Acha fix wewe! Ni mkulima gani mnyonge wa nchi hii mwenye uwezo wa kusafirisha mazao yake kupeleka nje ya nchi?Sikiliza wewe Mimi Ni mkulima na ninaongea uhalisia wa kile nachokiishi na kukifanya, mwaka huu Bei ya mazao ilikuwa nzuri tangia wakati wa mavuno na hivyo kutufanya kuuza kwa Bei nzuri tokea wakati tunavuna mazao yetu, tofauti na miaka mingine ambapo tuliuza kwa Bei ya hasara wakati wa mavuno
Bora hata hapa umejitahidi kujenga hoja! Natambua fika kuna ongezeko la bei ya mafuta kutokana na hiyo vita ya Urusi dhidi ya Ukraine!
Lakini usisahau Rais wako kipenzi kwa kumtumia Waziri wake wa fedha, wameongeza tozo kwenye hayo mafuta ili hela itakayo patikana, ikajengee madarasa na vituo vya afya!
Na hata hiyo ruzuku anayoitoa, haina maana yoyote ile! Maana itaishia tu mikononi mwa wafanyabiashara wakubwa na wasio waaminifu!
Alichotakiwa Bi tozo kufanya, ni kuiondoa kabisa ile tozo yake aliyo ianzisha, mpaka hapo hali ya uchumi itakapo tengemaa.
Fafanua basi hapo watu hawajakuelewa.Utendaji kazi wa Rais Samia umewapoteza kabisa upinzani katika Ramani ya siasa hapa nchini
wewe chawa mbona kama umelogwa. It is if huna wazazi wa kuwasujudia, maana huwezi kumsujudia mtu kiasi hiki.Ndugu zangu Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema, Rais Samia Amejitoa na kujitolea kwa moyo wake wote kututumikia watanzania kwa Dhati ya moyo wake, Ni kiongozi ambaye mawazo yake yapo katika kuona kila siku walau maisha ya mtanzania mmoja au kundi la watanzania linainuka kiuchumi wakati mtanzania mwingine au kundi lingine nalo likiwa limeshikwa mkono na mh Rais Tayari kwa kuinuliwa kiuchumi kutoka katika dhiki
Rais Samia kila anakokwenda unaona akitafuta fursa za kuwanufaisha Watanzania, kila anakokwenda unaona Rais Samia akitafuta mwanya wakuona watanzania wenye uwezo wanafanya biashara katika nchi husika, kila aendako unaona moyo wa Rais Samia umeunganika na watanzania tuliobaki hapa nyumbani
Ni kiongozi anayetamani kuona watanzania tuna neemeka na fursa zote zinazopatikana popote pale katika uso wa Dunia, Anataka kuona watanzania Hatubaki nyuma Wala kuachwa na wenzetu, anataka kuona Tanzania inakuwa kimbilio na chaguo la kwanza la wawekezaji , wafanyabiashara wakubwa, watalii, wanamichezo, wageni na kila aina ya uwekezaji utakao leta fursa katika nchi yetu na kusisimua na kukuza uchumi wetu
Kaiheshimisha Sana Tanzania kwa sasa ndio maana unaona namna watalii wanavyozidi kumiminika hapa nchini, Sasa uwekezaji unaongezeka siku Hadi siku Hali itakayochochea kuongezeka kwa fursa za ajira kwetu vijana, mapato ya Kodi yataongezeka, Huduma mbalimbali za kijamii zitazidi kuboreshwa, kipato Cha mwananchi mmoja mmoja kitaongezeka, mzunguko wa fedha utakuwa wenye Afya, mabenki yataongeza wanufaika wa mikopo na kupunguza riba kutokana na kuwepo kwa Kias Cha kutosha Cha fedha kinachowekwa na watu Kama akiba,
Kupitia juhudi hizi za Rais Samia katika kuimarisha diplomasia yetu ya uchumi Naona maisha ya mtanzania yakiboreka na kuendana na utajiri wa nchi yetu, keki ya Taifa itafika kwa kila mtanzania na kila mmoja atakula, kila mmoja ataona faida ya utajiri huu tuliopewa na mwenyezi Mungu, Kila mtanzania atajivunia kuwa na kuzaliwa Tanzania katika nchi ya Asali na Maziwa
Hakika Rais samai Ni zawadi kwetu watanzania, kiukweli Anatukosha Sana watanzania kwa namna anavyochapa kazi, kwa namna alivyo mbunifu na anavyo tafuta fursa kwa ajili ya nchi yetu, Rais Samia Ni mama Wa Taifa, Mlezi Bora wa Taifa Na mama Mwenye Maono ya Mbali, Hakika uongozi wake utaacha Alama za kimaendeleo zitakazokumbukwa vizazi na vizazi na kusemwa kuwa haya Ni Matunda ya Mama wa Taifa Samia suluhu Hassani
Kazi iendeleee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge
Lucas Mwashambwa , kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Acha fix wewe! Ni mkulima gani mnyonge wa nchi hii mwenye uwezo wa kusafirisha mazao yake kupeleka nje ya nchi?
