Rais Samia: Nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?

Rais Samia Ni Rais bora kabisa kwa sasa katika Bara la Afrika. Rais Samia hata bila katiba anaweza kuongoza Taifa letu pasipo shida wala taabu ya aina yoyote ile
 
Unajua hata vitani wanatangulizwa juniors. So usishangae kuona vita inakua ngumu. Big brains za CCM zinajua ni akina nani wakikaa pale mbele zenyewe zitaendelea kuifaidi keki ya taifa. Hii sio bahati mbaya, ni mpango. Yaani kama nawaona jamaa wakikaa wwnyewe wanavyomcheka mwenzao.
 
Mama wa nyumbani anazungumza bullshit. Hamna hata logical coherence ya hoja zake. Hata message delivery ni zero. Ni mumbo jumbo tu alichokuwa anahutubia.
Wewe ndiye huna akili kama inavyojionyesha hapa katika maandishi yako .kuwa ni mtu kama mnyama tu asiye na akili wala ufahamu
 
Wewe ndio mwenye uwezo mdogo. Tulikuwa na JPM hapa. Wala hakuwa akiongoza kwa Katiba. Sasa kama una jamii ya watu wasiojua umuhimu wa hiyo Katiba, definitely unahitaji kuelimisha hao watu wajue kuwa Katiba ni nini. Kinyume chake utatumia resources za nchi kutengeneza kitu ambacho hakitatimika. Samia yuko sahihi 💯
 
Kenya wana katiba mpya na bado wanalia kila kama panya kila siku barabarani .
Kwa taarifa yako Kenya tunawazidi eneo la kijiografia, wingi wa watu na ujinga, lakini kuanzia maendeleo, uchumi, demokrasia, elimu, afya , michezo, uhuru wa habari nk wanatuzidi sana. Au unadhani Kenya kuna ujinga wa kukimbiza mwenge kama hapa kwenye nchi ya makondoo?
 
Kama hivyo ndivyo wewe na huyo mama mnamaanisha kua kwakua katiba kitabu hakileti maendeleo siyo kitu Cha Msingi Cha kupewa kipaombele na Kwa Tafsiri yako kuwa kitabu si muhimu ila watu na mifumo iliyoko ndani ya hicho kitabu ndiyo muhimu ila kitabu chenyewe si muhimu. Ndiyo kusema kwamba wewe na yeye mnasema watu na mifumo yao si muhimu ila FIKRA zenu mnazowaza kwa wakati huo ndo MHIMU. Rubbish kabisa

Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
 
Mliozaliwa,mkakua kama miti,mnajijulisha wazi kabisa, mmeona jogoo kisha mkapofuka tena basi imekuwa taaaabu kweli kweli, hakuna cha zaidi ni udini, udini, udini umewajaa tu
Ombeni Mungu 2030 sio mbali umri ukiwepo mtaweka huyo mwenzenu tuone mtakavyokimbiana hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…