Rais Samia ni Mkakamavu na Shupavu Utafikiri Ametoka Kumaliza na kufuzu Mafunzo ya Ukomandoo

Rais Samia ni Mkakamavu na Shupavu Utafikiri Ametoka Kumaliza na kufuzu Mafunzo ya Ukomandoo

Rais akiwa mdhaifu kiakili na mwenye akili ndogo na upeo mfupi wa kuona mbele ,ni ngumu sana Taifa hilo kuwa imara na lenye nguvu kiuchumi na kila nyanja. Kwa kuwa Akili na maono ya Rais ni muhimu sana katika kuchagiza na kusukuma mbele ajenda zenye maslahi na maendeleo kwa Taifa .

Hapa ulimpatia sana Mheshimiwa
 
Sasa ukakamavu wake sisi unatusaidia nini?
Ndiyo ujue nchi hii ina majitu majinga haswa moja wapo ni hili, huwezi kuona linasifia wazazi wake lenyewe ni kutwa sijui mama. Hopeless kabisa ndiyo maana nchi ni masikini, kule kwao Songwe kuna makaa ya mawe, dhahabu, mpaka wa Tunduma na ardhi nzuri ya kilimo badala lifanye kazi kutwa linaandika ujinga tupu hapa.
 
Lililofungwa Duniani,limefungwa na Mbinguni. Lililofunguliwa Duniani limefunguliwa na Mbinguni. Nimekufungulia Duniani ili na Mungu akufungulie Mbinguni.
Toa neno komando kwenye hiyo sentensi, hiyo nafasi belongs to heros tu, waliofuzu mafunzo makali mno ambayo askari kawaida ni wachache wanaotoboa.
Usije thihaki kabis kuwafananisha na wana siasa
Have some respect to SF community
 
Ndiyo ujue nchi hii ina majitu majinga haswa moja wapo ni hili, huwezi kuona linasifia wazazi wake lenyewe ni kutwa sijui mama. Hopeless kabisa ndiyo maana nchi ni masikini, kule kwao Songwe kuna makaa ya mawe, dhahabu, mpaka wa Tunduma na ardhi nzuri ya kilimo badala lifanye kazi kutwa linaandika ujinga tupu hapa.
Kazi yangu ni mkulima dogo.
 
Toa neno komando kwenye hiyo sentensi, hiyo nafasi belongs to heros tu, waliofuzu mafunzo makali mno ambayo askari kawaida ni wachache wanaotoboa.
Usije thihaki kabis kuwafananisha na wana siasa
Have some respect to SF community
Rais Samia ni Zaidi ya Komando unayemfahamu wewe.
 
Back
Top Bottom