Namheshimu Sana Rais wangu na kumuunga mkono kwa namna alivyojitoa na kujitolea kututumikia watanzania bila kuchoka Wala kukata tamaaa au kukatishwa tamaa na watu wachache aina yako wasioona zuri katika yote afanyayo kulitumikia Taifa letu, wazazi wangu nao pia nawaheshimu Sana Kama ilivyoandika biblia kuwa waheshimu wazazi wako upate siku nyingi za kuishi hapa Dunianiwewe chawa mbona kama umelogwa. It is if huna wazazi wa kuwasujudia, maana huwezi kumsujudia mtu kiasi hiki.
Upinzani walizoea janja janja ya vimianya vidogo vidogo vilivyoachwa na chama au serikali katika kupata hoja za kuongea, lakini kwa Sasa utumishi uliotukuka wa mh Rais wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge imefanya wapinzani wakose hoja kabisa, maana Rais anafanya vitu vinavyoleta matokeo chanya kwa watanzania, lakini pia mh Rais amekuwa msikivu Sana kwa watanzania kwa kuhakikisha kuwa kila sauti ya mtanzania inasikika na kusikilizwa na kufanyiwa kazi, kila mwenye neno anasikilizwa, kaleta matumaini makubwa Sana katika nchi hii, kila mtu anajiona anayo nafasi katka ujenzi wa Taifa hili, kaleta mwanga mahali ambapo watanzania waliona Giza, kaleta matumaini mahali ambapo watanzania walijaa chuki,amekuwa Ni chombo Cha Amani kwa watanzaniaFafanua basi hapo watu hawajakuelewa.
Kinyaa! Unatia kinyaa! Rais ni mtu kama wewe na mimi, anakunya, anakojoa , anajampa and all sorts of biological atributes of a living organism. sasa kumpamba hivyo mwanadamu kwanini. Kila siku unapost kumsujudia, why? Amefanya nini la maana ambalo huwezi kulifanya? kichwani mwako kuna nini?Namheshimu Sana Rais wangu na kumuunga mkono kwa namna alivyojitoa na kujitolea kututumikia watanzania bila kuchoka Wala kukata tamaaa au kukatishwa tamaa na watu wachache aina yako wasioona zuri katika yote afanyayo kulitumikia Taifa letu, wazazi wangu nao pia nawaheshimu Sana Kama ilivyoandika biblia kuwa waheshimu wazazi wako upate siku nyingi za kuishi hapa Duniani
Kama hushindi mtandaoni ungewezaje kuona hoja hii,Tangu lini wewe Lucas mwashambwa umekuwa msemaji wa watanzania?
