Rais Samia, Naomba umpangie kazi nyingine DC Simon Simalenga. Anakuchafua

Unatumia mantiki gani kusema ni lazima umsapoti aliekuteua hata kama kakosea na ulijuaje anajadili saa ya bosi wake bila wewe kuwa sehemu ya huo mjadala. Mwisho ni uthibitisho gani unaoonyesha kwamba hawakubali wanawake katika uongozi.
 
Ni ajabu nchi hii , hivi huyu SIMALENGA alipataje uteuzi wa kuwa DC?

Nchi INAKERA sana , mtu kama Hana sifa za uongozi, ni corrupt government tu ndio inaweza mteua
 
Dah kweli mtu sio nyau ..

Huyu simalenga si alikuwa muigizaji wa kundi la KAOLE , Sasa hv eti nae kawa DC
 
Anaonekana sharobaro!
Ukitafuta wateule wa mama anaefanya kazi kwa weledi na uzalendo sidhani kama ktk 100 utapata 5!
Anyway, ndio ccm wenyewe hao!
 
Pumbavu ninyi media!

Sasa kama maafisa usalama walimshauri Mh DC asiwaruhusu kwenye kikao mlitaka aupuuze huo ushauri halafu afuate wa kwenu?
 
Sijaona issue ya kiongozi mwanamke imeingiaje

Majungu ni Mengi na inawezekana wewe una chuki binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…