MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Michango yake haiwezi kuegemea vyama, Kwasababu yeye michango yake lazima iwe na kiharufu Cha udini.Mkuu The Boss heshima Yako. Huwa nakubali sana michango Yako, Iko objective bila ushabiki wa kivyama.
Ni kama Mohamed Said, yeye Hana chama ila ana udini.
Watu wake hawajawahi kukosea.