Rais Samia ni Mkakamavu na Shupavu Utafikiri Ametoka Kumaliza na kufuzu Mafunzo ya Ukomandoo

Rais Samia ni Mkakamavu na Shupavu Utafikiri Ametoka Kumaliza na kufuzu Mafunzo ya Ukomandoo

Lucas mwashabwaa naomba kuwa Chawa kama wewe,kiukwelii kwenye hii kazi ya uchawaa umefikia kwenye kiwango Cha CHAWA MWANDAMIZI tatizo lako ni moja tuu HUNA AKILII kichwani kwako humo Kuna matopee yamejaaa.
Naomba serikali yetu chini ya rais wetu kipenzii mhe.Samia Suluhu Hassan ikupelekee India ukatibiwee kwa sababu kwa ugonjwa wako hapa Tz huwezii kutibiwaa na sisi wanajf tutabubunjikwaa na machozi ya furahaa.
Nimekusamehe bure kabisa kwa sababu hujui ulitendalo
 
Katiba mpya Tume HURU halafu ndio tumsifie Raisi Samia Suluhu kwanini inakuwa ni vigumu sana?!
Kwani kuna jambo gani unaloona limekwama hapa Nchini kwa sababu ya katiba? Mbona mambo yote yanakwenda vyema na vizuri kabisa kwa katiba hii hii tuliyonayo.
 
Mbona Wazir Kingo Kama anadundika 😥😰🤔😂?!

🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️💨
 
Lucas mwashabwaa naomba kuwa Chawa kama wewe,kiukwelii kwenye hii kazi ya uchawaa umefikia kwenye kiwango Cha CHAWA MWANDAMIZI tatizo lako ni moja tuu HUNA AKILII kichwani kwako humo Kuna matopee yamejaaa.
Naomba serikali yetu chini ya rais wetu kipenzii mhe.Samia Suluhu Hassan ikupelekee India ukatibiwee kwa sababu kwa ugonjwa wako hapa Tz huwezii kutibiwaa na sisi wanajf tutabubunjikwaa na machozi ya furahaa.
Unajitekenya, unacheka mwenyewe 😃… wanaoelewa wakisoma Huu upuuzi wako wa nakuona wewe ndo chizi sasa 😂
 
Hivi binadamu anakuwa amepatwa na ugonjwa gani hasa hadi akili zinakuwa za aina hii kinyume na binadamu wengine wanavyofikiri?
Huyo aliyesifiwa ukomandoo nina uhakika katika pitapita yake mtandaoni akikutana na thread kama hii hata kuisoma hataisoma maana anajua imejaa upumbaf mtupu, haina ukweli wala mvuto.
Lucas, punguza uchawa bwana! This is JF the home of great thinkers kwa nini uwajazie threads za kidwanzi?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nchi na Maendeleo ya Nchi yoyote ile yanaanza kwanza kujengwa kichwani na ndipo yawekwe katika karatasi na hatimaye utekelezaji. Hata nyumba inajengwa kwanza kichwani kabla ya kuwekwa tofali. Hata dereva anaye endesha gari anapaswa kupita kwanza yeye kiakili na ndipo chombo kipite. Kwa hiyo ukiona Taifa lina maendeleo na limepiga hatua za kimaendeleo ujue kuwa kuna viongozi ambao waliwaza kichwani na kuwa na picha kubwa na ndipo wakaleta maono hao katika utekelezaji.

Ukiona mtu anakufa kwa kiu akiwa katikati ya ziwa au mto basi ujue tatizo lipo ni kichwani na siyo kifo kwa sababu kama kifo kingezuiwa ikiwa angewaza kichwani juu ya kunywa maji yaliyomzunguka. Maendeleo Makubwa ya Taifa letu ni matokeo chanya ya akili za viongozi wetu. Ndio sababu Taifa linapaswa kuongozwa na watu wenye akili kubwa na walio timamu kiakili na kimwili na wenye maono ya miaka mia mbele na wenye kuishi mbele ya wakati.

