Rais Samia ni Mkakamavu na Shupavu Utafikiri Ametoka Kumaliza na kufuzu Mafunzo ya Ukomandoo

Rais Samia ni Mkakamavu na Shupavu Utafikiri Ametoka Kumaliza na kufuzu Mafunzo ya Ukomandoo

Chunga Maneno Yako Wakati Wa Jiwe
Walisema Anachapa Kazi, Mnataka Kumuona Magomeni
Kumbe Tayari Mambo Magumu Tu

Endelea Na Ukakamavu Tu
 
Yaan nyuzi zako wewe Lucas Mashabwa zinachafuaga hali ya hewa.
Utadhani ni vile watu mmetulia na stori zenu af anakuja mtu aliyeshiba maharage yaliyoungulia af anaachia bonge la shuuzi.
 
Yaan nyuzi zako wewe Lucas Mashabwa zinachafuaga hali ya hewa.
Utadhani ni vile watu mmetulia na stori zenu af anakuja mtu aliyeshiba maharage yaliyoungulia af anaachia bonge la shuuzi.
Mimi naandikia wenye akili Timamu na wanaojitambua na wanatambua kazi kubwa iliyofanywa na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
 
Chawa tu wewe. Uzalendo wa mtu hupimwa kwa matendo yake,wewe matendo yako hapa jukwaani ni kumsifia na kumtukuza samia tu,na huu ndiyo uchawa wenyewe.
Mimi naongea ukweli na uhalisia na siyo kusifia na kuimba pambio kama kasuku.
 
Back
Top Bottom