MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Wewe mngese utajibu nini kipya zaidi ya matusi? Mtu kumsifu Rais kwanini ikuume kama sio dalili za mwanaume unayepumuliwa? Acha upuuzi.Dada angu unanitafuta? nikianza kujibu usilalamike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mngese utajibu nini kipya zaidi ya matusi? Mtu kumsifu Rais kwanini ikuume kama sio dalili za mwanaume unayepumuliwa? Acha upuuzi.Dada angu unanitafuta? nikianza kujibu usilalamike
Kweli dogo umechanganyikiwa na unataka kuchekesha watu hapa kama komedi.Umepata msaidizi? nikianza kuwashughulia watu wasije inbox sijui mzee Netanyahu wasamehe sijui nini? haya chokozeni mi nitajibu kwa kipimo cha juu sn.
Kwani uliwahi kumsikia rais Samia akisema anawasomesha watoto wa watanzania bure kwa pesa yake?Mimi sisifii bali naongea uhalisia na ukweli. Mama yangu siyo Rais wala hana serikali. Nampongeza Rais Samia kwa sababu kazi zake zimegusa hadi Maisha ya wazazi wangu ambao ni wakulima kama mimi. Kazi na mikono ya Rais Samia imegusa Mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Kwani ni wapi ulisikia mama yangu ametoa na kusomesha bure watoto wa watanzania bila kujali itikadi za kisiasa? Wapi ulisikia mama yangu mzazi ametoa ajira kwa vijana? Wapi ulisikia mama yangu mzazi ametoa pesa za kukamilisha mradi wa bwawa la mwalimu Nyerere lenye kuzalisha megawati 2115 ? Wapi ulisikia mama yangu amewapandisha madaraja na mishahara watumishi wa umma?
Sasa kwanini nisimoongeze Rais Samia ambaye amefanya hayo yoote na kuleta tabasamu na matumaini kwa mamilioni ya watanzania
Dada angu usipaniki hapa bado sijaanza nitakushulikia kwa hali ya juu sn sina utani na wajinga wakinichokozaWewe mngese utajibu nini kipya zaidi ya matusi? Mtu kumsifu Rais kwanini ikuume kama sio dalili za mwanaume unayepumuliwa? Acha upuuzi.
Kwani wewe ndiye unatoa zaidi ya Billion 33 kila mwezi kugharamia Elimu bure?Kwani uliwahi kumsikia rais Samia akisema anawasomesha watoto wa watanzania bure kwa pesa yake?
Haya endelea na ujinga wako nakuonya husikiiKweli dogo umechanganyikiwa na unataka kuchekesha watu hapa kama komedi.
Nani sasa anatoa bilioni zote hizo kugharamia elimu?Kwani wewe ndiye unatoa zaidi ya Billion 33 kila mwezi kugharamia Elimu bure?
Rais Samia Mama yetu Mpendwa na mwenye Dhamira njema na Taifa letuNani sasa anatoa bilioni zote hizo kugharamia elimu?
Mimi ni imara sana na mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na kimwiliSa mbona wewe nyoronyoro
Wewe ni wa kusamehewa tu.MWEZI MCHANGA.
WAHI HOSPITAL WEWE.
Pesa hizo yeye anazitoa wapi?Rais Samia Mama yetu Mpendwa na mwenye Dhamira njema na Taifa letu
Weka picha kama si porojoMimi ni imara sana na mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na kimwili
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndiyo ujue nchi hii ina majitu majinga haswa moja wapo ni hili, huwezi kuona linasifia wazazi wake lenyewe ni kutwa sijui mama. Hopeless kabisa ndiyo maana nchi ni masikini, kule kwao Songwe kuna makaa ya mawe, dhahabu, mpaka wa Tunduma na ardhi nzuri ya kilimo badala lifanye kazi kutwa linaandika ujinga tupu hapa.
Wewe MamaSamia2025 imbecileMama yake ni kiongozi wa kitaifa? Aliyemsifia hapa ni Rais Samia na sio mama. Una akili fupi mno.