Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Kwa hiyo Chui jike ni Form Four Failure (FFF) ?Form four failure anataka PhD!
Labda kama ataoewa ya kulembua macho na kupaka wanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Chui jike ni Form Four Failure (FFF) ?Form four failure anataka PhD!
Labda kama ataoewa ya kulembua macho na kupaka wanja
Unaytaka ya Ben saanane?Atuoneshe vyeti vyake vya elimu ya sekondari kwanza, huwezi tamani vitu vikubwa ilihali vitu vidogo vinakutoa jasho..
Mama anaifungua nchi hana shida na roho za watuUnaytaka ya Ben saanane?
Hii siyo lugha ya mtu anayejidai kaelimika. Unamzungumzia Rais na Amiri Jeshi Mkuu# Knowledge brings wisdom.Huyu kilaza aliyebumba toka sekondari aende uzamivu upi? Kule CED alikuwa kilaza wa nguvu. Lakini anyway atapewa na yale magumashi yalimpa jafo!
Kabisa umeandika hivi? Aisei!Form four failure anataka PhD!
Labda kama ataoewa ya kulembua macho na kupaka wanja
Ukiwa jinsia ya Ke na mashallah umejaliwa "reception" na ukawa mkazi wa Afrika na hasa Tanzania una uwezekano 99.99% wa kupanda ngazi haraka. kuna awamu wakuu wa Wilaya na viti maalum zilikuwa pisi Kali 89%Sawa bwana ila kuna jambo la kujifunza hapo! Kutoka ukalani wa masijala hadi Urais wa nchi , hili sio jambo dogo!
Uvumilivu na matumaini vikifika 0.009% hata Dalai Lama anarusha tusi kama mpiga debe! Tumechoka Sana na hao wenye nchi!Hii siyo lugha ya mtu anayejidai kaelimika. Unamzungumzia Rais na Amiri Jeshi Mkuu# Knowledge brings wisdom.
Ndio maana suala la mawaziri kupata Ph.D kwa kasi limeleta mjadala mkubwa hivi karibuni.
Mbowe amefungwa kipindi gani kwa kesi ya ugaidi!??Ndio najitambua. Mustakabali wa nchi ulivurugwa sana awamu iliyopita kiasi ya kwamba ilibidi Mungu mwenyewe aingilie kati and someone had to be stopped ASAP kwa maslahi mapana ya taifa. Angalia Mambo ya kutisha na ya ajabu kina sabaya makonda. Watu kuuwawa hovyohovyo uporaji wa pesa na mali. Maisha ya mtanzania hayakuthaminiwa kabisa.
Jamani🤣🤣🤣Form four failure anataka PhD!
Labda kama ataoewa ya kulembua macho na kupaka wanja
Hata za majuu nazo ni tatizo! Umesahau ya msema kweli aliionyesha viongozi wenye degree feki za nje miaka hiyo!PhD za hapa bongolala zimekuwa kama ngoma ya mdundiko, bora kukomaa kusoma kwenye reputable universities huko majuu......vinginevyo utakuwa huna tofauti na Dr. msukuma kwenye viwango vyako vya uelewa.
Hapo ndo linakuja swali- Elimu inayotolewa vyuoni ina akisi mazingira ya utekelezaji wake? Ina faida kwa jamii?Hapo wachumia tumbo wameshasikia wanajiandaa kumtunuku uyo chui jike PhD ya mchongo
Wanasiasa wanapenda PhD ila kusoma na ku-practise walichojifunza hawawezi