Rais Samia: Sasa Tanzania tumeuza (Bandari), wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Rais Samia: Sasa Tanzania tumeuza (Bandari), wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

14 Julai 2023
Dar es Salaam, Tanzania

Wahariri wa Vyombo vya Habari Tanzania Wakiwakaba Koo Watendaji wa Serikali Sakata la Uwekezaji Bandari



Source: The Chanzo

Serikali ya Kenya yaruka kimanga, ahadi ilizotoa kwa Dubai kuhusu bandari

09 July 2022

CHARLES WASONGA: Serikali ijayo ifutilie mbali mpango fiche wa ubinafsishaji bandari zetu


CHARLES WASONGA: Serikali Ijayo Ifutilie Mbali Mpango Fiche Wa Ubinafsishaji Bandari Zetu​


NA CHARLES WASONGA

SERIKALI inafaa kuondoa usiri unaogubika mpango wake wa kubinafsisha au kuuza mali yoyote ya umma ili kuondoa uwezekano wa maswali kuibuliwa kuhusu uwepo wa hila.


Hii ni baada ya wanasiasa wa mrengo wa Kenya Kwanza kudai kuwa, serikali chini ya Rais Uhuru Kenyatta, imeuza bandari za Mombasa, Lamu na Kisumu kwa kampuni moja kutoka Dubai, Umoja wa Milki za Kiarabu (UAE), kisiri.

Wakiongozwa na kiongozi ANC Musalia Mudavadi, wanasiasa hao walidai Katiba na sheria husika hazikufuatwa katika mpango huo ambao ulikamilishwa mnamo Machi 1, mwaka huu.

Lakini Waziri wa Fedha Ukur Yatani, ambaye walidai ndiye alitia saini mpango huo na kampuni ya Dubai Port World, alikanusha madai ya wanasiasa hao ambao ni wandani wa Naibu Rais William Ruto.

Kulingana na waziri huyo, mpango uliopo ni wa ubinafsishaji wa sehemu za kupakia konteina katika bandari hizo, ambao ulianza 2015 lakini haujakamilishwa.

Sasa maswali yanayoibuka ni je, mbona ni wakati huu ambapo Waziri anatoa maelezo finyu kuhusu mpango huo baada ya wanasiasa kuibua maswali kuuhusu?

Pili, mbona serikali haikutangaza zabuni kuhusu mpango huo katika vyombo vya habari vya humu nchini na vile vya kimataifa kwa mujibu wa sheria za ununuzi na uuzaji wa bidhaa za umma, 2005?

Mbona Serikali haikukusanya maoni kutoka kwa wananchi kuhusu pendekezo hilo, inavyohitajika kwa mujibu wa kipengele cha 118 cha Katiba ya sasa?

Bw Yatani hakutoa majibu sahihi kwa maswali kama haya na mengine wala kusema iwapo suala hilo lilijadiliwa na kupitishwa katika baraza la mawaziri.

Bandari za Mombasa, Lamu na Kisumu ni mali ya Wakenya ambayo husimamiwa na serikali iliyoko mamlakani kwa niaba yao.

Kwa hivyo, endapo kuna mipango yoyote ya kuuza au kuzibinafsisha, kwa sababu yoyote ile, wananchi wanafaa kujulishwa.

Njia mwafaka ambayo kwayo wananchi wanaweza kuhusishwa ni kupitia asasi ya bunge ambako kuna wawakilishi wao.

Kwa sababu mkondo wa kisheria haukufuatwa katika mpango huo kati ya Serikali na Dubai Port World, naomba serikali ijayo iufutilie mbali
 
Rais Samia akihutubia wakati wa uapisho wa viongozi, akizungumzia kuhusu Wizara mpya ya Mipango na Uwekezaji ameonesha namna ya kuweza kuzitambua fursa mbalimbali na kuzifanyia kazi kama nchi ili zisipotee.

