Rais Samia ni zawadi kwetu Watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu

Rais Samia ni zawadi kwetu Watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu

Hapana ndugu yangu Msanii, lazima tuseme ukweli penye kuhitaji kusema ukweli, Rais Samia kwa namna alivyoipokea nchi na katika mazingira yaliyokuwepo ya kiuchumi wa Dunia na hapa alipotufikisha kiuchumi hakika Anastahili pongezi kubwa Sana, Anastahili kupewa faraja, Anastahili kupewa ushirikiano na kuungwa mkono nasi watanzania
Yaani mkuu. Haongozi nchi ya watu wasiojielewa.

Hebu tuambizani majukumu yake aliyoyaapa ni yepi na ametekeleza yepi extraordinary?
 
Mh Rais wetu mpendwa Ameapa kuilinda na kuitetea katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, Ameapa kiapo Cha Urais, Ameapa kuulinda muungano wetu na Kututumikia watanzania bila ubaguzi, vitu vyote hivyo mh Rais wetu mpendwa anavitekeleza kwa weledi na ufanisi mkubwa sana
Yaani mkuu. Haongozi nchi ya watu wasiojielewa.

Hebu tuambizani majukumu yake aliyoyaapa ni yepi na ametekeleza yepi extraordinary?
 
Tumechelewa Sana sasa ni zaidi ya miaka 60 ya Uhuru ilitupasa tuwe mbali zaidi ya tulipo leo.na niwajibu wake kufanya kile kinachotakiwa kukifanya.
 
Ndugu zangu hivyo ndivyo unavyoweza kusema, Rais Samia amejitoa na kujitolea kwa moyo wake wote kututumikia Watanzania kwa dhati ya moyo wake. Ni kiongozi ambaye mawazo yake yapo katika kuona kila siku walau maisha ya mtanzania mmoja au kundi la watanzania linainuka kiuchumi, wakati Mtanzania mwingine au kundi lingine nalo likiwa limeshikwa mkono na Rais, tayari kwa kuinuliwa kiuchumi kutoka katika dhiki.

Rais Samia kila anakokwenda unaona akitafuta fursa za kuwanufaisha Watanzania, kila anakokwenda unaona Rais Samia akitafuta mwanya wakuona Watanzania wenye uwezo wanafanya biashara katika nchi husika, kila aendako unaona moyo wa Rais Samia umeunganika na Watanzania tuliyobaki hapa nyumbani.

Ni kiongozi anayetamani kuona Watanzania tuna neemeka na fursa zote zinazopatikana popote pale katika uso wa dunia. Anataka kuona Watanzania hatubaki nyuma wala kuachwa na wenzetu, anataka kuona Tanzania inakuwa kimbilio na chaguo la kwanza la wawekezaji, wafanyabiashara wakubwa, watalii, wanamichezo, wageni na kila aina ya uwekezaji utakaoleta fursa katika nchi yetu na kusisimua na kukuza uchumi wetu.

Kaiheshimisha sana Tanzania kwa sasa ndiyo maana unaona namna watalii wanavyozidi kumiminika hapa nchini. Sasa uwekezaji unaongezeka siku hadi siku, hali itakayochochea kuongezeka kwa fursa za ajira kwetu vijana na mapato ya kodi yataongezeka.

Huduma mbalimbali za kijamii zitazidi kuboreshwa, kipato cha mwananchi mmoja mmoja kitaongezeka, mzunguko wa fedha utakuwa wenye Afya, mabenki yataongeza wanufaika wa mikopo na kupunguza riba kutokana na kuwepo kwa kiasi cha kutosha cha fedha kinachowekwa na watu kama akiba.

Kupitia juhudi hizi za Rais Samia katika kuimarisha diplomasia yetu ya uchumi, naona maisha ya Mtanzania yakiboreka na kuendana na utajiri wa nchi yetu, keki ya Taifa itafika kwa kila Mtanzania na kila mmoja atakula. Kila mmoja ataona faida ya utajiri huu tuliopewa na mwenyezi Mungu, kila Mtanzania atajivunia kuwa na kuzaliwa Tanzania katika nchi ya asali na maziwa.

Hakika Rais samai ni zawadi kwetu Watanzania, kiukweli anatukosha sana Watanzania kwa namna anavyochapa kazi, kwa namna alivyo mbunifu na anavyo tafuta fursa kwa ajili ya nchi yetu. Rais Samia ni mama wa taifa, mlezi bora wa Taifa na mama mwenye maono ya mbali. Hakika uongozi wake utaacha alama za kimaendeleo zitakazokumbukwa vizazi na vizazi na kusemwa kuwa, haya ni matunda ya Mama wa Taifa, Samia suluhu Hassani.

