Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣 akili za Gitonwasi hizi au balangidaKabla sijausoma naukopi kwanza, Mods wa siku hizi ni wa Kichina
Kufa hata wewe utakufa na yeye atakufa😁 tafuta kingine cha kuniambiaNdo Rais Sasa. Hutaki kufa
Kufa tu, huyo ndo Rais wenu. Mnaye huyo, na mkileta fyokofyoko, Bwana Siwa atawashughulikia ipasavyoKufa hata wewe utakufa na yeye atakufa😁 tafuta kingine cha kuniambia
Nitajie Nchi ya Kiafrica iliyopata maendeleo kisa Katiba MpyaKiazi
Kikwete kwa kuwa sponsor wa huyu bibi alikuwa anajitengenezea namna ya kutengeneza himaya ya kuwarithisha watoto wake!! Baada ya Mangulla kuondoka simuoni mtu mwingine kwenye safu ya uongozi wa ccm atakayeweza kumthibiti Mkwere na genge lake!!Tangu lini Mwanamke akawa Kiongozi?,Mwanamke anafaa akae nyumbani amfulie mumewe,kupika na kuosha vyombo
Kwa hiyo Rais Samia alitaka kusema nini?
Hakuna haja ya kuwa na vitabu vitakatifu au katiba?
Hata tukiwa na hivyo vitabu bado hatupaswi kuvifuata?
Kuna vitu mtu mwenye heshima au mamlaka hupaswi kuvisema mbele za watu, maana ukivisema watu watagundua ujinga ulionao.
Kwani Katiba ya Sasa haileti hayo mazingira mazuri ya kiutawala? Ingekuwa haileti Tanzania ingekuwa unarudi nyuma.Rais ni nani, ama unaona kuwa rais ni kuwa na uelewa sana wa mambo? Huyo ni bogus tu ndio maana ameongea alichoongea. Katiba ni kwa ajili ya kutengeneza mazingira mazuri na madhubuti ya kiutawala na kiungozi ndani ya nchi. Anayesema katiba haileti maendeleo, ni dhahiri uwezo wake ni mdogo, au analeta hila za kitoto kwenye utawala wa nchi.
Jinsia yake haihusiki. Dini yake haihusiki. Sehemu ya Kijiografia anayotokea nayo haihusiki.
Kinachohusika hapa ni uwezo wake mdogo alionao.
Uwezo mdogo wa kiuongozi. Uwezo mdogo wa kuchanganua mambo. Na uwezo mdogo wa kujenga hoja.
Mara kadhaa sasa nimeona ona humu baadhi ya watu wakisema kwamba Rais Samia kaonyesha na kuthibitisha kuwa wanawake hawafai katika nafasi kiuongozi.
Mimi hilo nalikataa. Mtu mmoja mwenye uwezo mdogo si mwakilishi wa wanawake wote nchini wala duniani, kwa ujumla.
Uwezo wake mdogo alionao ni wa kwake yeye tu, Rais Samia.
Kilichonisukuma kuileta hii mada hapa ni yale maoni yake aliyoyatoa hapo jana.
View: https://youtu.be/O8SVrOeYtck?si=zAtsS1VP_q_B5Hmo
Rais anahoji kuwa kwani katiba ndo inaleta maendeleo?
Hivi huyu Rais hajui kuwa katiba ya nchi ndo framework ya uongozi na utawala ulio bora?
Bila uongozi na utawala ulio bora, kuna maendeleo gani yaliyo ya maana yanayoweza kupatikana?
Huo ni uwezo mdogo sana wa kufikiri ambao siutegemei utoke kwa kiongozi aliye wa juu kabisa nchini.
Au labda yeye anadhani maendeleo yanatoka wapi au yanakujaje?
Jingine la ajabu alilolizungumzia ni suala la elimu. Kwamba eti watu walio wengi hawajui hata katiba ni kitu gani. Hivyo ni lazima kwanza watu wapewe elimu kabla ya kuiandika hiyo katiba mpya.
Nilichoking’amua hapo ni ‘projection’ yake yeye kuhusu katiba.
Kulingana na kauli zake kuhusu katiba, nadhani yeye ndo hajui katiba ni kitu gani na hivyo anadhani hata wengine nao hawajui katiba ni nini!
Kenya waliandika katiba mpya mwaka 2010 [kama sijakosea].
