Rais Samia: Nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?

Rais Samia: Nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?

Kuwa dhaifu sio dhambi ni sifa, ni dhaifu kwenye suala la uongozi hususani wa jamii, mwanamke ni kiumbe anayepaswa kupewa favour sawa na mtoto si mtu wa kumtegemea kwenye maamuzi magumu yenye tija
Rais samia ni shupavu ,imara na madhubuti na ndio maana amelipatia Taifa letu mafanikio na maendeleo makubwa sana ndani ya muda mfupi katika kila Eneo na kila secta.
 
Ya Kenya hayatuhusu. Sisi tunashughulika na matatizo yetu. Acheni ujanja ujanja katiba mpya lazima.
Sisi watanzania tumeridhishwa na kazi kubwa inayofanywa na Rais samia na serikali yake na ndio maana hakuna ambako umeona watanzania wakiandamana kuhitaji habari za katiba mpya .
 
Jinsia yake haihusiki. Dini yake haihusiki. Sehemu ya Kijiografia anayotokea nayo haihusiki.

Kinachohusika hapa ni uwezo wake mdogo alionao.

Uwezo mdogo wa kiuongozi. Uwezo mdogo wa kuchanganua mambo. Na uwezo mdogo wa kujenga hoja.

Mara kadhaa sasa nimeona ona humu baadhi ya watu wakisema kwamba Rais Samia kaonyesha na kuthibitisha kuwa wanawake hawafai katika nafasi kiuongozi.

Mimi hilo nalikataa. Mtu mmoja mwenye uwezo mdogo si mwakilishi wa wanawake wote nchini wala duniani, kwa ujumla.

Uwezo wake mdogo alionao ni wa kwake yeye tu, Rais Samia.

Kilichonisukuma kuileta hii mada hapa ni yale maoni yake aliyoyatoa hapo jana.


View: https://youtu.be/O8SVrOeYtck?si=zAtsS1VP_q_B5Hmo

Rais anahoji kuwa kwani katiba ndo inaleta maendeleo?

Hivi huyu Rais hajui kuwa katiba ya nchi ndo framework ya uongozi na utawala ulio bora?

Bila uongozi na utawala ulio bora, kuna maendeleo gani yaliyo ya maana yanayoweza kupatikana?

Huo ni uwezo mdogo sana wa kufikiri ambao siutegemei utoke kwa kiongozi aliye wa juu kabisa nchini.

Au labda yeye anadhani maendeleo yanatoka wapi au yanakujaje?

Jingine la ajabu alilolizungumzia ni suala la elimu. Kwamba eti watu walio wengi hawajui hata katiba ni kitu gani. Hivyo ni lazima kwanza watu wapewe elimu kabla ya kuiandika hiyo katiba mpya.

Nilichoking’amua hapo ni ‘projection’ yake yeye kuhusu katiba.

Kulingana na kauli zake kuhusu katiba, nadhani yeye ndo hajui katiba ni kitu gani na hivyo anadhani hata wengine nao hawajui katiba ni nini!

Kenya waliandika katiba mpya mwaka 2010 [kama sijakosea].

Afrika Kusini waliandika katiba mpya baada ya kuachana na sheria za ubaguzi wa rangi kwenye miaka ya 90.

Marekani waliandika katiba yao miaka zaidi ya 200 iliyopita na ambayo wameifanyia marekebisho mara 27.

Sehemu nyingi tu duniani zimeandika katiba mpya na zingine kuzifanyia marekebisho katiba zilizopo.

Ni wapi ambako waliielimisha jamii kwanza kabla ya kuandika mpya?

Afrika Kusini walifanya elimu gani kwa wananchi kabla ya kuandika katiba yao mpya?

Waliwakalisha watu madarasani na kuanza kuwafundisha somo la katiba?

Katiba iliyopo sasa hivi wakati inaandikwa elimu ya katiba ilitolewa na nani? Lini? Wapi?

Naona sasa suala la kwamba wananchi hawana elimu ya katiba ndo litakuwa ‘narrative’ ya CCM kukwepa kujadili hoja za katiba mpya.

Kwa nilichokisikia jana, ni dhahiri shahiri kwamba anayehitaji elimu ya kujua katiba ni nini, ni Rais Samia.

Samia hafai kuwa Rais. Alichaguliwa kuwa mgombea mwenza kwa sababu zingine na si kwa sababu alikuwa ni mtu mwenye uwezo unaofaa.

Tuna Rais bomu ambaye hafai kuwepo madarakani hata kwa sekunde moja.

Nadiriki kusema kuwa Samia ndo Rais bomu kushinda marais wote tuliowahi kuwa nao Tanzania.

Hili suala nimelisema toka 2021. Huyu mtu ana upeo mdogo na ataleta machafuko kwenye hii Nchi sababu ana madaraka.
 
Wa kulaumiwa ni JPM Mungu amlipe anayostahiki. Mabeyo alihakikisha katiba inafuatwa. Usijis

ahaulishe. Kama 2020 hukuwa umezaliwa, waulize waliokuzidi umri au angalau pitia yaliyoandikwa. Si huwa munajinasibu ni wasomi? Na huu ndo usomi wenyewe?
JPM alikuwa mwendawazimu akatuachia kichaa
 
Sisi watanzania tumeridhishwa na kazi kubwa inayofanywa na Rais samia na serikali yake na ndio maana hakuna ambako umeona watanzania wakiandamana kuhitaji habari za katiba mpya .
Sema wewe umeridhishwa watanzania hawajakutuma ukae hapo nyuma ya keyboard uandike haya.
 