Akitolea mfano sakata la sasa la fursa ya uwekezaji kwenye bandari zetu amesema haya, nanukuu

Ndugu zangu wakati sisi tunalumbana bandari yetu apewe nani, wenzetu kwa kuona malumbano yetu wame-jump wameenda kulekule, na lile jumba lililowekwa bendera ya Tanzania, limewekwa bendera ya jirani.

Sasa Tanzania tumeuza, sasa wale majirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Na siku ambayo Bunge letu hapa lilisema kwamba ni ruhusa bandari yetu iendeshwe na Serikali na sekta binafsi, siku ya pili wenzetu wakasema ninyi moja? Sisi zote zilizoko huku ziende private sector na wakakimbilia kwenda kule kwenda kuwahi nafasi. Kama wale wanalumbana, njooni huku.

Sasa muone jinsi fursa zinavyokuja na kukimbia harakaharaka na jinsi wengine wanavyoweza kuzitumia haraka haraka.


Nimesema tu nitoe mfano huo kuona changamoto na jinsi ya kupata fursa kuzitumia na kuzifanya zisipotee.

Hatudanganyiki .
 
Mbona ccm sio waelewa!!?
Hakuna mtanzania ambaye hataki uwekezaji nchini. Wenye nchi wanataka uwekezaji wenye tija kwao na kwa vizazi vyao vijavyo.
Rais Samia akihutubia wakati wa uapisho wa viongozi, akizungumzia kuhusu Wizara mpya ya Mipango na Uwekezaji ameonesha namna ya kuweza kuzitambua fursa mbalimbali na kuzifanyia kazi kama nchi ili zisipotee.

Akitolea mfano sakata la sasa la fursa ya uwekezaji kwenye bandari zetu amesema haya, nanukuu

Ndugu zangu wakati sisi tunalumbana bandari yetu apewe nani, wenzetu kwa kuona malumbano yetu wame-jump wameenda kulekule, na lile jumba lililowekwa bendera ya Tanzania, limewekwa bendera ya jirani.

Sasa Tanzania tumeuza, sasa wale majirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Na siku ambayo Bunge letu hapa lilisema kwamba ni ruhusa bandari yetu iendeshwe na Serikali na sekta binafsi, siku ya pili wenzetu wakasema ninyi moja? Sisi zote zilizoko huku ziende private sector na wakakimbilia kwenda kule kwenda kuwahi nafasi. Kama wale wanalumbana, njooni huku.

Sasa muone jinsi fursa zinavyokuja na kukimbia harakaharaka na jinsi wengine wanavyoweza kuzitumia haraka haraka.


Nimesema tu nitoe mfano huo kuona changamoto na jinsi ya kupata fursa kuzitumia na kuzifanya zisipotee.

Jaribuni kulegeza akili zenu enyi ccm
 
Rais Samia akihutubia wakati wa uapisho wa viongozi, akizungumzia kuhusu Wizara mpya ya Mipango na Uwekezaji ameonesha namna ya kuweza kuzitambua fursa mbalimbali na kuzifanyia kazi kama nchi ili zisipotee.

Akitolea mfano sakata la sasa la fursa ya uwekezaji kwenye bandari zetu amesema haya, nanukuu

Ndugu zangu wakati sisi tunalumbana bandari yetu apewe nani, wenzetu kwa kuona malumbano yetu wame-jump wameenda kulekule, na lile jumba lililowekwa bendera ya Tanzania, limewekwa bendera ya jirani.

Sasa Tanzania tumeuza, sasa wale majirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Na siku ambayo Bunge letu hapa lilisema kwamba ni ruhusa bandari yetu iendeshwe na Serikali na sekta binafsi, siku ya pili wenzetu wakasema ninyi moja? Sisi zote zilizoko huku ziende private sector na wakakimbilia kwenda kule kwenda kuwahi nafasi. Kama wale wanalumbana, njooni huku.

Sasa muone jinsi fursa zinavyokuja na kukimbia harakaharaka na jinsi wengine wanavyoweza kuzitumia haraka haraka.


