Rais Samia ni zawadi kwetu Watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu

Acha fix wewe! Ni mkulima gani mnyonge wa nchi hii mwenye uwezo wa kusafirisha mazao yake kupeleka nje ya nchi?
 
Hapana haziishii mikononi mwa watu Bali zinafika kutunufaisha wanyonge, mfano katika mbolea ya DAP wakulima tulinunua mfuko mmoja laki na 20 Hadi laki na 40, lakini baada ya Rais wetu mpendwa kutoa mabillioni ya Ruzuku kwa Sasa katika maduka yaliyopewa kibali Cha kuuza na kusambaza mbolea za Ruzuku mfuko wa DAP unapatikana kwa shilingi elfu 70 tu, Sasa hapa Huoni mh Rais wetu mpendwa katusaidia Sana? Huoni hapa kagusa mioyo yetu? Huoni hapa katusaidia kuongeza uzalishaji? Huoni hapa katupunguzia gharama ukilinganisha na msimu uliopita?

Kumbuka pia mh Rais wetu mpendwa yupo katika juhudi za kuhakikisha nchi inapata wawekezaji wengi watakaojenga viwanda vya mbolea hapa Hapa nchini ili mbolea ipatikane kwa urahisi na kwa Bei nzuri ambayo mkulima wa Hali ya chini Kama mimi nitaweza kumudu vizuri bei bila shida yoyote
 
wewe chawa mbona kama umelogwa. It is if huna wazazi wa kuwasujudia, maana huwezi kumsujudia mtu kiasi hiki.
 
Mkulima asiyeweza kusafirisha Kama Mimi anauza katika soko lililo karibu yake ambalo kwa Sasa yanapatikana maeneo mengi tu kwa Bei nzuri tu yenye faida, kumbuka Kama soko likiwa zuri na la uhakika nje ya nchi kwa wanaopeleka mantiki yake ni kuwa hata huku mitaani Bei inakuwa Ni nzuri Sana, lakini Kama hata nje ya nchi hakuna soko mantiki yake ni kuwa hata mitaani Bei itakuwa Ni mbaya kwa kuwa kutakuwa hakuna kwa kupeleka na kuuza hivyo uhitaji ukiwa mdogo lazima hata Bei iwe ndogo, mama yupo kazini kututumikia na kuleta matumaini palipo na kukata tamaaa
Acha fix wewe! Ni mkulima gani mnyonge wa nchi hii mwenye uwezo wa kusafirisha mazao yake kupeleka nje ya nchi?
 
wewe chawa mbona kama umelogwa. It is if huna wazazi wa kuwasujudia, maana huwezi kumsujudia mtu kiasi hiki.
Namheshimu Sana Rais wangu na kumuunga mkono kwa namna alivyojitoa na kujitolea kututumikia watanzania bila kuchoka Wala kukata tamaaa au kukatishwa tamaa na watu wachache aina yako wasioona zuri katika yote afanyayo kulitumikia Taifa letu, wazazi wangu nao pia nawaheshimu Sana Kama ilivyoandika biblia kuwa waheshimu wazazi wako upate siku nyingi za kuishi hapa Duniani
 
Fafanua basi hapo watu hawajakuelewa.
Upinzani walizoea janja janja ya vimianya vidogo vidogo vilivyoachwa na chama au serikali katika kupata hoja za kuongea, lakini kwa Sasa utumishi uliotukuka wa mh Rais wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge imefanya wapinzani wakose hoja kabisa, maana Rais anafanya vitu vinavyoleta matokeo chanya kwa watanzania, lakini pia mh Rais amekuwa msikivu Sana kwa watanzania kwa kuhakikisha kuwa kila sauti ya mtanzania inasikika na kusikilizwa na kufanyiwa kazi, kila mwenye neno anasikilizwa, kaleta matumaini makubwa Sana katika nchi hii, kila mtu anajiona anayo nafasi katka ujenzi wa Taifa hili, kaleta mwanga mahali ambapo watanzania waliona Giza, kaleta matumaini mahali ambapo watanzania walijaa chuki,amekuwa Ni chombo Cha Amani kwa watanzania
 
Kinyaa! Unatia kinyaa! Rais ni mtu kama wewe na mimi, anakunya, anakojoa , anajampa and all sorts of biological atributes of a living organism. sasa kumpamba hivyo mwanadamu kwanini. Kila siku unapost kumsujudia, why? Amefanya nini la maana ambalo huwezi kulifanya? kichwani mwako kuna nini?
 
Tangu lini wewe Lucas mwashambwa umekuwa msemaji wa watanzania?
Hii tabia ya kushinda mitandaoni kusifia viongozi ni ya hovyo sana siku nyingine jisemee mwenyewe
Kama hushindi mtandaoni ungewezaje kuona hoja hii,
 
Ona sasa mimi naongelea ruzuku hewa ya kwenye mafuta, wewe unaleta story za ruzuku ya kwenye mbolea!

Tena ruzuku inayotolewa kwa ajili ya kilimo kinachotegemea mvua, huku tukiwa tumezungukwa na vyanzo lukuki vya maji! Kuanzia maziwa, mabwawa, bahari, mito,, nk.
 
Yaani wewe sijuwi kwanini huwezagi kujenga hoja bila kutumia maneno ya ukakasi na kuvunjia mtu heshima, Mimi huwa naamini mtu unaweza ukaandika kwa heshima na meneno ya kistaarabu na ujumbe wako ukaeleweka vizuri kabisa na watu wote wakachangia bila shida yoyote Ile , tunaweza tukatofautiana mitizamo na tunakosoana kistaarabu bila kumvunjia mtu heshima au kutumia maneno ya ukakasi
 
Ruzuku ya kwenye mafuta ilikuwaje hewa wakati unaona Kuna kiwango Cha Bei kilikuwa kinapungua katika kila Lita ya mafuta kutokana na Ruzuku iliyokuwa inawekwa na serikali inayoongozwa na Rais Samia?
 
Kumamamamama************ tuishie hapo
Wewe tukana uwezavyo Ila Mimi sitakutukana na nitaendelea kuheshimu michango yako humu na hata nisipokubaliana na wewe nitaichukulia Kama maoni yako binafsi Maana najuwa hatuwezi tukakubaliana na kufanana mawazo na mitizamo katika kila eneo, Mungu akupe moyo wa hekima busara na upendo
 
Ukakasi upi, unataka kupingana na reality, tena reality of science?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…