Rais Samia: Sasa Tanzania tumeuza (Bandari), wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Rais Samia: Sasa Tanzania tumeuza (Bandari), wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Usipende kuingilia mazungumzo ya watu wazima.
Nenda kacheze na watoto wenzako, au kama hutaki kakojoe ukalale
Samia ni Rais mwanamageuzi sio Rais wa kukariri ujinga ujinga kisa tuu sijui wazee sijui upuuzi gani hakuna nonsense..

Kwanza amesema hakuna kuogopa kubadili muelekeo wa Nchi kama Kuna manufaa regardless of maumivu ,mtazoea tuu [emoji91][emoji91]
 
Who's is fu.ckin.g johar in this country!?Wasomi wote waupinge then tuwapuuziie , halafu ndio tumsikilize mjinga mjoja sujui anaitwa johari!?
Who is fucking hao wasomi wako Ili wawe ndio wanaofikiria Kwa niaba ya Watanzania? Kwani huko Serikalini Yuko Johar tuu? Ujinga umekujaa umeshikiwa akili.
 
Samia empty sana, kwahiyo kama sisi tumefanya kosa ambalo linarudiwa na jirani, hiyo ndio sababu ya kuhalalisha kosa tulilofanya?

Sasa naamini huyu mwanamke hajawahi hata kuusoma ule mkataba, alioneshwa tu sehemu ya kusaini, nae akaweka saini yake.

Tuna hasara sana watanganyika.
 
Mama hajatuelewa kwa nini?

Sisi nani kamwambia tunakataa wawekezaji?

Kwa nini anaona ugumu kuelewa kinachopingwa ni aina ya mkataba na sio mwekezaji?

Nchi ngumu sana hii!

Korona pumbafu zake kabisa!
Uwezo mdogo yule.
 
Mbona kama wenzetu nao wanaongea lugha moja na sisi ama mimi ndio sielewi?
 
Raisi akili zakindezi sana izo ivi ukiteua wiki Moja wew namawazir wako mkatinga bungeni mkaudadavua huo mkataba kiundani mpaka bibi yangu kule kaliua akaelewa Kuna shida Gani Kwanini hamtaki kuujadili mkataba mkubwa kama huo bungeni?? Eti zinapigwa kura bila kuujadili,,,,,,mmemaliza migodi kisenge hivi hivi nahakuna kilichopatikana mkaja gesi yule mbwa mweusi kama ngozi yagoti akaamulu wamakonde wasio taka mradi wapigwe mpaka Leo nisitory,,,mmeanza tena na bandari,,,,,,Nyerere alieweka mifumo eti mwanaume mwisho kumiliki kisu Cha mboga ndowakumlaumu bwege yule,,,,mngetembezewa Shaba mpaka mnyoroooke shubamiti nyinyi,,,huu upumbavu kaufanye sudani,drc,nk wanakutoa mavi
 
Rais Samia akihutubia wakati wa uapisho wa viongozi, akizungumzia kuhusu Wizara mpya ya Mipango na Uwekezaji ameonesha namna ya kuweza kuzitambua fursa mbalimbali na kuzifanyia kazi kama nchi ili zisipotee.

Akitolea mfano sakata la sasa la fursa ya uwekezaji kwenye bandari zetu amesema haya, nanukuu

Nataka niseme vizuri hili suala la fursa na watu wanavyozitumia. Ndugu zangu wakati sisi tunalumbana bandari yetu apewe nani, iende isiende, ikae, ivue, sivue, wenzetu kwa kuona malumbano yetu mmeona wame-jump wamekwenda kulekule, na lile jumba lililowekwa bendera ya Tanzania, limewekwa bendera ya jirani.

Sasa Tanzania tumeuza, wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Na siku ambayo Bunge letu hapa lilisema kwamba ni ruhusa bandari yetu iendeshwe na Serikali na sekta binafsi, siku ya pili wenzetu wakasema ninyi moja? Sisi zote zilizoko huku ziende private sector na wakakimbilia kwenda kule kwenda kuwahi nafasi. Kama wale wanalumbana, njooni huku.

Sasa muone jinsi fursa zinavyokuja na kukimbia harakaharaka na jinsi wengine wanavyoweza kuzitumia haraka haraka.


Nimesema tu nitoe mfano huo kuona changamoto na jinsi ya kupata fursa kuzitumia na kuzifanya zisiponyoke.

Madame, kukimbilia ni Sawa.. Naamini hata akikimbilia hawezi fanya mkataba wa hovyo kama wa hapa kwetu.... Wenzetu wa nakimbia na akili zao kichwani.. Sisi tunakimbia na akili zetu tumboni.. Utegemee mtakua Sawa? 😁 😁
 
hahahaha masikhara haya.

tunapaswa kuishi kwa mipango yetu na fikra zetu na sio kuangalia jirani anakula nini.

Kwa sisi mamafia tunaamini hiyo ni mbinu yakututisha ili tuogope kwakuamini wanakwenda Mombasa, wanaitaga pia bwege mtozeni aka "fake jab"
 
The process was then cancelled amid political undercurrents. The Treasury Cabinet Secretary previously confirmed that DP World were among many port operators being explored by the government as potential private partners to run the new Lamu Port
Je, kuna ukweli kuwa Nchi za Uarabuni, zinatumia uwezo wa DPW kuendesha bandari kumiliki rasilimali za nchi ugenini? Msikilize mchambuzi huyo

 
Unajua tunashindwa kuelewana kitu kidogo sana, tunawahitaji sana hawa wawekezaji hata waanze kesho, ila si kwa mkataba huu.

Hao wenzetu tumeona mikataba yao kuwa ipo km ya kwetu?
Siyo kwamba hawajui kinachobishaniwa. Wanajitoa ufahamu makusudi tu. Walete hapa IGA ya Kenya kama nayo itakuwa na Mkataba wa milele Kwa wa kwetu. Watu gani rigid hivi hamtaki kukubali mmekosea mkasahihisha?
 
Back
Top Bottom