mpaka akafa
we need to see the way out! Namshauri Mbowe asitishe chaguzi hiz mpaka 2026 baada ya uchaguziSiyo kuwanunua wapinzani tu,utekaji na mauaji ya wakosoaji yanaendelea kama ilivyo kauli mbiu yake ya kazi iendelee. CCM ni ile ile.
Chama sio mtu.sasa mbona mnalia lia?Kwahiyo CCM imebomoka kwa "kuondoka" Mpina? Una akili kiduchu