Rais Samia ni Nuru ya Taifa iangazayo na kuleta Matumaini kwa mamilioni ya watanzania

Utapigwa ban ili upate muda wa kupata matibabu hospitalini
Nakucheka kwa dharaaaau,unajua tofauti yako na mimi ni kuwa mimi nimejiajiri mwenyewe hivyo naingia humu kama leisure tu lakini wewe uko humu kama ajira hivyo wewe ukipigwa ban utakufa njaa. Hapa ni kama nacheza game tu .
 
Nakucheka kwa dharaaaau,unajua tofauti yako na mimi ni kuwa mimi nimejiajiri mwenyewe hivyo naingia humu kama leisure tu lakini wewe uko humu kama ajira hivyo wewe ukipigwa ban utakufa njaa. Hapa ni kama nacheza game tu .
Mimi mwenyewe ni Mkulima
 
Jamani huyu chawa amezidi kiwango mpaka hata Mwenyezi Mungu hasifiwi hivyo
 
Wewe ni lost , wasted ejaculation. Unisamehe mpaka hapo utakapojirekebisha. Write sense, talk sense, think sense!

Sawa tunawapenda wanaotuvutia lkn si kwa "ujinga" kama unaouandika

Nisamehe for the harsh language! Sina namna ya kukuelezea.
 
Kwani lini ulisikia watu wakilipwa kwa kuwepo hapa jukwaani
Wewe ni mmoja wao kama una kazi ungepata wapi muda wa kuandika yale magazeti yako na kukesha kuya defend humu? Unaona watu wajinga hawajui unachofanya? Wewe ni chawa mbobevu na kituo chako cha kazi ni hapa JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…