Rais Samia: Nimeshindwa kufanya PhD kutokana na majukumu kuwa mengi

Licha ya hivyo lakini yule alitwaliwa kabla ya siku yake alikuwa hafai. Ndo Mungu akamleta mama kuokoa jahazi.
Kama Mungu ndio alikuwa na mpangilio huo nina mashaka na IQ yake maana ule hauelekei kuwa mpango wake.
 
😀 😀 Aende kwenye kile chuo Cha ccm akachukue za michongo.
 
😀 😀 Aende kwenye kile chuo Cha ccm akachukue za michongo.
Chuo cha CCm si ndiyo chuo cha nchi!! Maana CCm ipo madarakani...hahap
Anaonesha kabisa shule kwake ilipita kushoto ,alikuwa analazimisha tu ,na kukabidhiwa kitengo ...
Tujifunze pia hakuna uhusiano kati ya shule kubwa na mafanikio ya maisha, na hakuna uhusiano kati ya shule kubwa na madaraka makubwa serikalini....what's matters is voters !
 
Hiyo ni fursa kwa wakuu wa vyuo....
Hapo wachumia tumbo wameshasikia wanajiandaa kumtunuku uyo chui jike PhD ya mchongo

Wanasiasa wanapenda PhD ila kusoma na ku-practise walichojifunza hawawezi
 
Kwa hiyo unataka kusema kila aliyesoma ualimu alifeli kwanza....
Hata Magufuli alikuwa kilaza ,alifeli mtihani wa kidato cha sita ,akakosa credit za kwenda Chuo kikuu,akaenda Ualimu (Mkwawa )
 
Atuoneshe vyeti vyake vya elimu ya sekondari kwanza, huwezi tamani vitu vikubwa ilihali vitu vidogo vinakutoa jasho..
Mkuu katika maisha kikubwa ni ufahamu na elimu ni sehemu ndogo ya ufahamu. Ufahamu hupatikana katika mazingira anyoishi mtu.
Tazama vitoto vikicheza utagundua katika watoto kuanzia wawili kuna mmoja anatenda kama kiongozi. Tambua huyu mtoto kiongozi ana ufahamu mkubwa kuliko hao wengine na sio kuwa kasoma kuliko wengine na hivyo kutambua vitu muhimu.
Hivyo, elimu ya darasani sio kigezo pekee bali ikiambatana na ufahamu ndio huwa vema zaidi.
Basi ni vema kupima mtu ufahamu wake kwa kuhusisha na matendo yake.
 
Kwa hiyo Chui jike ni Form Four Failure (FFF) ?
Huyu Samia alisoma elimu ya watu wazima tu aache kudanganya umma,miaka 17 aliyosema alikuwa anaanza kazi,enzi hizo ndio ilikuwa ya kumaliza darasa la 7 maana shule tulikuwa tunaanza la Kwanza tukiwa na miaka 9-11,ukiwa mfupi ndio usisogelee hiyo shule,Sasa Samia shule hiyo dalasa la Kwanza mpaka form four,aliisoma akiwa na miaka mingapi?
 
Hili lilikuwa tangazo kwamba natafuta PhD. Watafuta fursa wakaiona na kuanza kuuunda magfanikio hadi PhD
 
Atuoneshe vyeti vyake vya elimu ya sekondari kwanza, huwezi tamani vitu vikubwa ilihali vitu vidogo vinakutoa jasho..
Vidogo ni vipi? Hebu muache bi mchele kumbe alianza kuisaidia jamii kitambo sana.
Kongole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…