Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #81
Weka yako ili tuone unachokitaka.Weka picha kama si porojo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka yako ili tuone unachokitaka.Weka picha kama si porojo
Kwani wewe ndiye unatoa zaidi ya Billion 33 kila mwezi kugharamia Elimu bure?
Mungu akusamehe sanaNdo madhara ya kuzaa watoto kisa tamaa ya chips kavu na mirinda nyeusi ya bariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiidi
Pumbavu kabisa
Unalipa shilingi ngapi kwa mwezi hapo ulipo.ACHA KUTUONYESHA WAZI WAZI YA KWAMBA HAUZINGATII MAELEKEZO YA DAKTARI.
HV HUYO MAMAKO ANA UTAJIRI GANI HADI ATOE BIL 33 KWA MWEZI?
HIZO HELA ZINATOKA MFUKONI MWAKE?
kwani hauna habari ya kuwa hizo ni pesa za wananchi kupitia kodi?
Unalipa shilingi ngapi kwa mwezi hapo ulipo.
Nataka kuona picha yako ya ukakamavuWeka yako ili tuone unachokitaka.
Kwani wewe ni legelege?Nataka kuona picha yako ya ukakamavu
Weka hapa huo ushahidi na siyo kuleta porojo zako hapa weweSIYO KWA MWEZI, KILA IITWAPO LEO NALIPA KODI TENA KODI KUBWA MNO KULIKO WEWE UNAYEBUBUJIKWA MACHOZI KWA KODI ZA WANAUME WENZAKO.
Ndio mkuu, ukakamavu wa nini mie mtoto wa kikeKwani wewe ni legelege?
Kwani hujapitia hata JktNdio mkuu, ukakamavu wa nini mie mtoto wa kike
Sijapita..Kwani hujapitia hata Jkt
Kwani mtoto wa juzi anaweza hata kutembea leo?Sijapita..
Kama wewe umepita jkt basi kuna mawili. Ni dogo sana mtoto wa juzi..au mzee.sana 50yrs and above
Naona umepaniki tayari Utafikiri una matatizo kichwani mwakoHebu na wewe sifia kwa staha unafikiri mchezo hiyo miezi 18? Au maigizo, mnakuwa sasa kama wapumbavu sifieni kwa kiwango kimfaacho mtu hatukatai siyo kufananisha vitu visivyo fananika.
Sa ndo unatembeaje hivyo? KakamaaKwani mtoto wa juzi anaweza hata kutembea leo?
Wewe ndo unamatatizo kutwaa kuandika andika humu na chochote hupati unaandika andika tu eti komando unafikiri lile jando unaenda kusifia sifia kule?Naona umepaniki tayari Utafikiri una matatizo kichwani mwako
Kwani unafahamu namna navyotembea mimi.Sa ndo unatembeaje hivyo? Kakamaa
Ndiooo😀😀Kwani unafahamu namna navyotembea mimi.
Haya mambo yapo juu ya uwezo wako. Ni bora ungekaa pembeni tu.Wewe ndo unamatatizo kutwaa kuandika andika humu na chochote hupati unaandika andika tu eti komando unafikiri lile jando unaenda kusifia sifia kule?