Rais Samia: Nikijua wewe ni dhidi yangu(Serikali) siwezi kukushirikisha. Utatumia sheria zote za Kimataifa, nitatumia za ndani kuku-bar

Rais Samia: Nikijua wewe ni dhidi yangu(Serikali) siwezi kukushirikisha. Utatumia sheria zote za Kimataifa, nitatumia za ndani kuku-bar

Kasema ukikaa ki uadui..sio kila anaepinga adui...sio kila upinzani ni uadui ....adui ni Yule anaepinga kila kitu...mtu analalamika mgao ...akiambiwa tumenunua mitambo ya gesi kuondoa mgao hataki pia ..anataka tusubiri bwawa la Nyerere...sasa watu Aina hiyo ni wazalendo au wanafiki

Nadhani mama anamaanishabya kwamba yeye atawasikiliza tu wale wanamsikiliza yeye na kumsupport yeye. Kama unampinga, hatakushirikisha ama kukusikiliza.
 
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Arusha amesema haya kuhusu kushirikisha watu/taasisi ambazo ziko dhidi yake

Kwa mfano Tanzania, miaka minne mitano iliyopita tulikuwa na Tanganyika Law Society ambayo frankly speaking ilikuwa siyo chama cha Wanasheria, kilikuwa chama cha Wanaharakati na mapambano yao yalikuwa ni dhidi ya Serikali.

Sasa mimi nikijua wewe ni dhidi yangu nitakushirikishaje? Siwezi kukushirikisha, si ndiyo! Mpaka unioneshe kwamba am here to support you, I'm here to serve a country, I'm here kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu.

Nikikuona una sura hiyo nitakushirikisha, nikikuona una sura ya uadui nami sitaweza kukushirikisha. Utatumia Sheria zote za Kimataifa, zoooote na mimi nitatumia zangu za ndani ya nchi kuku-bar usishiriki kwangu.

Huyu mtu hata haelewi kuongoza serikali ni kitu gani.

Anafikiri ni vita.

Hawa watu wanapewa uongozi bila ya kuandaliwa vizuri.

Hawajui political economy theory, hawajui philosophy, hawajui politics.

Wanakuja kutawala by personal animosity.

Ndiyo maana hatuelewi maendeleo ni nini.

Yani achana na lengo la kuendelea, hata lengo la kuelewa kuendelea ni nini hatujalielewa.

Sasa tunategemea hili fupa lililomshinda fisi hawa mbwa koko wataliweza?
 
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Arusha amesema haya kuhusu kushirikisha watu/taasisi ambazo ziko dhidi yake

Kwa mfano Tanzania, miaka minne mitano iliyopita tulikuwa na Tanganyika Law Society ambayo frankly speaking ilikuwa siyo chama cha Wanasheria, kilikuwa chama cha Wanaharakati na mapambano yao yalikuwa ni dhidi ya Serikali.

Sasa mimi nikijua wewe ni dhidi yangu nitakushirikishaje? Siwezi kukushirikisha, si ndiyo! Mpaka unioneshe kwamba am here to support you, I'm here to serve a country, I'm here kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu.

Nikikuona una sura hiyo nitakushirikisha, nikikuona una sura ya uadui nami sitaweza kukushirikisha. Utatumia Sheria zote za Kimataifa, zoooote na mimi nitatumia zangu za ndani ya nchi kuku-bar usishiriki kwangu.

Yes , ukimwaga mbonga , namwaga ugali!
 
Duu! Yaani vyama vya upinzani visupport hata kwa mambo ya hovyo serikali! Sasa kuna haja gani ya kuwa na upinzani? Vifuteni tu mbaki na CCM yenu.
Hao akina Chadema wanajiita tu hilo jina la " Wapinzani"

Nitajie nchi moja tu duniani ambayo Vyama vya Upinzani viliasisiwa na chama tawala?
 
Back
Top Bottom