Hii tabia ya kushinda mitandaoni kusifia viongozi ni ya hovyo sana siku nyingine jisemee mwenyewe
Ona sasa mimi naongelea ruzuku hewa ya kwenye mafuta, wewe unaleta story za ruzuku ya kwenye mbolea!Hapana haziishii mikononi mwa watu Bali zinafika kutunufaisha wanyonge, mfano katika mbolea ya DAP wakulima tulinunua mfuko mmoja laki na 20 Hadi laki na 40, lakini baada ya Rais wetu mpendwa kutoa mabillioni ya Ruzuku kwa Sasa katika maduka yaliyopewa kibali Cha kuuza na kusambaza mbolea za Ruzuku mfuko wa DAP unapatikana kwa shilingi elfu 70 tu, Sasa hapa Huoni mh Rais wetu mpendwa katusaidia Sana? Huoni hapa kagusa mioyo yetu? Huoni hapa katusaidia kuongeza uzalishaji? Huoni hapa katupunguzia gharama ukilinganisha na msimu uliopita?
Kumbuka pia mh Rais wetu mpendwa yupo katika juhudi za kuhakikisha nchi inapata wawekezaji wengi watakaojenga viwanda vya mbolea hapa Hapa nchini ili mbolea ipatikane kwa urahisi na kwa Bei nzuri ambayo mkulima wa Hali ya chini Kama mimi nitaweza kumudu vizuri bei bila shida yoyote
Yaani wewe sijuwi kwanini huwezagi kujenga hoja bila kutumia maneno ya ukakasi na kuvunjia mtu heshima, Mimi huwa naamini mtu unaweza ukaandika kwa heshima na meneno ya kistaarabu na ujumbe wako ukaeleweka vizuri kabisa na watu wote wakachangia bila shida yoyote Ile , tunaweza tukatofautiana mitizamo na tunakosoana kistaarabu bila kumvunjia mtu heshima au kutumia maneno ya ukakasiKinyaa! Unatia kinyaa! Rais ni mtu kama wewe na mimi, anakunya, anakojoa , anajampa and all sorts of biological atributes of a living organism. sasa kumpamba hivyo mwanadamu kwanini. Kila siku unapost kumsujudia, why? Amefanya nini la maana ambalo huwezi kulifanya? kichwani mwako kuna nini?
Wewe umezidi sana utafikiri unakula nyumbani kwake!Kama hushindi mtandaoni ungewezaje kuona hoja hii,
Kumamamamama************ tuishie hapoNi mamilioni ya watanzania wanaridhishwa na utendaji kazi uliotukuka wa Rais Samia ulioacha Alama katika mioyo yao
Ruzuku ya kwenye mafuta ilikuwaje hewa wakati unaona Kuna kiwango Cha Bei kilikuwa kinapungua katika kila Lita ya mafuta kutokana na Ruzuku iliyokuwa inawekwa na serikali inayoongozwa na Rais Samia?Ona sasa mimi naongelea ruzuku hewa ya kwenye mafuta, wewe unaleta story za ruzuku ya kwenye mbolea!
Tena ruzuku inayotolewa kwa ajili ya kilimo kinachotegemea mvua, huku tukiwa tumezungukwa na vyanzo lukuki vya maji! Kuanzia maziwa, mabwawa, bahari, mito,, nk.
Wewe tukana uwezavyo Ila Mimi sitakutukana na nitaendelea kuheshimu michango yako humu na hata nisipokubaliana na wewe nitaichukulia Kama maoni yako binafsi Maana najuwa hatuwezi tukakubaliana na kufanana mawazo na mitizamo katika kila eneo, Mungu akupe moyo wa hekima busara na upendoKumamamamama************ tuishie hapo
Haina shida maana hayo Ni maoni yako binafsiMleta mada ni Mbwa Jike
Kazi na juhudi za mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani zinatupa uhakika wa chakula sisi wakulima,Wewe umezidi sana utafikiri unakula nyumbani kwake!
Ukakasi upi, unataka kupingana na reality, tena reality of science?Yaani wewe sijuwi kwanini huwezagi kujenga hoja bila kutumia maneno ya ukakasi na kuvunjia mtu heshima, Mimi huwa naamini mtu unaweza ukaandika kwa heshima na meneno ya kistaarabu na ujumbe wako ukaeleweka vizuri kabisa na watu wote wakachangia bila shida yoyote Ile , tunaweza tukatofautiana mitizamo na tunakosoana kistaarabu bila kumvunjia mtu heshima au kutumia maneno ya ukakasi