Rais akiwa mdhaifu kiakili na mwenye akili ndogo na upeo mfupi wa kuona mbele ,ni ngumu sana Taifa hilo kuwa imara na lenye nguvu kiuchumi na kila nyanja. Kwa kuwa Akili na maono ya Rais ni muhimu sana katika kuchagiza na kusukuma mbele ajenda zenye maslahi na maendeleo kwa Taifa .

Tanzania tumebahatika kupata Neema ya Kuwa na Rais Samia Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge ambaye ni akili kubwa na mwenye ushupavu wa akili na mwili. Kiongozi mkakamavu na madhubuti kwelikweli Utafikiri Ametoka Kumaliza na kufuzu mafunzo ya Ukomandoo.

Ndio maana tunaona akiwa na maono ya miaka mingi ijayo,Mipango yenye kuliletea Matunda Taifa letu yatakayoliwa na kunufaisha kizazi cha sasa na kizazi kijacho. Hii ni kwa kuwa ni Rais Mwenye akili za juu sana. Ni muhimu sana kwa Taifa letu hususani CCM kuendelea kuteua na kupitisha viongozi wenye akili kubwa na maono makubwa kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Hata mataifa yaliyoendelea yamepiga hatua za kimaendeleo kwa sababu ya kuwa na viongozi na watu wenye akili kubwa. Ukiwa na Taifa lenye kila aina ya rasilimali lakini likakosa viongozi wenye akili na upeo mkubwa matokeo yake yatakuwa ni rasilimali kugeuka laana kwa Taifa na wananchi kufa katika dimbwi la umasikini huku watoto wakifa kwa njaa na utapia mlo.

Kwa sababu Taifa likiongozwa na viongozi wajinga wasio na akili kubwa na maono ya mbali .matokeo yake itakuwa ni viongozi kushindana kuficha pesa nje ya Nchi,kuiba mali ya umma,kuhonga vyeo kwa wapiga kelele,kuteua watu wa kulinda maslahi yao binafsi,kuacha watu wenye akili kubwa na upeo nje ya mfumo kwa hofu ya kuzidiwa ushawishi au kuogopa kupokwa vyeo vyao na nafasi zao.

Ndio Maana siku zote husema kuwa Rais Samia ni zawadi kubwa sana kwetu watanzania tuliyopewa na Mungu tunayopaswa kuitunza kwa wivu mkubwa sana. Huyu Mama ni Akili kubwa,ni kiongozi kwa kuzaliwa aliye na Karama ya uongozi.Tumtunze sana kimaombi Rais wetu. Na tuendelee kumuunga mkono sana Mama yetu.View attachment 3240198View attachment 3240199View attachment 3240200

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Acha ujinga hivi unajua mafunzo ya ukomando ww?
 

Attachments

  • 3049818-bea797ab6cbc71c96b0e8f1726a165b5.mp4
    55.4 MB
Ipo siku nakusubiria Ulete Nyuzi zako za Kise nitakunyoosha hadi upasuke.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nchi na Maendeleo ya Nchi yoyote ile yanaanza kwanza kujengwa kichwani na ndipo yawekwe katika karatasi na hatimaye utekelezaji. Hata nyumba inajengwa kwanza kichwani kabla ya kuwekwa tofali. Hata dereva anaye endesha gari anapaswa kupita kwanza yeye kiakili na ndipo chombo kipite. Kwa hiyo ukiona Taifa lina maendeleo na limepiga hatua za kimaendeleo ujue kuwa kuna viongozi ambao waliwaza kichwani na kuwa na picha kubwa na ndipo wakaleta maono hao katika utekelezaji.

