Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
TLS siyo chama cha siasa[emoji2370]
Labda, pengine Tangazo la chadema kwamba 2025 hakuna ucbaguzi mkuu limechangia,,Uko right but Read btn the lines, hajaongelea only about tls, and so called wapinzani
Labda, pengine Tangazo la chadema kwamba 2025 hakuna ucbaguzi mkuu limechangia,,
Nasikia kina pambalu wameenda ulaya kujifunza kareti[emoji16][emoji2960]
Hatari Dr. Bashiru kaua zaidi me nilijua anataka kuanza kusema nimekosa mimi nimekosa sirudii.Nadhani amewajibu ma-chawa wa CCM
Kwa hiyo hapo tumeelewa kwamba amewaeleza wamuache kumsumbua au kumdhihaki
Dkt Bashiru Ally Sababu alitumia haki yake ya kikatiba kabisa!
Wenye kumuelewa wamemuelewa,ila wale Chawa wenye uelewa mdogo,wataendelea!
Samia na pia washauri wake,wanajua madhara ya kuendeleza kubaguana ndani ya CCM!
Tayari Wameiona Impact na Madhara ya kumuengua Ndugai.
Na sasa kwa Bashiru,ni lazima watafanya mambo yao kwa tahadhari kubwa.
Haimaanishi kwamba watamuacha,bali watadili nae kwa mninu tofauti na ile waliyoitumia kwa Ndugai.
Yangu ni hayo tu.
Ila Bashiru ameeleweka zaidi,na bado amepiga pin ingine kwenue hiyo link hapo chini.
Nilishawatonya upinzani kuhusu matumizi ya lugha,, JPM aliwapenda kweri kweri, na alitaka kushirikiana nao kiuongozi, na baadhi ya concern zao akaanza kuzi address mfano, suala la bob sea, ununuaji ndege etc, 😄Halafu Chadema ina poteza muda kukaa na wahuni. Ccm ni wahuni. Mama kasahau kwamba ana maongezi na upinzani, leo kaonyesha ngozi yake halisi.. Dija wahi kuiamini Ccm tangu nizaliwe.
Lakini watu hawatakagi kusikia ukweli, so wanapanick,, lakini huo ndo ukweli,, kila mtu anajua TLS ilikuwa inafanya harakati za kisiasa,,
Hapana, jk hakubinya vyama vya siasa, TLS walianza kutumika na foreign interests ili kutaka kuleta mabadiliko ya kisiasa ambayo wazungu waliyataka..TLS ilikuwa inafanya siasaa kwasababu vyama vya siasa vilizuiliwa kufanya siasa.
..vyama vya siasa vikibinywa hupelekea wananchi kutafuta njia mbadala za kufanya siasa. Na wakati mwingine wanaweza wasitumie majukwaa, au njia sahihi.
Hapana, jk hakubinya vyama vya siasa, TLS walianza kutumika na foreign interests ili kutaka kuleta mabadiliko ya kisiasa ambayo wazungu waliyataka
Hatari Dr. Bashiru kaua zaidi me nilijua anataka kuanza kusema nimekosa mimi nimekosa sirudii.
Nilishawatonya upinzani kuhusu matumizi ya lugha,, JPM aliwapenda kweri kweri, na alitaka kushirikiana nao kiuongozi, na baadhi ya concern zao akaanza kuzi address mfano, suala la bob sea, ununuaji ndege etc, 😄
Badala ya kuplay along, wakaanza kumsema tena,, ooh hajasoma, haju english ndo maana hataki kusafiri,, etcmatokeo yake jpm akachoka, akaamua kuwa mkali🙆♀️.
Sasa wanatangaza eti hakutakua general election,, so wamejipa mamlaka ya kuamua kuwepo ama kutokuwepo uchaguzi,,, That is hostility
Wanakiita chama Cha kiharakati wapate sababu ya kukidhibiti.......ukitaka kumuua paka mpe jina baya....pamoja na kuupiga mwingi, this is a wrong pass. TLS was not and will never be CHAMA CHA WANAHARAKATI
Lawama hazimuendei aliyetengeza gari bali kwa anayeendelea kutumia gari bovuLawama mtupie Nyerere aliyejenga mfumo mbovu
Ufafanuzi wa Tundu Lissu juu ya Mamlaka makubwa ya Kikatiba aliyonayo Rais wa Tanzania yalitoka wapi. Nyerere hakuwa kama tunavyohubiriwa!
Kumbe Nyerere hakuwa na demokrasia, alikuwa dictator mkubwa, eti huyo ndiye anakuja kuwa Mtakatifu! Sikiliza kwa makini:www.jamiiforums.com
Hapana, jk hakubinya vyama vya siasa, TLS walianza kutumika na foreign interests ili kutaka kuleta mabadiliko ya kisiasa ambayo wazungu waliyataka
Tatizo letu ni lile lile, wabongo wengi wanapenda burebure,, nyerere aliwadekeza sana,, umeme bure, matibabu bure, elimu bure, usafiri bure🙆🏻♀️hayo mahela wanayowalipa akina Dowans yeye hajawahi kuyasikia, au anajisemea tu bila ya tafakari yoyote juu ya anachokisema!
80% ya watanzania walikataa vyama vingi, endapo japo45 % wakikubali, maana yake hata bungeni ingekuwa 50 kwa 50
Muulize mange kimambi,, mwenyewe alinyooshq mkono,, ukweli ndio huo,, asilimia kubwa ya wananchi hawako tayari kubadili statu quoSiyo kweli ile ilikiluwa sample tu. Leo ukileta huo mjadala itakuwa balaa.