Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hata katiba iliyopo ingefuatwa vizuri ingekuwa vizuri.Rais Samia amesema " Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza watu tunawageuza watu Makasuku, nenda kamuulize kifungu gani cha Katiba kinakuudhi, hajui sasa Katiba mpya ilete nini anakujibu Maendeleo tu, nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Kama kuheshimu Vitabu tungeheshimu Vitabu Vitakatifu, mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?"
Source: East Africa TV
Nimependa huu Ujumbe na utakuwa ndio Ujumbe bora wa mwezi September!
Mfano wako wa kulinganisha daftarl la kuorodhesha mali na katiba umeonyesha umbumbu mkubwa sana. Daftarl la kuorodhesha mali linakuwa halina muongozo wowote wa mali yako. Lakini katiba inakuwa na muongozo wa nini cha kufanya. Hivyo hakuna mlingano wa daftarl na katibaMali bila Daftari hutumika bila taarifa,nenda kamwambie mama Samiah ajisahihishe hata huo urais kaupata kwa sababu ya Kitabu,bila Kitabu mama Samia asingekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mfano wako wa kulinganisha daftarl la kuorodhesha mali na katiba umeonyesha umbumbu mkubwa sana. Daftarl la kuorodhesha mali linakuwa halina muongozo wowote wa mali yako. Lakini katiba inakuwa na muongozo wa nini cha kufanya. Hivyo hakuna mlingano wa daftarl na katibaMali bila Daftari hutumika bila taarifa,nenda kamwambie mama Samiah ajisahihishe hata huo urais kaupata kwa sababu ya Kitabu,bila Kitabu mama Samia asingekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Maza kapanikKwa hiyo Rais Samia alitaka kusema nini?
Hakuna haja ya kuwa na vitabu vitakatifu au katiba?
Hata tukiwa na hivyo vitabu bado hatupaswi kuvifuata?
Kuna vitu mtu mwenye heshima au mamlaka hupaswi kuvisema mbele za watu, maana ukivisema watu watagundua ujinga ulionao.
MmhHuyu mjinga mnayemwita raisi hivi hapa alikuwa anataka ****'nisha nini
Nafikiri nimekuelewaKwani Historia ni nini zaidi ya kumbukumbu?Unajua John mara nyingine uwe unatumia five senses kuweka mambo sawa.Katika mfumo dume wa nchi nyingi za Afrika na Masharti mengi ya Dini zetu huyo mwanamke asingekuwa Rais bila ya Kitabu anachokidharau.Akumbuke kuwa nchi nyingine Rais akifariki madarakani hufanyika uchaguzi mwingine na watu wanamchagua mtu wanayeona anafaa kwa wakati huo.
Ila Kitabu chetu cha Jamhuri wa Muungano wa Tanzania cha 1977 kilimfanya apate Uraisi wa mbeleko au wa kuokota.Usipende kubeza vitu ambavyo vinakufanya wewe ustawi na familia yako.Bila hicho Kitabu Askari hawawezi kamwe kumlinda.Tafadhari sana jitahidini kuwa wazalendo kuliko kuwa mapuppet.
Kama alijua katiba ni kitabu, kwanini alishika msahafu na kuapa kuilinda katiba? Kama alijua ni kitabu asinge apa kulinda kitabu.Kwa hiyo Rais Samia alitaka kusema nini?
Hakuna haja ya kuwa na vitabu vitakatifu au katiba?
Hata tukiwa na hivyo vitabu bado hatupaswi kuvifuata?
Kuna vitu mtu mwenye heshima au mamlaka hupaswi kuvisema mbele za watu, maana ukivisema watu watagundua ujinga ulionao.
Ni kuchanganyikiwa tusameheaneKwa hiyo Rais Samia alitaka kusema nini?
Hakuna haja ya kuwa na vitabu vitakatifu au katiba?
Hata tukiwa na hivyo vitabu bado hatupaswi kuvifuata?
Kuna vitu mtu mwenye heshima au mamlaka hupaswi kuvisema mbele za watu, maana ukivisema watu watagundua ujinga ulionao.
Vifungu vinavyompa Raisi wa Jamhuri uwezo wa Kisultani.kifungu gani cha Katiba kinakuudh
Karibu Madrasa na Sunday School πππ₯πΌna kabla ya kutimia biblia au QURAN - Sasa tupewe pia elimu ya juvitumia vitabu hivyo
Kwani Urais wa mchongo si aliupata kupitia hichohicho kitabu anachokidharau!Rais Samia amesema " Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza watu tunawageuza watu Makasuku, nenda kamuulize kifungu gani cha Katiba kinakuudhi, hajui sasa Katiba mpya ilete nini anakujibu Maendeleo tu, nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Kama kuheshimu Vitabu tungeheshimu Vitabu Vitakatifu, mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?"
Source: East Africa TV
Nimependa huu Ujumbe na utakuwa ndio Ujumbe bora wa mwezi September!
Au Waingereza wangekataa kutupa Uhuru kwasababu hatuna elimu ya Uhuru na kujitawala ingekuwaje!Hahaha! Hata watu wakiulizwa ni kifungu gani cha sheria au hata bajeti zinazosomwa bungeni wanakijua watajibu nini? Kwa hiyo, wakisema hawajui ina maana hadi hapo watakapojua hivyo vifungu vya sheria au bajeti ndipo serikali itunge sheria au ipeleke bajeti bungeni? Na je nani atapita amuulize kila mtu kupima huo uelewa na pengine mtu akisahau je ina maana hiyo elimu inarudiwa tena?
Hapo sasa.Au Waingereza wangekataa kutupa Uhuru kwasababu hatuna elimu ya Uhuru na kujitawala ingekuwaje!