Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Hzo za kisasa bullet train sisi kwa sasa hatuna uwezo wa kununua ni very expensive. Pia running cost yake nikubwa wangeleta hzo tungepiga tena kelele kwemye nauli
Kwani tunahitaji trains ngapi na bei yake ni bilioni au trilioni ngapi?

Kama tunajenga SGR ya matrilio ya pesa, kwa nini tushindwe kuleta treni 10 za hadhi hiyo ya mabilioni ya pesa?
 
Mimi napendekeza, haya ma"ein LoK" yatumike kwenye magari ya mizigo tu; ziletwe aina ya zile nyoka, hata nne tu zitumike kwa mabehewa ya wasafiri.

Naelewa hii inaweza kuongeza gharama, lakini hadhi ya nchi nayo ni ya gharama kubwa. Hatuwezi kuwa tunaendelea kufanya mambo kifukarafukara; tutaendelea kudumaa hivyo hivyo.

Hili pendekezo ningependa tulifikishe TRC walifanyie kazi.

Lakini kabla ya hiyo, ningependa watueleze sababu ya kununua haya "maboksi" yatumike kwenye reli yetu mpya.
[emoji106]
 
Ndugu Ndhani usidhani baada ya Rais kuapishwa March 19 ndo mchakato wa kununua mabehewa hayo ulipoanza. La hasha. Michakato kama hii huanza takribani mwaka mmoja kabla kabla ya ununuzi kufanyika. Hivyo hapa mchakato utakuwa ulianza tangu mwaka jana. It is a long process. Rais Samia amerithi kile kilichoanza na inambidi aendeleze tu.
Nataka kujua specs sio sura nzuri ya treni.
 
Hahahah yani hili ndio ingekuwa gauge iliotengenezewa rails naona ndio ingekuwa convenient zaidi sema sio mbaya hata hizo za 160km/h zitaonesha utofauti mkubwa maana yale majongoo ya diesel ya reli ya kati yanaenda 40km/h sawa na mwendo wa gari ikiwa locked kwenye 3rd gear!

Hizi ICE ni nzuri kwa route ya Dar Mbeya huchoki yani [emoji28][emoji28][emoji28] maana in 3 hours ushafika!
Sawa kabisa.[emoji106]
 
Halafu uzuri alikuwa ana ujanja navyo alikuwa mwanasayansi yule jamaa asingeagiza utopolo namna hio[emoji28][emoji28][emoji28] labda kama ndio the best for our railways ndio akaafiki ila kama kungekuwa na class ya juu zaidi kwa reli zetu angeagiza hio
Kabisa mkuu. Lile jamaa lilikuwa Genius.
Nikuambie siri! Ulaya jamaa akizungumza kitu kwenye Media zao karibu zote za kimataifa unaipata.

Leo hata Journalist wa ZDF au ARD ya wajerumani ukimwuuliza Samia Suluhu Hassan ni nani, hauta pata jibu.

Hayati Rais Magufuli alikuwa simba wa Afrika. Usifanye mchezo. Kwa upande mwingine ameisaidia sana Tanzania kujulikana hasa kwa Wajerumani. Wajerumani wengi kabla ya Magufuli walikuwa hawaijui Tanzania. Nchi iliyo kuwa ikisifika ni Kenya tu kidogo Uganda.

Sasa haku music wowote wa habari unatoka Afrika. Watu wamepooza ile mbaya. Hata waafrika wenzetu wankutoka nchi nyingine wako kimya wakimsikitikia Hayati.

Enzi ya Hayati Magufuli ukienda kwenye mkusanyiko wa waafrika ukijiintroduce wewe mwenyewe kuwa unatoka Tanzani utasikia "Magulification of Afrika".

Aisee! Wewe acha tu. Tumempoteza mwamba.
 
Kabisa mkuu. Lile jamaa lilikuwa Genius.
Nikuambie siri! Ulaya jamaa akizungumza kitu kwenye Media zao karibu zote za kimataifa unaipata.

Leo hata Journalist wa ZDF au ARD ya wajerumani ukimwuuliza Samia Suluhu Hassan ni nani, hauta pata jibu.

Hayati Rais Magufuli alikuwa simba wa Afrika. Usifanye mchezo. Kwa upande mwingine ameisaidia sana Tanzania kujulikana hasa kwa Wajerumani. Wajerumani wengi kabla ya Magufuli walikuwa hawaijui Tanzania. Nchi iliyo kuwa ikisifika ni Kenya tu kidogo Uganda.

Sasa haku music wowote wa habari unatoka Afrika. Watu wamepooza ile mbaya. Hata waafrika wenzetu wankutoka nchi nyingine wako kimya wakimsikitikia Hayati.

Enzi ya Hayati Magufuli ukienda kwenye mkusanyiko wa waafrika ukijiintroduce wewe mwenyewe kuwa unatoka Tanzani utasikia "Magulification of Afrika".

