Rais Samia ni Mkakamavu na Shupavu Utafikiri Ametoka Kumaliza na kufuzu Mafunzo ya Ukomandoo

Rais Samia ni Mkakamavu na Shupavu Utafikiri Ametoka Kumaliza na kufuzu Mafunzo ya Ukomandoo

Kwani wewe ndiye unatoa zaidi ya Billion 33 kila mwezi kugharamia Elimu bure?

ACHA KUTUONYESHA WAZI WAZI YA KWAMBA HAUZINGATII MAELEKEZO YA DAKTARI.

HV HUYO MAMAKO ANA UTAJIRI GANI HADI ATOE BIL 33 KWA MWEZI?
HIZO HELA ZINATOKA MFUKONI MWAKE?

kwani hauna habari ya kuwa hizo ni pesa za wananchi kupitia kodi?
 
Hebu na wewe sifia kwa staha unafikiri mchezo hiyo miezi 18? Au maigizo, mnakuwa sasa kama wapumbavu sifieni kwa kiwango kimfaacho mtu hatukatai siyo kufananisha vitu visivyo fananika.
 
Hebu na wewe sifia kwa staha unafikiri mchezo hiyo miezi 18? Au maigizo, mnakuwa sasa kama wapumbavu sifieni kwa kiwango kimfaacho mtu hatukatai siyo kufananisha vitu visivyo fananika.
Naona umepaniki tayari Utafikiri una matatizo kichwani mwako
 
Back
Top Bottom