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge.

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Rubbish
 
Mh Rais wetu mpendwa Ameapa kuilinda na kuitetea katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, Ameapa kiapo Cha Urais, Ameapa kuulinda muungano wetu na Kututumikia watanzania bila ubaguzi, vitu vyote hivyo mh Rais wetu mpendwa anavitekeleza kwa weledi na ufanisi mkubwa sana
Kuzuia mikutano ya siasa kwa vyama shindani huku ziara za viongozi wetu wa CCM zikisindikizwa na vyombo vya dola vya umma, hii imekaaje kwenye eneo la kutodumisha ubaguzi?
 
Ndugu zangu hivyo ndivyo unavyoweza kusema, Rais Samia amejitoa na kujitolea kwa moyo wake wote kututumikia Watanzania kwa dhati ya moyo wake. Ni kiongozi ambaye mawazo yake yapo katika kuona kila siku walau maisha ya mtanzania mmoja au kundi la watanzania linainuka kiuchumi, wakati Mtanzania mwingine au kundi lingine nalo likiwa limeshikwa mkono na Rais, tayari kwa kuinuliwa kiuchumi kutoka katika dhiki.

Rais Samia kila anakokwenda unaona akitafuta fursa za kuwanufaisha Watanzania, kila anakokwenda unaona Rais Samia akitafuta mwanya wakuona Watanzania wenye uwezo wanafanya biashara katika nchi husika, kila aendako unaona moyo wa Rais Samia umeunganika na Watanzania tuliyobaki hapa nyumbani.

Ni kiongozi anayetamani kuona Watanzania tuna neemeka na fursa zote zinazopatikana popote pale katika uso wa dunia. Anataka kuona Watanzania hatubaki nyuma wala kuachwa na wenzetu, anataka kuona Tanzania inakuwa kimbilio na chaguo la kwanza la wawekezaji, wafanyabiashara wakubwa, watalii, wanamichezo, wageni na kila aina ya uwekezaji utakaoleta fursa katika nchi yetu na kusisimua na kukuza uchumi wetu.

Kaiheshimisha sana Tanzania kwa sasa ndiyo maana unaona namna watalii wanavyozidi kumiminika hapa nchini. Sasa uwekezaji unaongezeka siku hadi siku, hali itakayochochea kuongezeka kwa fursa za ajira kwetu vijana na mapato ya kodi yataongezeka.

Huduma mbalimbali za kijamii zitazidi kuboreshwa, kipato cha mwananchi mmoja mmoja kitaongezeka, mzunguko wa fedha utakuwa wenye Afya, mabenki yataongeza wanufaika wa mikopo na kupunguza riba kutokana na kuwepo kwa kiasi cha kutosha cha fedha kinachowekwa na watu kama akiba.

Kupitia juhudi hizi za Rais Samia katika kuimarisha diplomasia yetu ya uchumi, naona maisha ya Mtanzania yakiboreka na kuendana na utajiri wa nchi yetu, keki ya Taifa itafika kwa kila Mtanzania na kila mmoja atakula. Kila mmoja ataona faida ya utajiri huu tuliopewa na mwenyezi Mungu, kila Mtanzania atajivunia kuwa na kuzaliwa Tanzania katika nchi ya asali na maziwa.

Hakika Rais samai ni zawadi kwetu Watanzania, kiukweli anatukosha sana Watanzania kwa namna anavyochapa kazi, kwa namna alivyo mbunifu na anavyo tafuta fursa kwa ajili ya nchi yetu. Rais Samia ni mama wa taifa, mlezi bora wa Taifa na mama mwenye maono ya mbali. Hakika uongozi wake utaacha alama za kimaendeleo zitakazokumbukwa vizazi na vizazi na kusemwa kuwa, haya ni matunda ya Mama wa Taifa, Samia suluhu Hassani.

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge.

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Mi Rais Samia namkubali 💯 ila tu kumkandia Dkt Magufuli hapo ndiyo huwa naona anakosea sana. Kama hataki kuudhi upande wowote bora asimshambulie Dkt Magufuli.
 
