Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Utawala wa Magufuli na wa Kikwete kwenye usimamizi wa miradi ya serikali upi ulikuwa bora ?Hawa Hyundai sijui wanapendewa nini nahisi kuna 10% za wa Msowger humu! Maana yale ma Lift ya Hyundai pale Mloganzila ni mabovu almost 50% of them na hospitali haina hata 10 years toka uzinduzi!
Huo mtreni utakuwa mbovu bovu tu bila shaka! Tunaacha kununua treni za kijapani ama kichina ambao ndio wakali wa hizi kazi mnunue treni la mkorea kweli
Kwani hizo ni za hii kampuni inayotajwa humu, kwa sababu hatujui muundo wake ndani na uwezo wa injini wanaweza ku-opt yoyote kati ya hizo. Kama mambo mengine mfano bei yapo constant wanaweza kuchanganya design zote kwa idadi sawia au kwa upendeleo wa design moja dhidi ya zingine....kitu kingine wangejitahidi kukamilisha kipande kizima cha SGR kutoka Dar-Dodoma ili hizo treni zianze kuleta manufaa ya haraka.Ni eco-friendly na ni nzuri
Muonekano wake sio mzuri lakini ziko vizuri
Kampuni ni maarufu na ni kubwa hata [emoji631] wana kitengo huko
Siemens walisemekana wanataka kununua hii kampuni ila ikakanushwa
Train zao wameuza sehemu nyingi duniani ikiwamo Australia, turkey na kwingine
Kama vipi zikija tujifunzie hizo ili tutoe copy na bora zaidi
Hizi ni baadhi za trains zao ila tuwaambie watume hizo za juu au mnasemaje maana maamuzi ni sisi tuliomo humu View attachment 1848745
Kweli mkuu hata mimi nina mashaka na hii kampuni ya Hyundai kwenye swala la ubora, vinginevyo wangechanganya na zile za kijapan na kichina...Hawa Hyundai sijui wanapendewa nini nahisi kuna 10% za wa Msowger humu! Maana yale ma Lift ya Hyundai pale Mloganzila ni mabovu almost 50% of them na hospitali haina hata 10 years toka uzinduzi!
Huo mtreni utakuwa mbovu bovu tu bila shaka! Tunaacha kununua treni za kijapani ama kichina ambao ndio wakali wa hizi kazi mnunue treni la mkorea kweli
DaaaahHii imekaa kama kiatu cha fooengo, tunataka ile ya nyoka anateleza shaaa!
Kama used bombardiersEndeleeni kushangilia mnyonga usukani huku mkiletewa makanyaboya kwa bei rahisi
Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!
Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.
Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?
Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?
Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.
That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?
Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?
Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?
Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.
Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!
Hyundai Rotem wins contract to deliver trains to Tanzania - Fuentitech
The 97 cars operate at a top speed of 160km / hr. Credit: HYUNDAI ROTEM COMPANY. South Korean-based company Hyundai Rotem has won a $ 295.65 million (335.4 billion won) contract from the Tanzania Railways Limited (TRC) to deliver eco-friendly rail vehicles. Under the contract, TRC will receive $...fuentitech.com
Kwa Station yetu ya Tanzanite na ile ya Moro? Are you kidding?
Kwani hizo ni za hii kampuni inayotajwa humu, kwa sababu hatujui muundo wake ndani na uwezo wa injini wanaweza ku-opt yoyote kati ya hizo. Kama mambo mengine mfano bei yapo constant wanaweza kuchanganya design zote kwa idadi sawia au kwa upendeleo wa design moja dhidi ya zingine....kitu kingine wangejitahidi kukamilisha kipande kizima cha SGR kutoka Dar-Dodoma ili hizo treni zianze kuleta manufaa ya haraka.
Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!
Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.
Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?
Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?
Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.
That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?
Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?
Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?
Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.
Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!
Hyundai Rotem wins contract to deliver trains to Tanzania - Fuentitech
The 97 cars operate at a top speed of 160km / hr. Credit: HYUNDAI ROTEM COMPANY. South Korean-based company Hyundai Rotem has won a $ 295.65 million (335.4 billion won) contract from the Tanzania Railways Limited (TRC) to deliver eco-friendly rail vehicles. Under the contract, TRC will receive $...fuentitech.com
ShaaaaaaahπHii imekaa kama kiatu cha fooengo, tunataka ile ya nyoka anateleza shaaa!
Hivi si ilikua zije na zianze kazi mwishoni mwa 2019 kulitokea mkwamo gani mpaka ziingie awamu ya sita ?Wanakupa kile kinachoendana na uwezo wako wa kiuchumi. Tube train haiwezi kutumia reli ya 1.435 M hii ni kwa ajili ya Boxcab (Diesel/Electric Locomotives) tu na ndio itakayonunuliwa na TRC. Tube trains kwa Afrika bado tunasubiri sana.
π π π π π π π mwehu ww et bata mzingaTen percent tutapata wapi? acheni chokochoko, Iyo ndo yenyewe iliyo kaa Kama Bata Mzinga, hamtaki panden mabasi, , sura ipo Kama Bata Mzinga aliekosa maji, Safi ipo poa
Ndio mkuu Bata Mzinga, twende ipo poa mkuu, why watu walalamike, kitu Kama Bata mzingaπ π π π π π π mwehu ww et bata mzinga
Treni ya nyoka inatembea 350Km/h hio yenu treni ya batamzinga inatembea 160km/h zilitumika enzi za home alone 1Labla ndo lina special speed kuliko treni nyoka
Mkuu kwa speed ya 350km/hr utaweza ku operate hiyo treni kwenye hii reli yetu ya SGR? au kuna namna njia yake inatengenezwa ili kuepusha maafa kwa raia na mifugo, maana ng'ombe kuvuka reli ni jambo la kawaida sana huku kijijini kwetu.....Treni ya nyoka inatembea 350Km/h hio yenu treni ya batamzinga inatembea 160km/h zilitumika enzi za home alone 1
Sasa mkuu utafanyaje Kama serikali umeamua sikiliza watu primitive,kwamba badala ya kwenda mbele twaludi nyuma,twende na Bata mzingaTreni ya nyoka inatembea 350Km/h hio yenu treni ya batamzinga inatembea 160km/h zilitumika enzi za home alone 1
Mm nadhani treni inategemea na reli yake, labla hiyo itakayoletwa ndio inaendana na reli yetuTreni ya nyoka inatembea 350Km/h hio yenu treni ya batamzinga inatembea 160km/h zilitumika enzi za home alone 1
Sura ya mbele kama viperπππWenye connection na Mr. Kadogosa, mwambieni tunataka vitu vizuri vya dizaini hiyo au zaidi. TUNATAKA BULLET View attachment 1848736