Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Nature is so calm and well arranged, tunahangaika sis tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiacha ushabiki na ukereketwa tuje kwenye uhalisia, bila ya uchafuzi aliofanya yule dhalim kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu liopita na CCM ikashinda, unafikiri uwiano Bungeni ungekuwaje? Just be honest.80% ya watanzania walikataa vyama vingi,, endapo japo45 % wakikubali, maana yake hata bungeni ingekuwa 50 kwa 50
Modeling,Michango yake haiwezi kuegemea vyama, Kwasababu yeye michango yake lazima iwe na kiharufu Cha udini.
Ni kama Mohamed Said, yeye Hana chama ila ana udini.
Watu wake hawajawahi kukosea.
Anahujumiwa kwenye nini?Ameongea fact,, tatizo wengi hawapendi kusikia ukweli mchungu,, huezi kushirikiana na mtu anaekuhujumu, never
Nadhani amewajibu ma-chawa wa CCM
Leo lema angekuwa mbunge, nina maana cdm wangeongeza vitiUkiacha ushabiki na ukereketwa tuje kwenye uhalisia, bila ya uchafuzi aliofanya yule dhalim kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu liopita na CCM ikashinda, unafikiri uwiano Bungeni ungekuwaje? Just be honest .
Nikikuona una sura hiyo nitakushirikisha, nikikuona una sura ya uadui nami sitaweza kukushirikisha. Utatumia Sheria zote za Kimataifa, zoooote na mimi nitatumia zangu za ndani ya nchi kuku-bar usishiriki kwangu.[emoji848]Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia katika mkutano wa 47 wa wanasheria Afrika Mashariki uliofanyika mkoani Arusha, amesema haya kuhusu kushirikisha watu/taasisi ambazo ziko dhidi yake..
Mimi naona walikosea kuratibu i mean ingekuwa vizuri kama chama kinachoshinda nafasi ya kwaza bas chama kinachofwata kwa kula basi wangepewa nafasi ya umakamu hili kuleta uswa wa kisiasa hiyo ingekuwa siyo kazi ngumu kutekeleza majukumu kilichop vyama vyote vya siasa vinataka dola na haivaja wai pewa nafsi Serikalini kuonyesha ubora wao kwa kuongoza yani kama ingetokea spika anatoka upinzani basi ingekuwa vyepesi kuaminika.80% ya watanzania walikataa vyama vingi,, endapo japo45 % wakikubali, maana yake hata bungeni ingekuwa 50 kwa 50
1-ukameAnahujumiwa kwenye nini?
1. Mdororo wa upatikanaji wa huduma za maji na umeme kwa sasa.
2. Bei za bidhaa kupaa isivyo kawaida.
3. Kutokamilika miradi ya maendeleo kwa wakati?
4. Uwajibikaji 0?
5. Blah blah za mbolea.
6. Rushwa sizizomithilika katika chaguza za ndani? yeye akiwa kama mwenyekiti wa chama, amewajibika?
Anahujumiwa kwenye nini na nani ambao hawezi kuwachukulia hatua kisheria yeye kama mkuu wa nchi, instead ameamua kuwachamba hadharani, anahujumiwa nini? au alimaanisha kwenye mbio za urais kuelekea 2025.
Uoga wote huu wa nini ?Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia katika mkutano wa 47 wa wanasheria Afrika Mashariki uliofanyika mkoani Arusha, amesema haya kuhusu kushirikisha watu/taasisi ambazo ziko dhidi yake
Kwa mfano Tanzania, miaka minne mitano iliyopita tulikuwa na Tanganyika Law Society ambayo frankly speaking ilikuwa siyo chama cha Wanasheria, kilikuwa chama cha Wanaharakati na mapambano yao yalikuwa ni dhidi ya Serikali.
Sasa mimi nikijua wewe ni dhidi yangu nitakushirikishaje? Siwezi kukushirikisha, si ndiyo! Mpaka unioneshe kwamba am here to support you, I'm here to serve a country, I'm here kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu.
Nikikuona una sura hiyo nitakushirikisha, nikikuona una sura ya uadui nami sitaweza kukushirikisha. Utatumia Sheria zote za Kimataifa, zoooote na mimi nitatumia zangu za ndani ya nchi kuku-bar usishiriki kwangu.
Fisi mbona anaweza kutafuna mifupa kuliko SimbaHuyu mtu hata haelewi kuongoza serikali ni kitu gani.
Anafikiri ni vita.
Hawa watu wanapewa uongozi bila ya kuandaliwa vizuri.
Hawajui political economy theory, hawajui philosophy, hawajui politics.
Wanakuja kutawala by personal animosity.
Ndiyo maana hatuelewi maendeleo ni nini.
Yani achana na lengo la kuendelea, hata lengo la kuelewa kuendelea ni nini hatujalielewa.
Sasa tunategemea hili fupa lililomshinda simba hawa fisi na mbwa wataliweza?
Wafuate mfumo wa lebanon,Mimi naona walikosea kuratibu I mean ingekuwa vizuri kama chama kinachoshinda nafasi ya kwaza bas chama kinachofwata kwa kula basi wangepewa nafasi ya umakamu hili kuleta uswa wa kisiasa hiyo ingekuwa siyo kazi ngumu kutekeleza majukumu kilichop vyama vyote vya siasa vinataka dola na haivaja wai pewa nafsi Serikalini kuonyesha ubora wao kwa kuongoza yani kama ingetokea spika anatoka upinzani basi ingekuwa vyepesi kuaminika.
Ni jambo jema
Ndio sababu tunasema Vyama vya Upinzani vya Tanzania ni lazima visupport Serikali vinginevyo vinawekwa pembeni!
Taratibu tutatoka huko tu, Jana hata miaka 2Kiranga
She is still far better than Magufuli..
At least utamtukana utaenda kulala bila wasiwasi....
Hakuna Ben Saanane kupotea
Wala Roma kutekwa wala Maxence Melo kushinda mahakamani...
Fisi mbona anaweza kutafuna mifupa kuliko Simba
I can't believe my eyes. Au wanamsingizia. Labda hakusema hivyo.
TLS siyo chama cha siasa🤷🏻♀️Then kuna haja gani ya kuwa na vyama pinzani? Basicaly wako pale kama picha
Itachukua muda kwasababu viongozi wetu wengi ni masikini hawataki kukubali ndio maana wanaenda na upepo that why bajrt bungeni inapitishwa na wakubali hiliali wanaona bajet sio goodWafuate mfumo wa lebanon,
Rais akiwa tawala, waziri mkuu awe upinzani,, makamu ni ngumu maana itatokea makamu wa chama cha wachache awe rais,, wabunge watampigia kura ya kutokua nae imani,, tutajikuta tunafanya chaguzi kuu kila mwezi kama israel, uchumi hauwezi kuhimili.