sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,640
- 11,680
Kama halijaendelezwa magu angefutilia mbali. Mashamba pori yaliyoshikiliwa na wawekezaji kwa muda mrefu ndio yanachelewesha kukua kwa miji.
Utakuta wahusika hawana mpango wa kuendeleza kwa miaka 30 ijayo. Wanataka kuja kuuza.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Utakuta wahusika hawana mpango wa kuendeleza kwa miaka 30 ijayo. Wanataka kuja kuuza.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app