Rais Samia ni Mkakamavu na Shupavu Utafikiri Ametoka Kumaliza na kufuzu Mafunzo ya Ukomandoo

Machawa ndio waliojaa msongo wa mawazo. Huwezi.kua na akili za hivi halafu ujione uko timamu aisee.Ni Aibu kubwa kuwa na taifa lenye vijana machawa ni aibu
Mimi nilishasema kuwa mimi siyo chawa bali ni mzalendo na msema kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…