Michango yake haiwezi kuegemea vyama, Kwasababu yeye michango yake lazima iwe na kiharufu Cha udini.Mkuu The Boss heshima Yako. Huwa nakubali sana michango Yako, Iko objective bila ushabiki wa kivyama.
Kasema ukikaa ki uadui..sio kila anaepinga adui...sio kila upinzani ni uadui ....adui ni Yule anaepinga kila kitu...mtu analalamika mgao ...akiambiwa tumenunua mitambo ya gesi kuondoa mgao hataki pia ..anataka tusubiri bwawa la Nyerere...sasa watu Aina hiyo ni wazalendo au wanafiki
Kasema ukiwa "adui". Manake unampinga ili ashindwe ..haupingi ili kumkosoa ...ni Sawa na Wale wanapinga kila kituNadhani mama anamaanishabya kwamba yeye atawasikiliza tu wale wanamsikiliza yeye na kumsupport yeye. Kama unampinga, hatakushirikisha ama kukusikiliza.
Kaisome vizuri sheria ya vyama vya Siasa
Ni mfumo wa Chama Kimoja ulioboreshwa ndio sababu CCM haikusajiliwa popote ni Chama Dola!
Huyu mtu hata haelewi kuongoza serikali ni kitu gani.Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Arusha amesema haya kuhusu kushirikisha watu/taasisi ambazo ziko dhidi yake
Kwa mfano Tanzania, miaka minne mitano iliyopita tulikuwa na Tanganyika Law Society ambayo frankly speaking ilikuwa siyo chama cha Wanasheria, kilikuwa chama cha Wanaharakati na mapambano yao yalikuwa ni dhidi ya Serikali.
Sasa mimi nikijua wewe ni dhidi yangu nitakushirikishaje? Siwezi kukushirikisha, si ndiyo! Mpaka unioneshe kwamba am here to support you, I'm here to serve a country, I'm here kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu.
Nikikuona una sura hiyo nitakushirikisha, nikikuona una sura ya uadui nami sitaweza kukushirikisha. Utatumia Sheria zote za Kimataifa, zoooote na mimi nitatumia zangu za ndani ya nchi kuku-bar usishiriki kwangu.
Yes , ukimwaga mbonga , namwaga ugali!Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Arusha amesema haya kuhusu kushirikisha watu/taasisi ambazo ziko dhidi yake
Kwa mfano Tanzania, miaka minne mitano iliyopita tulikuwa na Tanganyika Law Society ambayo frankly speaking ilikuwa siyo chama cha Wanasheria, kilikuwa chama cha Wanaharakati na mapambano yao yalikuwa ni dhidi ya Serikali.
Sasa mimi nikijua wewe ni dhidi yangu nitakushirikishaje? Siwezi kukushirikisha, si ndiyo! Mpaka unioneshe kwamba am here to support you, I'm here to serve a country, I'm here kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu.
Nikikuona una sura hiyo nitakushirikisha, nikikuona una sura ya uadui nami sitaweza kukushirikisha. Utatumia Sheria zote za Kimataifa, zoooote na mimi nitatumia zangu za ndani ya nchi kuku-bar usishiriki kwangu.
Kaisome vizuri sheria ya vyama vya Siasa Bwashee, hilo liko wazi kabisaAcha kutoa Siri za chama. Kwamba CCM hakijasajiliwa.
Kasema ukiwa "adui". Manake unampinga ili ashindwe ..haupingi ili kumkosoa ...ni Sawa na Wale wanapinga kila kitu
Kaisome vizuri sheria ya vyama vya Siasa Bwashee, hilo liko wazi kabisa
Duu! Yaani vyama vya upinzani visupport hata kwa mambo ya hovyo serikali! Sasa kuna haja gani ya kuwa na upinzani? Vifuteni tu mbaki na CCM yenu.Ni jambo jema
Ndio sababu tunasema Vyama vya Upinzani vya Tanzania ni lazima visupport Serikali vinginevyo vinawekwa pembeni!
Mbona anapishana mtazamo na kina Lissu na Mbowe bado wanafanya vikao Hadi Ikulu?Tatizo ni tafsiri ya neno adui. Kupishana mtazamo sio uadui.
I can't believe my eyes. Au wanamsingizia. Labda hakusema hivyo.Ukisoma maneno haya hutaamin kama yanatoka kwa mwanamke msomi.
Tuna supporting parties na siyo Opposition kwa mujibu wa sheriaKwa hivyo sio halali?.
Kwa hiyo nyie hamtaki kupingwa wala kukosolewaNi jambo jema
Ndio sababu tunasema Vyama vya Upinzani vya Tanzania ni lazima visupport Serikali vinginevyo vinawekwa pembeni!
Hao akina Chadema wanajiita tu hilo jina la " Wapinzani"Duu! Yaani vyama vya upinzani visupport hata kwa mambo ya hovyo serikali! Sasa kuna haja gani ya kuwa na upinzani? Vifuteni tu mbaki na CCM yenu.