Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Je! Wameeleza mchakato wa ugavi na ununuzi ulivyofanyika? Au ndo yaleyale ya jiwe na bombadia

Watuweke wazi tujue ni shi ngapi, sio watupige hela alafu baadae CAG atulete kumbukumbu zake hatutaki huo mchezo. Msichezee Kodi zetu!!!
Nenda kwenye Website ya Hyundai. Link yake si imewekwa kwenye mada? Utaona kila kitu.
 
Hiyo KTX juu ipo safi, lakini hizo nyingine za chini hapana aise

Hata mimi naona ya juu ni nzuri ila zinapishana bei na sisi naona ndio tumeona bei yetu imefika kwa hizo
Ila sio mbaya maana treni zetu za sasa zina mwendo mdogo sana
Ila hizo at least zinagonga 130m kwa saa na hiyo ya juu ni bullet train nafikiri
 
Hawa Hyundai sijui wanapendewa nini nahisi kuna 10% za wa Msowger humu! Maana yale ma Lift ya Hyundai pale Mloganzila ni mabovu almost 50% of them na hospitali haina hata 10 years toka uzinduzi!

Huo mtreni utakuwa mbovu bovu tu bila shaka! Tunaacha kununua treni za kijapani ama kichina ambao ndio wakali wa hizi kazi mnunue treni la mkorea kweli
 
Jamaa ameleta picha ya nyuma ya Train, mimi sijawahi kufika ulaya ila nazionaga hizo Train kwenye movies na kiuhalisia kwa nyuma ni mbaya zote.hakuna Train nzuri nyuma, kitu cha msingi ni kwamba zinasafirisha watu haraka na kwa usalama
Si kweli. Kaangalie tena hizo movies kwa makini zaidi, alafu ndiyo uje tena uthibitishe hoja yako.
 
Mkuu utamudu kununua treni toleo la kisasa inayoenda kwa supersonic speed iliyotengenezwa na majapan au mkorea? Je, kwa namna miundombinu yetu ya SGR ilivyojengwa inamudu kweli ku operate toleo la kisasa la hizi treni ambazo zinakwenda kasi ya ajabu. Nafikiri pamoja na ubora na kasi lazima wazingatie gharama au bei ya hizo treni, ili angalau kukidhi mahitaji. Huko mbeleni baada ya kukusanya pesa ya kutosha ndo unaweza kuingiza mdogo mdogo matoleo ya kisasa zaidi.......mwanzo mgumu.
 
Hukumbuki jinsi mlivyo mnanga na zile ndege zake za panga boi!
Zile za pangaboi tulizihitaji haraka na kwa wakati ule hatukuwa na Airports nyingi ambazo ndege za jet zingeweza kutua. Bombardier Q400 zinaweza tua kwenye mazingira magumu pia.
 
Bado hatuchelewa wanaweza kurekebisha Ilo. Train zitakuwa tofauti sana na train stations zetu ambazo ziko kisasa. Rekebishani jamani nyie wenye mamlaka, hizo ni za stone age, mostly likely.
Sure.
 
Hizi zenye sura ya nyoka,wanasema zinatumia sana mafuta [emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu acha masihala bwana. Mambo ya mfuta yanakujaje?
 
Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumelaliwa Sana Ndugu Zangu
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji2][emoji1][emoji28][emoji38][emoji28][emoji1][emoji38][emoji2][emoji23]
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…