kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Mama na watu wake wa usalama kuna mahali wameruhsu vilaza na wamewaaminiHata siku moja swala au mipango ya uhaini haizungumzwi kwenye mkutano wa hadhara kama kungekuwa na wahaini wangesha kamatwa hayo ni mambo ya kisiasa
AnajidanganyaAisee
Ni kwamba wanamdanganya? au ndio mwisho wa akili yake ulipofikia
Ni huzuni.Aisee
Ni kwamba wanamdanganya? au ndio mwisho wa akili yake ulipofikia
Mbowe hakupewa Ugaidi.Wakati Mbowe anapewa Ugaidi kulikuwa na Uchaguzi gani?
😆😆😆😆 endelea kupanua magoliMbowe hakupewa Ugaidi.
Alikamatwa na kushitakiwa kama Gaidi kwa kufanya mambo yanayoashiria uasi kwa kutumia Ugaidi. Akawa Gaidi. Alipewa tena?
Kwanza ilibidi wawe wamewekwa kizuizini wakiwa katika huo mkutano wao. Maana ni uhaini. Ila ni porojo tu zile.Wewe unaamini hizo hadithi? Kama ni kweli aliyoyasema, kwa nini aliogopa kutaja jina la hicho chama?
Acha hizo tikitaka basi😂😂😂😂🤡😆😆😆😆 endelea kupanua magoli
Mkuu,Umeingia kwenye siasa za kijinga
Hangaikeni tu,mtaijua dola ni kitu gani,uhuru wa manyaniNilisema watakuwa wamempa intelijensia ya uongo.
Wamemtisha kabisa kwamba alitaka kupinduliwa.
Na kwa muonekano, na anavyoongea, madaraka yamembadili na kumu expose vibaya.
Kuhusu kuutandika mwingi ni vichekesho vya kunywea kahawa tu.vipi? Haupigi mwingi tena
Chura kazibuka maskioHuyu Rais hamna kitu
vipi? Haupigi mwingi tena