Aisee! Wewe acha tu. Tumempoteza mwamba.
Hahahaha jamaa alikuwa mwamba kweli ila nabii hakubaliki kwao ndio hivyo watu wanaponda ila jamaa ni chuma ambacho hata wazungu walikuwa wanakipigia saluti maana kimesimama imara! Maisha bila kuwa mbishi namna ile hayaendi utayumbishwa sana.
 
Kabisa mkuu. Lile jamaa lilikuwa Genius.
Nikuambie siri! Ulaya jamaa akizungumza kitu kwenye Media zao karibu zote za kimataifa unaipata.

Leo hata Journalist wa ZDF au ARD ya wajerumani ukimwuuliza Samia Suluhu Hassan ni nani, hauta pata jibu.

Hayati Rais Magufuli alikuwa simba wa Afrika. Usifanye mchezo. Kwa upande mwingine ameisaidia sana Tanzania kujulikana hasa kwa Wajerumani. Wajerumani wengi kabla ya Magufuli walikuwa hawaijui Tanzania. Nchi iliyo kuwa ikisifika ni Kenya tu kidogo Uganda.

Sasa haku music wowote wa habari unatoka Afrika. Watu wamepooza ile mbaya. Hata waafrika wenzetu wankutoka nchi nyingine wako kimya wakimsikitikia Hayati.

Enzi ya Hayati Magufuli ukienda kwenye mkusanyiko wa waafrika ukijiintroduce wewe mwenyewe kuwa unatoka Tanzani utasikia "Magulification of Afrika".

Aisee! Wewe acha tu. Tumempoteza mwamba.
Hawa mat.hako wa hapa bongo hawata kuelewa...
 
Nyingi sana mzee baba [emoji23][emoji23][emoji23] ikiuzwa bombadia moja tu tukajazia hela tunaleta design ya nyoka sema tatizo reli hai support
Zile nyoka za mpaka 250 km/h ina support mkuu. Wala usiwe na wasi wasi. Kitu muhimu ni axial weight. Hii ya kwetu inweza beba mpaka Bombardier Double-Deck Coach trains. Treni za gorofa kama mabasi ya gorofa.
SmartSelect_20210711-142636_Gallery.jpg
 
Dah nguvu zimeniishia! Km hayo ma design ya karne ya 19 ndo Kodi zetu zinaenda nunua! Moto wangu hauna amani kabisa! Nilikuwa na matumaini makubwa sana! Kuona vitu vya kisasa Kama kule China, Europe! Mtoa mada nimekata tamaa km wewe!
Mkuu tulia tupigwe ndio bado ana siku 100+
 
Sasa ww ndio unatupa mashaka hata na namna ulivyo kuwa una jibu maswali ya walimu wako woteee waliokufundisha kuanzia primary had elimu yako ya mwisho four 4 kama sikose...anyway tu assume 1st degree ..
EeeenHeee, mbona unajiaibisha mkuu!
 
Juu ya hili kampuni kwa hilo sina shaka kabisa, wameonesha mfano hai pale Mloganzila kwenye lift za Hyundai na Samsung ni chenga tupu lift mbovu mbovu sana! Katika floor yenye lift 3 unakuta 2 mbovu moja ndio nzima!

Nna wasiwasi sana na hizi treni zao kama zitakuwa na ufanisi wa uhakika! Au ndio yataanza mabango ya leo safari ya Dar Moro tutatumia kichwa cha mizigo maana cha kupeleka abiria kimeleta hitilafu kipo chini ya uangalizi wa mafundi!
Kabisa mkuu. Mimi ningependa kumwuuliza Mkurugenzi mkuu Mh. Kadogosa kuhusu nani aliwashauri kuwapa zabuni Hyundai na kwa sababu au vigezo vipi? Kweli haingii akilini. Na nani aliwadanganya kuwa sisi tunahitaji treni za mwengo wa speed hiyo na siyo zaidi mpaka 250 km/h at least?
 
Kabisa mkuu. Mimi ningependa kumwuuliza Mkurugenzi mkuu Mh. Kadogosa kuhusu nani aliwashauri kuwapa zabuni Hyundai na kwa sababu au vigezo vipi? Kweli haingii akilini. Na nani aliwadanganya kuwa sisi tunahitaji treni za mwengo wa speed hiyo na siyo zaidi mpaka 250 km/h at least?
Ndio sielewi hapo ilikuwaje kuwaje bora wangeleta ya 250km/h tu mchezo uishe
 
Acha ushamba Samia hajanunua hizo Bajaj ni bwana yule, fuatilia tender ilikuwaje bwana sukumagang, mnataka kumtwisha mizigo isiyo yake.
Sawa yeye kwa hivi sasa ndiyo Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Ni wajibu wetu kumwuuliza na kutupa jibu ridhishi.

Kama mikataba ilifanyika enzi ya Hayati Rais Magufuli, kwanini leo Hyundai ije na hiyo report na sio huko nyuma? Na kwanini mpaka 2024 ndiyo tuanze kupata treni zetu za kwanza? Inaingia akilini kweli?
 
Back
Top Bottom