chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,079
- 3,550
Mpaka mwisho wa thread hiyo saa haijasemwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo zengwe la Songwe kumbe alisingiziwa?Huyu Simalenga anawindwa sana,alishaandaliwa zengwe la kumpiga mtoto wa kike ikaja kuonekana ule mchezo ulipangwa, akaachwa.
Naona bado mawindo dhidi yake yanaendelea, ngoja tuone safari hii kama atapona tena.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Unatumia mantiki gani kusema ni lazima umsapoti aliekuteua hata kama kakosea na ulijuaje anajadili saa ya bosi wake bila wewe kuwa sehemu ya huo mjadala. Mwisho ni uthibitisho gani unaoonyesha kwamba hawakubali wanawake katika uongozi.Rais Wa Jamhuri Samia Hassan, naomba umpangie kazi nyingine Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, Simon Simalenga sababu anakudhalilisha na kukuharibia. Anafanya watu wakuone kwamba huna maamuzi hata mteule wako anapoenda kinyume na maadili. Ni moja ya watu wanaoamini Mwanamke hawezi kuongoza Nchi. Pamoja na madhaifu mengine, naomba ufuatilie, kama kweli ukikuta kaingia kwenye mkumbo wa kujadili saa uliyovaa, hafai kuwa msaidizi wako.
View attachment 2911020
Mkuu wa Wilaya unatakiwa Uwe upande wa mtu aliyekuteua hataka kama kakosea. Ni jambo la lawaida kimaadili. Sio umshushue.
Kumbuka Kawafukuza Waandishi wa habari kwamba wasimuingilie kwenye majukumu. Hataki kuhojiwa chochote kuhusu Wilaya yake. Anataka akuandalie taarifa akupe sio wewe umuulize swali au Ufafanuzi.
Kwakuwa ameonesha kutokutaka kushirikiana na Mhimili wa nne vyombo vya habari, ana haja gani ya kuendelea kukalia hicho kiti. Kwanza hakuna Mwandishi ambaye angemuuliza mambo ya Saa, watu walikuwa wanafuatilia kikao cha District Consultative Council (DCC).
Pia kashindwa kuwasaidia Wachimbaji wadogo. Licha ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde kuagiza Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika Mgodi wa Ikinibushiu, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wapewe leseni na wasiondolewe wala kunyanyaswa ikiwemo kuhakikisha haki zao zinalindwa, Hadi leo hajawasaidia kwa chochote na wachimbaji hao wanalamikia vitendo vinavyofanywa na watu waliyopatiwa leseni za kumiliki eneo hilo kwa kutaka kuchukua maduara yao na kuwaondoa. Mkuu wa Wilaya yupo Kimya.
PIa TAKUKURU imchunguze
Ni ajabu nchi hii , hivi huyu SIMALENGA alipataje uteuzi wa kuwa DC?Rais Wa Jamhuri Samia Hassan, naomba umpangie kazi nyingine Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, Simon Simalenga sababu anakudhalilisha na kukuharibia. Anafanya watu wakuone kwamba huna maamuzi hata mteule wako anapoenda kinyume na maadili. Ni moja ya watu wanaoamini Mwanamke hawezi kuongoza Nchi. Pamoja na madhaifu mengine, naomba ufuatilie, kama kweli ukikuta kaingia kwenye mkumbo wa kujadili saa uliyovaa, hafai kuwa msaidizi wako.
View attachment 2911020
Mkuu wa Wilaya unatakiwa Uwe upande wa mtu aliyekuteua hataka kama kakosea. Ni jambo la lawaida kimaadili. Sio umshushue.
Kumbuka Kawafukuza Waandishi wa habari kwamba wasimuingilie kwenye majukumu. Hataki kuhojiwa chochote kuhusu Wilaya yake. Anataka akuandalie taarifa akupe sio wewe umuulize swali au Ufafanuzi.
Kwakuwa ameonesha kutokutaka kushirikiana na Mhimili wa nne vyombo vya habari, ana haja gani ya kuendelea kukalia hicho kiti. Kwanza hakuna Mwandishi ambaye angemuuliza mambo ya Saa, watu walikuwa wanafuatilia kikao cha District Consultative Council (DCC).
Pia kashindwa kuwasaidia Wachimbaji wadogo. Licha ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde kuagiza Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika Mgodi wa Ikinibushiu, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wapewe leseni na wasiondolewe wala kunyanyaswa ikiwemo kuhakikisha haki zao zinalindwa, Hadi leo hajawasaidia kwa chochote na wachimbaji hao wanalamikia vitendo vinavyofanywa na watu waliyopatiwa leseni za kumiliki eneo hilo kwa kutaka kuchukua maduara yao na kuwaondoa. Mkuu wa Wilaya yupo Kimya.
PIa TAKUKURU imchunguze
Wanapewa chawaHata kimuonekano tu hiyo nafasi ni kubwa kwake
Walimjaza mtoto wa kike plasta uso wote kumbe hakuna alichofanywa, usanii tu.Hilo zengwe la Songwe kumbe alisingiziwa?
Anaendelea kuigiza!Dah kweli mtu sio nyau ..
Huyu simalenga si alikuwa muigizaji wa kundi la KAOLE , Sasa hv eti nae kawa DC
Sijaona issue ya kiongozi mwanamke imeingiajeRais Wa Jamhuri Samia Hassan, naomba umpangie kazi nyingine Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, Simon Simalenga sababu anakudhalilisha na kukuharibia. Anafanya watu wakuone kwamba huna maamuzi hata mteule wako anapoenda kinyume na maadili. Ni moja ya watu wanaoamini Mwanamke hawezi kuongoza Nchi. Pamoja na madhaifu mengine, naomba ufuatilie, kama kweli ukikuta kaingia kwenye mkumbo wa kujadili saa uliyovaa, hafai kuwa msaidizi wako.
View attachment 2911020
Mkuu wa Wilaya unatakiwa Uwe upande wa mtu aliyekuteua hataka kama kakosea. Ni jambo la lawaida kimaadili. Sio umshushue.
Kumbuka Kawafukuza Waandishi wa habari kwamba wasimuingilie kwenye majukumu. Hataki kuhojiwa chochote kuhusu Wilaya yake. Anataka akuandalie taarifa akupe sio wewe umuulize swali au Ufafanuzi.
Kwakuwa ameonesha kutokutaka kushirikiana na Mhimili wa nne vyombo vya habari, ana haja gani ya kuendelea kukalia hicho kiti. Kwanza hakuna Mwandishi ambaye angemuuliza mambo ya Saa, watu walikuwa wanafuatilia kikao cha District Consultative Council (DCC).
Pia kashindwa kuwasaidia Wachimbaji wadogo. Licha ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde kuagiza Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika Mgodi wa Ikinibushiu, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wapewe leseni na wasiondolewe wala kunyanyaswa ikiwemo kuhakikisha haki zao zinalindwa, Hadi leo hajawasaidia kwa chochote na wachimbaji hao wanalamikia vitendo vinavyofanywa na watu waliyopatiwa leseni za kumiliki eneo hilo kwa kutaka kuchukua maduara yao na kuwaondoa. Mkuu wa Wilaya yupo Kimya.
PIa TAKUKURU imchunguze