Ukiona mtu anakufa kwa kiu akiwa katikati ya ziwa au mto basi ujue tatizo lipo ni kichwani na siyo kifo kwa sababu kama kifo kingezuiwa ikiwa angewaza kichwani juu ya kunywa maji yaliyomzunguka. Maendeleo Makubwa ya Taifa letu ni matokeo chanya ya akili za viongozi wetu. Ndio sababu Taifa linapaswa kuongozwa na watu wenye akili kubwa na walio timamu kiakili na kimwili na wenye maono ya miaka mia mbele na wenye kuishi mbele ya wakati.

Rais akiwa mdhaifu kiakili na mwenye akili ndogo na upeo mfupi wa kuona mbele ,ni ngumu sana Taifa hilo kuwa imara na lenye nguvu kiuchumi na kila nyanja. Kwa kuwa Akili na maono ya Rais ni muhimu sana katika kuchagiza na kusukuma mbele ajenda zenye maslahi na maendeleo kwa Taifa .

Tanzania tumebahatika kupata Neema ya Kuwa na Rais Samia Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge ambaye ni akili kubwa na mwenye ushupavu wa akili na mwili. Kiongozi mkakamavu na madhubuti kwelikweli Utafikiri Ametoka Kumaliza na kufuzu mafunzo ya Ukomandoo.

Ndio maana tunaona akiwa na maono ya miaka mingi ijayo,Mipango yenye kuliletea Matunda Taifa letu yatakayoliwa na kunufaisha kizazi cha sasa na kizazi kijacho. Hii ni kwa kuwa ni Rais Mwenye akili za juu sana. Ni muhimu sana kwa Taifa letu hususani CCM kuendelea kuteua na kupitisha viongozi wenye akili kubwa na maono makubwa kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Hata mataifa yaliyoendelea yamepiga hatua za kimaendeleo kwa sababu ya kuwa na viongozi na watu wenye akili kubwa. Ukiwa na Taifa lenye kila aina ya rasilimali lakini likakosa viongozi wenye akili na upeo mkubwa matokeo yake yatakuwa ni rasilimali kugeuka laana kwa Taifa na wananchi kufa katika dimbwi la umasikini huku watoto wakifa kwa njaa na utapia mlo.

Kwa sababu Taifa likiongozwa na viongozi wajinga wasio na akili kubwa na maono ya mbali .matokeo yake itakuwa ni viongozi kushindana kuficha pesa nje ya Nchi,kuiba mali ya umma,kuhonga vyeo kwa wapiga kelele,kuteua watu wa kulinda maslahi yao binafsi,kuacha watu wenye akili kubwa na upeo nje ya mfumo kwa hofu ya kuzidiwa ushawishi au kuogopa kupokwa vyeo vyao na nafasi zao.

Ndio Maana siku zote husema kuwa Rais Samia ni zawadi kubwa sana kwetu watanzania tuliyopewa na Mungu tunayopaswa kuitunza kwa wivu mkubwa sana. Huyu Mama ni Akili kubwa,ni kiongozi kwa kuzaliwa aliye na Karama ya uongozi.Tumtunze sana kimaombi Rais wetu. Na tuendelee kumuunga mkono sana Mama yetu.View attachment 3240198View attachment 3240199View attachment 3240200

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lucas usituchonganishe na mama etu Samia.
Tunampenda Sana.
Ila Sasa wewe unafanya mizaha na masiala unajua maana ya commando? Hii kitu haina tija Sana Sana unajaza server za melo.
 
Majitu kama haya usikute tumeyasomesha kwa kodi zetu, sasa hv yapo yanalamba miguu ya mama hata yakipewa mavi yatakula sababu yamepewa na mama. Hakuna mtu anayezuiliwa kusifia anachokipenda ila hili jamaa limevuka mipaka, ni ile mijitu mikatili ambayo ipo tayari watanzania wengi maumie bila yeye kufanya chochote sababu yeye linashiba.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nchi na Maendeleo ya Nchi yoyote ile yanaanza kwanza kujengwa kichwani na ndipo yawekwe katika karatasi na hatimaye utekelezaji. Hata nyumba inajengwa kwanza kichwani kabla ya kuwekwa tofali. Hata dereva anaye endesha gari anapaswa kupita kwanza yeye kiakili na ndipo chombo kipite. Kwa hiyo ukiona Taifa lina maendeleo na limepiga hatua za kimaendeleo ujue kuwa kuna viongozi ambao waliwaza kichwani na kuwa na picha kubwa na ndipo wakaleta maono hao katika utekelezaji.

