Rais Samia: Nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?

Vitabu vya dini ni nadhalia , vya dunia hukum zake zipo wazi kiongozi akizingua
 
Siku hizi sipo active sana humu.

Lakini baada ya kusizikia zile pumba jana, nikasema haiwezekani nikae tu kimya.

Yaani Rais mzima anasimama mbele ya hadhira na kuongea pumba tupu!

Hivi hii katiba iliyomfanya yeye awepo hapo alipo kwenye hiyo nafasi, wakati inaandikwa watu walipewa elimu gani? Nani aliwapa hiyo elimu? Na ulitumika utaratibu gani kutathmini watu wameipata hiyo elimu vya kutosha?

Na walimu wa hiyo elimu walikuwa akina nani?

Tuna Rais mwenye akili ambayo haitoshi kwenye hiyo nafasi….
 
Well Noted Mkuu!!!!
 
Hii kauli ya uyu mama imeniumiza sana , sana , mpaka sasa naitafakari wala sipati jibu, kama kauli hii imewahi tolewa na moja ya watangulizi wake naomna mnijuze,
MUNGU LIVUSHE ILI TAIFA
 
Jibu swali Katiba ndio inaleta maendeleo? Vinginevyo ishia kuokota ma box huko huko hakuna Cha diaspora Tzn
Hebu muulize kwanza huyo sijui ndio mama yenu wa ukubwa kuwa "YUPO HAPO KWA KUPIGIWA KURA AU KATIBA?". Akikujibu muulize katiba ni nini na inatumikaje akikujibu haya utaona wewe au mtoa mada nani ni kiazi na huyo mama yenu asiyokuwa na maana.
 
Hii katiba, ndiyo iliyomsimika mama kuwa Rais wa JMT. Nafikiri aliteleza tu. Tuendelee kumuombea
 
Reactions: Ame
Sawa, haya ni maoni Yako. Ila Samia Suluhu Hassan ndiye Raisi wa Tanzania kwa Sasa na kwa kadri Watanzania walio wengi watakavyoamua, ataendelea tena Hadi 2030.

Hamia au endelea kuishi Huko kwa hao ambao hawana Raisi Bomu.
 
Hata wewe hujui maana ya katiba Mpya kwa nchi yetu! Laiti ungejua, usingemuona mama hajui.

Naona kama amefuzu sawa na JK pale alipoifutilia mbali hoja ya katiba Mpya.

Kwa kukusaidia, lengo kuu la katiba Mpya ni kuondoa madaraka makubwa ya Rais. Fikiria Nani anaweza kukubali wakati ashasema 2025 anagombea!!!!! Hivi nani hajui kuwa CCM inashinda kwa kuiba kura? Akubali uchaguzi huru ili awe mpinzani?

Kweli hamjui maana ya katiba Mpya tukubaliane
 
Naona sasa suala la kwamba wananchi hawana elimu ya katiba ndo litakuwa ‘narrative’ ya CCM kukwepa kujadili hoja za katiba mpya.
Ccm inatumia "wana.nchi wapate elimu kwanza juu ya katiba" kama chaka la kukwepea kuandika katiba mpya. Kwasbb wanajua katiba mpya ikiandikwa hawana chao.

Yapo makurumbembe ndani ya ccm yamekuwa yakipora utashi wa kila rais anayetaka katiba mpya na yanafanikiwa kumpindisha. Tuliyaona kwa Kikwete na Sasa tunayaona kwa Samia
 
Sawa, haya ni maoni Yako. Ila Samia Suluhu Hassan ndiye Raisi wa Tanzania kwa Sasa na kwa kadri Watanzania walio wengi watakavyoamua, ataendelea tena Hadi 2030.

Hamia au endelea kuishi Huko kwa hao ambao hawana Raisi Bomu.
Kwenye uchaguzi ulio wa huru na haki, Samia hatoboi.
 
Hebu muulize kwanza huyo sijui ndio mama yenu wa ukubwa kuwa "YUPO HAPO KWA KUPIGIWA KURA AU KATIBA?". Akikujibu muulize katiba ni nini na inatumikaje akikujibu haya utaona wewe au mtoa mada nani ni kiazi na huyo mama yenu asiyokuwa na maana.
Katiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…