Afrika Kusini waliandika katiba mpya baada ya kuachana na sheria za ubaguzi wa rangi kwenye miaka ya 90.
Marekani waliandika katiba yao miaka zaidi ya 200 iliyopita na ambayo wameifanyia marekebisho mara 27.
Sehemu nyingi tu duniani zimeandika katiba mpya na zingine kuzifanyia marekebisho katiba zilizopo.
Ni wapi ambako waliielimisha jamii kwanza kabla ya kuandika mpya?
Afrika Kusini walifanya elimu gani kwa wananchi kabla ya kuandika katiba yao mpya?
Waliwakalisha watu madarasani na kuanza kuwafundisha somo la katiba?
Katiba iliyopo sasa hivi wakati inaandikwa elimu ya katiba ilitolewa na nani? Lini? Wapi?
Naona sasa suala la kwamba wananchi hawana elimu ya katiba ndo litakuwa ‘narrative’ ya CCM kukwepa kujadili hoja za katiba mpya.
Kwa nilichokisikia jana, ni dhahiri shahiri kwamba anayehitaji elimu ya kujua katiba ni nini, ni Rais Samia.
Samia hafai kuwa Rais. Alichaguliwa kuwa mgombea mwenza kwa sababu zingine na si kwa sababu alikuwa ni mtu mwenye uwezo unaofaa.
Tuna Rais bomu ambaye hafai kuwepo madarakani hata kwa sekunde moja.
Nadiriki kusema kuwa Samia ndo Rais bomu kushinda marais wote tuliowahi kuwa nao Tanzania.
We falla nimekusema sema ni Siri yangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 akili za Gitonwasi hizi au balangida
Mwamakula na Warioba wakikunja nyuso ndiyo kiashiria cha katiba mbovu? Kweli hii nchi ina mahayawani wengi, yaani tuangalie uso wa Mwamakula badala ya kuangalia content.?Aliongea pumba tupu!
Uliziona nyuso za Mwamakula na Warioba kamera zilipowaonyesha?
Samia hana hata uwezo wa kujistukia kuwa anachoongea ni pumba.
Mimi sina akili nyingi. Ila nina akili za kutosha walau kujistukia kuwa ninachokiongea ni pumba na hivyo ni bora kunyamaza tu.
Samia hata uwezo huo hana.
Yeye hiyo staha na adabu anayo? Kusema Watanzania hawajui katiba huoni ni kukosa adabu?Kosoa kwa staha na adabu na siyo kutumia lugha kama kichaa na mwendawazimu.
Hebu kamuuliza mpuuzi mwenzio kwamba anaongoza Nchi kwa taratibu zipi?, Au ndio mmebakiza kuhamsisha ushoqer na Kitenge wenu?.Jibu swali Katiba Mpya imeleta maendeleo Nchi gani hapa Africa.
Kunitukana Wala hakupunguzi ujinga wako
Kwa taratibu za Katiba iliyopo ambayo imeivusha Nchi Toka 1961 Hadi Sasa.Hebu kamuuliza mpuuzi mwenzio kwamba anaongoza Nchi kwa taratibu zipi?, Au ndio mmebakiza kuhamsisha ushoqer na Kitenge wenu?.
Sasa watu wakiandika unwell mnasema wanawatukana!! Wenye kujua kingereza someni hayo aliyoandika Ridhwani Kikwete ambae ni naibu Waziri katika serikali ya Samia ; na next time atapewa wizara kamili! Hicho kingereza ni cha mtu mwenye shahada ya sheria kweli? Ni aibu kwa waliomteua kwenye huo wadhifa kwani inaonesha wazi kuwa aliteuliwa sio kwa sababu ya weledi wake bali kwa sababu ya jina la baba yake!! Shame.Uhusiano wa hawa wawili inabidi iwekwe wazi kwa manufaa ya taifa
NDIYONi tafsiri tu ya kile alichokisema...
Mh.Rais anaiheshimu katiba ila haijiendeshi.....inatafsiriwa na BINADAMU na inasimamiwa nao....
Katiba ni jengo ambalo ndani yake kuna shughuli na Maisha ya watu.....
MAENDELEO hufanywa humo ndani ya nyumba na hao binadamu.....
Si katiba itakayoleta hayo MAENDELEO bali ni hao wakazi wa hiyo nyumba.....
Binafsi nimemuelewa mh.Rais SSH [emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app