Kuzuia mikutano ya siasa kwa vyama shindani huku ziara za viongozi wetu wa CCM zikisindikizwa na vyombo vya dola vya umma, hii imekaaje kwenye eneo la kutodumisha ubaguzi?
Suala la mikutano ya hadhara kwa vyama vyote bado masuala ya kimaridhiano yanaendelea Kama tulivyoarifiwa watanzania,CCM wanachofanya kwa Sasa Ni ukaguzi wa utekelezaji wa ilani yake
 
Sawa mwana sayansi bila shaka huwa maneno ya namna hiyo huwa unayazungumza hata kwa wazazi wako bila hofu kwa kuwa hayo ndio matunda ya gharama ya Elimu waliyo kulipia shuleni kusoma sayansi
Pumbavu, nenda kafue underW maana kwa kumsujudia huko unaweza kufanya kwa Moyo mkunjufu
 
Suala la mikutano ya hadhara kwa vyama vyote bado masuala ya kimaridhiano yanaendelea Kama tulivyoarifiwa watanzania,CCM wanachofanya kwa Sasa Ni ukaguzi wa utekelezaji wa ilani yake
Akili mbovu kumbe, vyama vingine vitafanya lini utekelezaji wa uyagutaji wa wanachama nankueneza Sera zake.
 
Akili mbovu kumbe, vyama vingine vitafanya lini utekelezaji wa uyagutaji wa wanachama nankueneza Sera zake.
Subiri uwe na subira wakati utaratibu unawekwa vizuri Kama tulivyotangaziwa na serikali yetu pendwa
 
Subiri uwe na subira wakati utaratibu unawekwa vizuri Kama tulivyotangaziwa na serikali yetu pendwa
Unatukanwa kwa sababu unatetea uvunjaji wa sheria na katiba za nchi. Mikutano ya kisiasa ikpo kisheria... hakuna wa kuikataza nlabda mahakama tu! tena kwa sababu maalum siyo discretion ya mahakama
 
Suala la mikutano ya hadhara kwa vyama vyote bado masuala ya kimaridhiano yanaendelea Kama tulivyoarifiwa watanzania,CCM wanachofanya kwa Sasa Ni ukaguzi wa utekelezaji wa ilani yake
Ukiacha kuwaza kipumbavu utaelewa kuwa Katiba iliyoapwa kulindwa ndo inavunjwa na walioiapa. Nchi inamilikiwa na CCM na siyo wanachi kama Katiba inavyotaka. CCM imejipa mandate ya kufanya maamuzi yanayoshurutisha dola kufuata. Uhuru wa Tanzania unapaswa kuhuishwa kupitia Katiba ya Wananchi.

Kasome Ibara ya 18 ya Katiba kisha rudi hapa tuendelee na mjadala.

Hakuna neno MARIDHIANO kwenye clauses za Katiba. Mimi ninachokiona ni kuwa mnaotumwa kusifia sifia hamjai hata kwenye kikombe
 
Uhuru
Ukiacha kuwaza kipumbavu utaelewa kuwa Katiba iliyoapwa kulindwa ndo inavunjwa na walioiapa. Nchi inamilikiwa na CCM na siyo wanachi kama Katiba inavyotaka. CCM imejipa mandate ya kufanya maamuzi yanayoshurutisha dola kufuata. Uhuru wa Tanzania unapaswa kuhuishwa kupitia Katiba ya Wananchi.

Kasome Ibara ya 18 ya Katiba kisha rudi hapa tuendelee na mjadala.

Hakuna neno MARIDHIANO kwenye clauses za Katiba. Mimi ninachokiona ni kuwa mnaotumwa kusifia sifia hamjai hata kwenye kikombe
Uhuru wako unapoishia ndio wa mwingine unapoanzia, Hivyo lazima utambue kuwa katiba imetoa Uhuru wa maoni lakini Uhuru huo una mipaka yake,
 
Naamini unaweza kunikosoa na kunipinga kwa hoja bila hata kunitukana, japo Mimi hata ukinitukana Sana na kwa matusi yoyote siwezi nikakutukana maana najuwa naweza kubishana kwa hoja bila kukutukana
Unatukanwa kwa sababu unatetea uvunjaji wa sheria na katiba za nchi. Mikutano ya kisiasa ikpo kisheria... hakuna wa kuikataza nlabda mahakama tu! tena kwa sababu maalum siyo discretion ya mahakama
 
Naamini unaweza kunikosoa na kunipinga kwa hoja bila hata kunitukana, japo Mimi hata ukinitukana Sana na kwa matusi yoyote siwezi nikakutukana maana najuwa naweza kubishana kwa hoja bila kukutukana
Unatukanwa kwa sababu unatetea uvunjaji wa sheria na katiba za nchi. Mikutano ya kisiasa ikpo kisheria... hakuna wa kuikataza nlabda mahakama tu! tena kwa sababu maalum siyo discretion ya mahakama
 
Back
Top Bottom