Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

tupo na raisi bega kwa bega kuilinda amani ya nchi
Mko bega kwa bega na Samia kwa sababu ya upumbavu wenu. Kama anavyosema ni kweli kuwa chawa wake walimuambia kulikuwa na mipango ya kihalifu kwanini wasiwakamate wahusika na kuwashitaki mahakamani badala ya kuwaua?
Samia anafikri kwa kutumia majambazi wa polisi ndio ataendelea kutawala!! Hao hao maaskari kwa udhaifu wake siku moja watamgeuka! Mfano kwake ni mwanamke mwenzie wa Pakistan aliyeondolewa juzi juzi!! Ni mtawala mjinga anaetegemea majeshi kumlunda ; wenye akili wanawategemea wananchi for their survival! Unfortunately, Samia is very unpopular because of her corruption.
 
Kauli gani kali ilotolewa? Hii ni nchi bwana, kirahisi rahisi aje muwakilishi wa nchi ya Kigeni kisha atoe amri kwa Serikali, fanya hiv, fanya vilee... kirahis rahisi tu!! Kweli tunategemeana, lkn lazina kuwe na mipaka mkuu!
Mtu kusema swala la watu kutekwa kuuliwa si sawa ..ww unaona anakuingilia mambo yako !!!au mpaka utekwe ww ndo utaona umuhim wa watu kusema maovu..Ni sawa na jirani yako aone hauko sawa akupe ushauri wewe uone unaingiliwa .
 
Kwa hiyo unataka kulinganisha Tz na Us😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅🤣😅🤣🤣🤣😅🤣🤣😅🤣🤣🤣
Weka pia picha za mateja wa huko USA waliosimama katika vituo vya mabasi wakitokwa na maudenda, zipo nyingi tu huko mitandaoni.

Pia tunazo sehemu nyingi za kupiga picha nzuri za kuvutia, huwezi kuzijua kwa sababu ya akili zile zile za kitumwa, zinazotafuta mabaya ya Tanzania na mazuri ya wazungu.
 
Heeeeee!
Kumbe hali ya hatari ilisha tangazwa; ni lini hiyo?
Ni kwamba siku hiyo nzima wananchi wa Tanzania hawatakiwi kutoka nje ya nyumba zao?

Huyu mama kweli ni kiboko yao!

Sasa naona nchi ndio itatulia vizuri kabisa. Hongera zenu mkuu!
Ukija kwa amani utapokelewa kwa amani, ukija kwa shari utakutana na shari.
 
Kwa hiyo unataka kulinganisha Tz na Us😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅🤣😅🤣🤣🤣😅🤣🤣😅🤣🤣🤣
Hao wenye mawazo ya kitumwa wanaleta picha zenye kujidharau wao wenyewe. Wanasahau kuwa Afrika ni tajiri kwa rasilimali kuliko hao wazungu wanaowapapatikia.
 
Ni kama nakumbuka Mbowe aliwahi kuwa "Gaidi", ambaye wenzake tayari walikuwa walisha hukumiwa vifungo.
Hicho cha kwake kiliahirishwa hadi wakati huu?

Kuna mambo husikitisha sana, hasa yanapo wahusu viongozi wakuu wa nchi kama huyu!

Mkuu 'Steven Joel Ntamusana', usikose kufikisha pongezi nyingi kwa mkuu wetu kutuondolea balaa hili lililokuwa linataka kutunyemelea kwa hotuba yake hii iliyo watia jamba jamba hawa wasio penda amani itamalaki nchini mwetu.
Sina shaka kabisa kawakomesha kwa hotuba yake hii ya busara nyingi.
Tanzania imejaa fursa nyingi sana na wanaoziona na kufaidika nazo ni wageni wenye misingi mizuri ya elimu sisi kama kawaida yetu ni madalali wa vurugu na kuisema vibaya serikali. Haitusaidii chochote zaidi ya hizi harakati zetu kutuacha na umaskini ule ule wa siku zote.

Mbowe tangu miaka ile ya 2006 baada ya kushindwa urais yeye siku zote ni wakala wa vurugu, kila anachoandika na kukiongea ni mahubiri juu ya nchi kutotawalika. Kaondoka Kikwete kaja RIP Magufuli na sasa yupo Samia yeye na maneno yake yale yale ya Tanzania itakuja kuchafuka.

