Rais Samia: Nimepigiwa sana kelele kuhusu Katiba, ila kwa sasa tusahau kwanza

Ndio waonakuweka mjini mpaka sasa ujue!
 
Nimemsikiliza hotuba yake tone yake siyo ya kukataa katiba mpya
 
Muda utaongea
Wana JF

Raisi Samia wakati akiwaapisha mawaziri amesema kuwa amepigiwa sana kelele kuhusu katiba mpya, ila kwa sasa anaomba tusahau kwanza . Swali ni je kuna uwezekano mama akarudisha mchakato wa katiba au ndio hapa kazi tu .?

Haki huinua taifa.
 

Naunga mkono hoja!

Lakini swala la katiba mpya awezi kujaribu kabisa.
 

Acha uchawi we jamaa!
 
Aliyekuwa na nia njema na nchi hii kuhusu katiba mpya alikuwa JK basi, huyo mwingine ni legacy ya Magu tu CCM ni ileile
Mazuzu ya Ukawa yaliacha kupambana mpaka mwisho yakakimbia vitani.. Matokeo yake ndio haya sasa..

Mazuzu ya Ukawa yalikimbia bungeni kisa serikali tatu zilipigwa pini. Leo hii wanalia lia
 
Mimi nilishajiandaa kisaikolojia tangu marehemu alipochaguliwa kuwa rais.
Nilijua Tu HAMNA KITU.binafsi sikuwa namkubali.hata Samia pia niseme ukweli bado hajanishawishi ila tumpe muda.
Na wewe utakuwa wapi?
 
Mbona hajasema kwanini tusubiri? nimefurahi kumbe kelele zimeshamfikia, sasa namwambia hizi kelele anazosikia hazitakoma mpaka Katiba Mpya ipatikane.
 
Mimi nilishajiandaa kisaikolojia tangu marehemu alipochaguliwa kuwa rais.
Nilijua Tu HAMNA KITU.binafsi sikuwa namkubali.hata Samia pia niseme ukweli bado hajanishawishi ila tumpe muda.
Basi tuungane tuongeze pressure nina hakika hata Wazanzibari wengi wataunga mkono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…