Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukinywa wewe ephen wanguu ni sawa na kuwa nimekunywa mimi.Ushakunywa chai?
We mpuuzi utanambia nini?Lililofungwa Duniani,limefungwa na Mbinguni. Lililofunguliwa Duniani limefunguliwa na Mbinguni. Nimekufungulia Duniani ili na Mungu akufungulie Mbinguni.
Huwezi ukaelewa ni mpaka ufunguliweSasa ukakamavu wake sisi unatusaidia nini?
Rais akiwa mdhaifu kiakili na mwenye akili ndogo na upeo mfupi wa kuona mbele ,ni ngumu sana Taifa hilo kuwa imara na lenye nguvu kiuchumi na kila nyanja. Kwa kuwa Akili na maono ya Rais ni muhimu sana katika kuchagiza na kusukuma mbele ajenda zenye maslahi na maendeleo kwa Taifa .
Ndiyo ujue nchi hii ina majitu majinga haswa moja wapo ni hili, huwezi kuona linasifia wazazi wake lenyewe ni kutwa sijui mama. Hopeless kabisa ndiyo maana nchi ni masikini, kule kwao Songwe kuna makaa ya mawe, dhahabu, mpaka wa Tunduma na ardhi nzuri ya kilimo badala lifanye kazi kutwa linaandika ujinga tupu hapa.Sasa ukakamavu wake sisi unatusaidia nini?
Toa neno komando kwenye hiyo sentensi, hiyo nafasi belongs to heros tu, waliofuzu mafunzo makali mno ambayo askari kawaida ni wachache wanaotoboa.Lililofungwa Duniani,limefungwa na Mbinguni. Lililofunguliwa Duniani limefunguliwa na Mbinguni. Nimekufungulia Duniani ili na Mungu akufungulie Mbinguni.
Haliwezi kupona tenaBasi zingatia sana maelekezo ya tiba
Mwambie huyo, hajui nini anaongea92 hakuna MTM
Kazi yangu ni mkulima dogo.Ndiyo ujue nchi hii ina majitu majinga haswa moja wapo ni hili, huwezi kuona linasifia wazazi wake lenyewe ni kutwa sijui mama. Hopeless kabisa ndiyo maana nchi ni masikini, kule kwao Songwe kuna makaa ya mawe, dhahabu, mpaka wa Tunduma na ardhi nzuri ya kilimo badala lifanye kazi kutwa linaandika ujinga tupu hapa.
Rais Samia ni Zaidi ya Komando unayemfahamu wewe.Toa neno komando kwenye hiyo sentensi, hiyo nafasi belongs to heros tu, waliofuzu mafunzo makali mno ambayo askari kawaida ni wachache wanaotoboa.
Usije thihaki kabis kuwafananisha na wana siasa
Have some respect to SF community
Nakwambia kuwa umefunguliwa kutoka kwenye vifungo vya shetani.We mpuuzi utanambia nini?
Mungu akusamehe sanaHivi wewe mama yako utamsifu lini??? Mbona Abuduli yupo kimya tuu. Ukishiba magimbi na parachichi nenda vichakani ukanye mavi huko.
Labda unalima kwenye bustani ya UWT kataKazi yangu ni mkulima dogo.
We ndiyo shetani mwenyewe huwezi kunifunguaNakwambia kuwa umefunguliwa kutoka kwenye vifungo vya shetani.
Kwamba wewe umekosa baraka za wazazi wako mpaka ukawa hivyo. Mbona sasa wewe umekosa hata ile tu akili ya kuvukia barabaraUnajaza server ya watu na matakataka yako hapa, sifia wazazi wako upate baraka.
Fisi wewe au mungu wanyoko...mungu wetu yupo hai anapenda yeye tumsifu na kumuabudu.Mungu akusamehe sana
Utafunguliwa tu maana najua shetani kakukamata na kukutumikisha na kukupatia kiburi.We ndiyo shetani mwenyewe huwezi kunifungua