Nimesema tu nitoe mfano huo kuona changamoto na jinsi ya kupata fursa kuzitumia na kuzifanya zisipotee.

Samia ni Rais mwanamageuzi sio Rais wa kukariri ujinga ujinga kisa tuu sijui wazee sijui upuuzi gani hakuna nonsense..

Kwanza amesema hakuna kuogopa kubadili muelekeo wa Nchi kama Kuna manufaa regardless of maumivu ,mtazoea tuu 🔥🔥
 
Rais Samia akihutubia wakati wa uapisho wa viongozi, akizungumzia kuhusu Wizara mpya ya Mipango na Uwekezaji ameonesha namna ya kuweza kuzitambua fursa mbalimbali na kuzifanyia kazi kama nchi ili zisipotee.

Akitolea mfano sakata la sasa la fursa ya uwekezaji kwenye bandari zetu amesema haya, nanukuu

Ndugu zangu wakati sisi tunalumbana bandari yetu apewe nani, wenzetu kwa kuona malumbano yetu wame-jump wameenda kulekule, na lile jumba lililowekwa bendera ya Tanzania, limewekwa bendera ya jirani.

Sasa Tanzania tumeuza, sasa wale majirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Na siku ambayo Bunge letu hapa lilisema kwamba ni ruhusa bandari yetu iendeshwe na Serikali na sekta binafsi, siku ya pili wenzetu wakasema ninyi moja? Sisi zote zilizoko huku ziende private sector na wakakimbilia kwenda kule kwenda kuwahi nafasi. Kama wale wanalumbana, njooni huku.

Sasa muone jinsi fursa zinavyokuja na kukimbia harakaharaka na jinsi wengine wanavyoweza kuzitumia haraka haraka.


Nimesema tu nitoe mfano huo kuona changamoto na jinsi ya kupata fursa kuzitumia na kuzifanya zisipotee.

Mama siziache bandari za watu , usipokuepo wapo watakao kuja watajua cha kufanya , kwamba Dubei kuweka bendera ya Kenya basi wanataka kuuza bandari zao ?
Nakushauri hachana na hili jambo kwanza alitawezekana , pili ukilaendele likomalia utajijua , naishia hapa , asema Bwana, chukua maneno ayo machache utaki acha ,
 
Mama siziache bandari za watu , usipokuepo wapo watakao kuja watajua cha kufanya , kwamba Dubei kuweka bendera ya Kenya basi wanataka kuuza bandari zao ?
Nakushauri hachana na hili jambo kwanza alitawezekana , pili ukilaendele likomalia utajijua , naishia hapa , asema Bwana, chukua maneno ayo machache utaki acha ,
Ndio yupo lazima afanye kwani unampangia wewe kama nani?
 
Kile kiti kina shida sana. Watu wanakataa Terms za mkataba, hawakatai kuwekeza. Hatuoni tija katika terms zile.

Sijui ni kupigwa upofu au kujipiga upofu.
Sasa kati ya Tanzania na Dubai,unazani nani mwenye shida ya uweekezaji!? Mwenye shid lazima uwe mpole,na ridhika utakachopewa, hutaki kaa na li Bandari lako!!
 
Mkuu, Safi sana kwa kuleta hii habari Katika muda muafaka kabisa.
Mombasa, Kenya

Advocate Murshid Abdallah Mohammed wa Mvita, Kenya, Wafanyabiashara, makuli wapinga uwekezaji wa DP World nchini Kenya kwa sababu zifuatazo:

PRESS RELEASE OBJECTING TO GIVING KENYA´S PORTS TO UAE DP WORLD



Jirani hapo Kenya wadau wa pwani na Kenya nzima waitisha press conference kupinga hatua za serikali kutaka kubinafsisha bandari ambazo ni mali ya umma, usalama wa taifa, sababu wananchi hawajashirikishwa, uchumi wa buluu kuathiriwa, bandari kavu kuhamishwa .....

Mr. Murshid Abdallah Mohamed. Biography : NPSC (National Police Service commission) Commissioner. Advocate of the High Court, former Commissioner, Boundaries IEBC Kenya ...


