ABLE04
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 976
- 2,391
Hivi kati ya kauli zake na za yule jamaa wenu nani alitakiwa kutimuka kwy Urais?Ingekuwa nchi za watu wanaojitambua hii kauli ingetosha kumtimua Samia kwenye urais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kati ya kauli zake na za yule jamaa wenu nani alitakiwa kutimuka kwy Urais?Ingekuwa nchi za watu wanaojitambua hii kauli ingetosha kumtimua Samia kwenye urais
Mkubwa nguo ikimteremka huchutamaMali bila Daftari hutumika bila taarifa,nenda kamwambie mama Samiah ajisahihishe hata huo urais kaupata kwa sababu ya Kitabu,bila Kitabu mama Samia asingekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Samahani mkuu sijakuelewa kwakwelichadema wanataka kuligawa taifa kwa vitabu tumewashitukia honge mama kwa kutengua huu mtego mbaya kabisa.
tuko na wewe bega kwa bega
Yaani jana kama tungekuwa na kepteni jasiri kutoka jeshi la wananchi wa Tanzania basi leo angetangaza kuchukua nchi kwa maana Rais tulienae hakuapa kwa mujibu wa katiba aliapa kwa mujibu wake yy mwenyewe hivyo basi apatikane raisi atakayeapa kwa mujibu wa katiba na anatambua umuhimu wa kuapa kwa mujibu wa katiba lkn si huyu mama.Rais Samia amesema " Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza watu tunawageuza watu Makasuku, nenda kamuulize kifungu gani cha Katiba kinakuudhi, hajui sasa Katiba mpya ilete nini anakujibu Maendeleo tu, nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Kama kuheshimu Vitabu tungeheshimu Vitabu Vitakatifu, mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?"
Source: East Africa TV
Nimependa huu Ujumbe na utakuwa ndio Ujumbe bora wa mwezi September!
Yeye kuunda serikali tu ina mshinda kuisimamia tu bandari anaona kama mlima kilimnajaro italuwa ni hiyo katibaRais Samia amesema " Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza watu tunawageuza watu Makasuku, nenda kamuulize kifungu gani cha Katiba kinakuudhi, hajui sasa Katiba mpya ilete nini anakujibu Maendeleo tu, nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Kama kuheshimu Vitabu tungeheshimu Vitabu Vitakatifu, mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?"
Source: East Africa TV
Nimependa huu Ujumbe na utakuwa ndio Ujumbe bora wa mwezi September!
Wamkumbushe kitabu kinachoitwa katiba ndiyo kimemfanya awe rais! Kweli Tanzania tumepata hasara. Ni aibu tupu kusema maneno ya kijinga kama haya yametoka kwenye kinywa cha rais wa nchi.Kwani hivyo vitabu vya dini ni vitakatifu kwa kila mtu, ama ni kwa ajili ya kuleta maendeleo? Inaonekana yeye ndio hajui katiba, hivyo anadhani katiba ni muongozo wa mradi fulani wa uzalishaji mali.
Nyie lini mlichagua mwenyekiti mbali na kuteua mtu mmoja.CHADEMA wamekariri kuwa ukiwa na Katiba Mpya tu maendeleo yanakuja yenyewe tu, hata hawajui wenyewe wana Mwenyekiti wao hataki kuachia Chama, anang'ang'ania tu hatoki, alafu wanadai Demokrasia CCM, wakati wao hawana hata demokrasia chamani kwao, CHADEMA nyoko sana, chama binafsi mali ya Mbowe family shida sana.
Hataki katiba mpya ,hiki chama lazima uwe na some sort of unafiki!Rais Samia amesema " Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza watu tunawageuza watu Makasuku, nenda kamuulize kifungu gani cha Katiba kinakuudhi, hajui sasa Katiba mpya ilete nini anakujibu Maendeleo tu, nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Kama kuheshimu Vitabu tungeheshimu Vitabu Vitakatifu, mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?"
Source: East Africa TV
Nimependa huu Ujumbe na utakuwa ndio Ujumbe bora wa mwezi September!
tena ni ujingana hasara hasa.Wamkumbushe kitabu kinachoitwa katiba ndiyo kimemfanya awe rais! Kweli Tanzania tumepata hasara. Ni aibu tupu kusema maneno ya kijinga kama haya yametoka kwenye kinywa cha rais wa nchi.
Democrasia pia tumeletewa. Tulikuwa na machifu na wafalmeDini tumeletewa. Safi sana Samia.