Inapochafuka anakuwa wa kwanza kupanda ndege kukimbilia huko Ulaya na Marekani anawaachia matatizo watoto na vijana wa masikini wa nchi hii.
 
Acha uongo, Deborah hakuwahi kuwa mwamuzi alikuwa ni nabii, hakuna sehemu kwenye Biblia inasema Deborah alikuwa mwamuzi. Someni vizuri Biblia zenu. Labda iwe haujui nini maana ya nabii
kwenye Biblia kuna mwamuzi wa kike aliyeitwa Debora. Anatajwa katika kitabu cha Waamuzi, sura ya 4 na 5. Debora alikuwa siyo tu mwamuzi bali pia nabii. Aliwaongoza Waisraeli na kuchukua nafasi muhimu katika kuwasaidia kushinda jeshi la Wakanaani lililoongozwa na Sisera. Alifanya kazi kwa ushirikiano na Baraka, kiongozi wa kijeshi, lakini ilikuwa ni hekima na uongozi wa Debora uliowasaidia Waisraeli kupata ushindi. Debora ni kielelezo cha uongozi wa kike katika Biblia.
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Akifunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania, Viwanja vya Jeshi la Polisi CCP Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba, 2024.

View attachment 3098792
View attachment 3098793
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Moshi Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba 2024.
View attachment 3098802
View attachment 3098805
View attachment 3098806
View attachment 3098807
Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Polisi Tanzania likipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS), Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 17 Septemba, 2024.

View attachment 3098810

View attachment 3098811
View attachment 3098812

View attachment 3098834
Rais #SamiaSuluhuHassan akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Moshi (TPS), amesema Serikali ina taarifa ya kikao cha chama cha Siasa anachodai kinalenga kufanya Siasa chonganishi na kuwa Serikali haitakubali hilo kwa kulinda Katiba na kuimarisha ulinzi wa maisha ya Watanzania.

Amesema “Kumepangwa kushusha moto hadi Samia aseme basi naondoka, hiyo Serikali au Serikali ya Samaki? Maana Samaki kadiri anavyokuwa mkubwa na akili inafanyaje? Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo.”

Hivi askari wakipata taarifa za ukweli (kutoka vyanzo vya uhakika) kwamba X na Y wamekaa mahali fulani wanapanga kufanya uhalifu/jinai hawawezi kwenda na kuwakamata kwa mahojiano? Nini maana ya kuwa na "suspects" kama hao watu hawawezi kukamatwa kwa mahojiano kuhusiana na uhalifu walioupanga? Naomba mwenye mwanga wa kisheria kwa hili anisaidie tafadhali.
 
Mahakama ilisema mbowe ana Kesi ya kujibu na kuhusu ugaidi, Mama akamwonea huruma. Leo huyo huyo aliyemsamehe na kesi kufutwa amesema anaushaidi haohao aliowasamehe kinyume na mahakama wameanza tena vitendo vya ugaidi. Wewe unabisha!
Rubbish! mahakama zipi? za Juma Kilaza? za UK? za US? za wapi? uwe na akili za kifikiri kwa undani sana
 
tiss walipenyezwa kwenye huo m

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Akifunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania, Viwanja vya Jeshi la Polisi CCP Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba, 2024.

View attachment 3098792
View attachment 3098793
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Moshi Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba 2024.
View attachment 3098802
View attachment 3098805
View attachment 3098806
View attachment 3098807
Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Polisi Tanzania likipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS), Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 17 Septemba, 2024.

View attachment 3098810

View attachment 3098811
View attachment 3098812

View attachment 3098834
Rais #SamiaSuluhuHassan akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Moshi (TPS), amesema Serikali ina taarifa ya kikao cha chama cha Siasa anachodai kinalenga kufanya Siasa chonganishi na kuwa Serikali haitakubali hilo kwa kulinda Katiba na kuimarisha ulinzi wa maisha ya Watanzania.

Amesema “Kumepangwa kushusha moto hadi Samia aseme basi naondoka, hiyo Serikali au Serikali ya Samaki? Maana Samaki kadiri anavyokuwa mkubwa na akili inafanyaje? Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo.”

kutano so ana video ya huo mkutano mzima
 
Back
Top Bottom