Ukiona mtu anakufa kwa kiu akiwa katikati ya ziwa au mto basi ujue tatizo lipo ni kichwani na siyo kifo kwa sababu kama kifo kingezuiwa ikiwa angewaza kichwani juu ya kunywa maji yaliyomzunguka. Maendeleo Makubwa ya Taifa letu ni matokeo chanya ya akili za viongozi wetu. Ndio sababu Taifa linapaswa kuongozwa na watu wenye akili kubwa na walio timamu kiakili na kimwili na wenye maono ya miaka mia mbele na wenye kuishi mbele ya wakati.

Rais akiwa mdhaifu kiakili na mwenye akili ndogo na upeo mfupi wa kuona mbele ,ni ngumu sana Taifa hilo kuwa imara na lenye nguvu kiuchumi na kila nyanja. Kwa kuwa Akili na maono ya Rais ni muhimu sana katika kuchagiza na kusukuma mbele ajenda zenye maslahi na maendeleo kwa Taifa .

Tanzania tumebahatika kupata Neema ya Kuwa na Rais Samia Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge ambaye ni akili kubwa na mwenye ushupavu wa akili na mwili. Kiongozi mkakamavu na madhubuti kwelikweli Utafikiri Ametoka Kumaliza na kufuzu mafunzo ya Ukomandoo.

Ndio maana tunaona akiwa na maono ya miaka mingi ijayo,Mipango yenye kuliletea Matunda Taifa letu yatakayoliwa na kunufaisha kizazi cha sasa na kizazi kijacho. Hii ni kwa kuwa ni Rais Mwenye akili za juu sana. Ni muhimu sana kwa Taifa letu hususani CCM kuendelea kuteua na kupitisha viongozi wenye akili kubwa na maono makubwa kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Hata mataifa yaliyoendelea yamepiga hatua za kimaendeleo kwa sababu ya kuwa na viongozi na watu wenye akili kubwa. Ukiwa na Taifa lenye kila aina ya rasilimali lakini likakosa viongozi wenye akili na upeo mkubwa matokeo yake yatakuwa ni rasilimali kugeuka laana kwa Taifa na wananchi kufa katika dimbwi la umasikini huku watoto wakifa kwa njaa na utapia mlo.

Kwa sababu Taifa likiongozwa na viongozi wajinga wasio na akili kubwa na maono ya mbali .matokeo yake itakuwa ni viongozi kushindana kuficha pesa nje ya Nchi,kuiba mali ya umma,kuhonga vyeo kwa wapiga kelele,kuteua watu wa kulinda maslahi yao binafsi,kuacha watu wenye akili kubwa na upeo nje ya mfumo kwa hofu ya kuzidiwa ushawishi au kuogopa kupokwa vyeo vyao na nafasi zao.

Ndio Maana siku zote husema kuwa Rais Samia ni zawadi kubwa sana kwetu watanzania tuliyopewa na Mungu tunayopaswa kuitunza kwa wivu mkubwa sana. Huyu Mama ni Akili kubwa,ni kiongozi kwa kuzaliwa aliye na Karama ya uongozi.Tumtunze sana kimaombi Rais wetu. Na tuendelee kumuunga mkono sana Mama yetu.View attachment 3240198View attachment 3240199View attachment 3240200

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tusubiri hapo kwenye kampeni mkoa to mkoa kijiji to kijiji kata to kata kitongoji to kitongoji akitoboa ndio tutajua huo ukakamavu wake
 
Back
Top Bottom