Hili suala nimelisema toka 2021. Huyu mtu ana upeo mdogo na ataleta machafuko kwenye hii Nchi sababu ana madaraka.
Huna akili wewe .Upeo wa Rais wetu ni mkubwa sana .ana maono makubwa sana ndio maana kwa maono yake makubwa tumeweza kuvuka mitihani mikubwa kama Taifa.Tumejenga misingi mizuri ya uchumi isiyotetereka wala kutikiswa ambayo imeleta matokeo chanya katika maisha ya watanzania.
 
Kuna mdau humu jf alitoa komenti na kusema kwamba , wakati marais wanaogombea wanaangaliwa sana, ila pia waangaliwe wagombea wenza watakaogombea nao. Ile komenti ilinitafakarisha sana. Na pia mtaani kuna mdau fulani hivi mwenye access na huko serikalini alisema huyu hakuwa favorable kwa uncle ,ila ndio hivyo alijikuta ndio runningmate wake aliopendekezwa. Kuna moments nikijaribu kuzi combine together kipindi cha magufuli yawezekana ni kweli
 
Kenya wana katiba mpya na bado wanalia kila kama panya kila siku barabarani .
Wewe unawezaje linganisha Kenya na tz katika utawala bora , hata kama yapo mapungufu, na kiuchumi je ,

Muwe mnajieshimu , mna mambo ya kipumbavu sana mkidhan mnamjenga ,kumbe mnampeleka shimoni, wanafiki wakubwa , ni nyie tu akiondoka madarakani ndo mtakuwa wa kwanza mpiga mawe
 
Jinsia yake haihusiki. Dini yake haihusiki. Sehemu ya Kijiografia anayotokea nayo haihusiki.

Kinachohusika hapa ni uwezo wake mdogo alionao.

Uwezo mdogo wa kiuongozi. Uwezo mdogo wa kuchanganua mambo. Na uwezo mdogo wa kujenga hoja.

Mara kadhaa sasa nimeona ona humu baadhi ya watu wakisema kwamba Rais Samia kaonyesha na kuthibitisha kuwa wanawake hawafai katika nafasi kiuongozi.

Mimi hilo nalikataa. Mtu mmoja mwenye uwezo mdogo si mwakilishi wa wanawake wote nchini wala duniani, kwa ujumla.

Uwezo wake mdogo alionao ni wa kwake yeye tu, Rais Samia.

Kilichonisukuma kuileta hii mada hapa ni yale maoni yake aliyoyatoa hapo jana.


View: https://youtu.be/O8SVrOeYtck?si=zAtsS1VP_q_B5Hmo

Rais anahoji kuwa kwani katiba ndo inaleta maendeleo?

Hivi huyu Rais hajui kuwa katiba ya nchi ndo framework ya uongozi na utawala ulio bora?

Bila uongozi na utawala ulio bora, kuna maendeleo gani yaliyo ya maana yanayoweza kupatikana?

Huo ni uwezo mdogo sana wa kufikiri ambao siutegemei utoke kwa kiongozi aliye wa juu kabisa nchini.

Au labda yeye anadhani maendeleo yanatoka wapi au yanakujaje?

Jingine la ajabu alilolizungumzia ni suala la elimu. Kwamba eti watu walio wengi hawajui hata katiba ni kitu gani. Hivyo ni lazima kwanza watu wapewe elimu kabla ya kuiandika hiyo katiba mpya.

Nilichoking’amua hapo ni ‘projection’ yake yeye kuhusu katiba.

Kulingana na kauli zake kuhusu katiba, nadhani yeye ndo hajui katiba ni kitu gani na hivyo anadhani hata wengine nao hawajui katiba ni nini!

Kenya waliandika katiba mpya mwaka 2010 [kama sijakosea].

Afrika Kusini waliandika katiba mpya baada ya kuachana na sheria za ubaguzi wa rangi kwenye miaka ya 90.

Marekani waliandika katiba yao miaka zaidi ya 200 iliyopita na ambayo wameifanyia marekebisho mara 27.

Sehemu nyingi tu duniani zimeandika katiba mpya na zingine kuzifanyia marekebisho katiba zilizopo.

Ni wapi ambako waliielimisha jamii kwanza kabla ya kuandika mpya?

Afrika Kusini walifanya elimu gani kwa wananchi kabla ya kuandika katiba yao mpya?

Waliwakalisha watu madarasani na kuanza kuwafundisha somo la katiba?

Katiba iliyopo sasa hivi wakati inaandikwa elimu ya katiba ilitolewa na nani? Lini? Wapi?

Naona sasa suala la kwamba wananchi hawana elimu ya katiba ndo litakuwa ‘narrative’ ya CCM kukwepa kujadili hoja za katiba mpya.

Kwa nilichokisikia jana, ni dhahiri shahiri kwamba anayehitaji elimu ya kujua katiba ni nini, ni Rais Samia.

Samia hafai kuwa Rais. Alichaguliwa kuwa mgombea mwenza kwa sababu zingine na si kwa sababu alikuwa ni mtu mwenye uwezo unaofaa.

Tuna Rais bomu ambaye hafai kuwepo madarakani hata kwa sekunde moja.

Nadiriki kusema kuwa Samia ndo Rais bomu kushinda marais wote tuliowahi kuwa nao Tanzania.

Una akili sana. Huyu ni rais jina tu.
 
Mama wa nyumbani anazungumza bullshit. Hamna hata logical coherence ya hoja zake. Hata message delivery ni zero. Power of conviction ni zero pia. Ni mumbo jumbo tu alichokuwa anahutubia. All in all ni zero from start to finish.
 
Back
Top Bottom