More info :
Nairobi, Kenya
Serikali ya Kenya yaruka kimanga, ahadi ilizotoa kwa Dubai kuhusu bandari

Kenya disowns port deal promises made to Dubai​

Friday July 22 2022​


DP World said the Kenyan government had promised to issue a request for a commercial proposal for the port deals before the election.

66884454-5477-40E7-9985-C0653ED10125.jpeg

Kenya had agreed to offer preference to DP World, owned by the government of Dubai and one of the world’s largest port operators, in a deal inked between the two States.

DP World said the Kenyan government had promised to issue a request for a commercial proposal for the port deals before the August 9 General Election.

Under the deal, DP World was to deploy its money to build three berths at the Mombasa port, develop cold storage supply chains in Kisumu and Naivasha and to build a special economic zone in Lamu.

The Dubai firm was to submit a commercial proposal to equip and operate the three completed berths in Lamu.

Kenya has however disowned promises of the tender made to Dubai Port (DP) World that would have allowed the UAE-based firm to offer a bid for development, operation and management of the country’s four ports.The Treasury has disowned the existence of such a deal and denied ever mentioning plans to issue a tender by July.

It was a ‘government-to-government’ agreement signed proposing to DP world to take part in the process. It was an agreement to explore how DP World can provide gateways into the country and the hinterland. Kenya Treasury CS Ukur Yatani has denied the deal.

When requested comments on whether the request for proposal (RFP) will be issued this month, Treasury Cabinet Secretary Ukur Yatani replied “No,” via text without offering any explanations.

Typically once an RFP is issued bidders are given weeks to fill and submit bids outlining the amount of investment required, financing options and a feasibility study which could take months.

DP World first entered the fray in Kenya in 2014 when the government floated an international competitive tender to concession the second container terminal in Mombasa. Port operators from China, Japan, Singapore, Netherlands and several other countries participated in the tender.

The Chinese group, PSA International, which had partnered with a local firm, Multiple Hauliers, had the highest marks, with DP World emerging second but was to secure the tender through backdoor like it had done in other countries before.

The process was then cancelled amid political undercurrents. The Treasury Cabinet Secretary previously confirmed that DP World were among many port operators being explored by the government as potential private partners to run the new Lamu Port
If possible, naomba uufungulie uzi wake huku ukim- quote Sa100 ili kuweka kumbukumbu sawa
 
Hapa tuu ndio Huwa namkubali Rais Samia,haijalishi makelele yakoje ila kama jambo Lina Tija anasomga mbele..

Huwezi sema puuza makelee ,wananchi wakiamua kesho hayupo ofisini , nyie ndo wapumbavu mnaomjaza upumbau rais ,naye kufanya upumbuvu kupitia ushauri wenu wa kipumbavu wenda kwa kujua au kutojua, pumbavu
 
Kwahiyo akaongea na wajomba zake waweke picha ya bendera ya Kenya ili apate cha kusema
 
Mkataba una shida gani?
Shida siyo uwekezaji, huko sisi tumeshapita. Si mnaona tunavyo furahia uwekezaji pale Simba na Yanga? Na timu zinafanya vizuri Sababu ya uwekezaji. Lakini tukiambiwa huyu mwekezaji atadumu milele na hakuna mwekezaji mwingine anaruhusiwa bila idhini ya mwekezaji aliyepo unadhani patakalika? Shida ipo kwenye MKATABA.Toeni utata, tusonge mbele.
 
Huwezi sema puuza makelee ,wananchi wakiamua kesho hayupo ofisini , nyie ndo wapumbavu mnaomjaza upumbau rais ,naye kufanya upumbuvu kupitia ushauri wenu wa kipumbavu wenda kwa kujua au kutojua, pumbavu
Wewe mpumbavu amua tuone,ni nyie wajinga wachache ndio mnahangaisha na ndio maana mnapuuzwa.
 
Back
Top Bottom