SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Aisee, umeuliza swali zuri sana. Kwanini tuingie gharama za kununa ndege kama azma ya serikali ni kuwagawia Sekta binafsi? Kwanini wasiwaachie hao sekta binafsi wao ndie wanunue hizo ndege. Kwanini tutumie fedha za umma na kodi ya mwananchi???Kwani NDEGE ANAZO NUNUA NA ZA NANI? Tuanzie hapo kwanza
Huna akili kama ambavyo mmeingia mkataba hauna akiliAliyekwambia hatuangalii mkataba ni Nani we unaiona serikali ya Samia ni ya kipumbavu mpaka ishindwe kufanya mikataba mizuri? Hivi nyie majizi mnataka hiyo bandari iendelee kudumaa mpaka lini?
Haya Mkuu. Ha ha haaaa!....hata nasikio...
Aisee, umeuliza swali zuri sana. Kwanini tuingie gharama za kununa ndege kama azma ya serikali ni kuwagawia Sekta binafsi? Kwanini wasiwaachie hao sekta binafsi wao ndie wanunue hizo ndege. Kwanini tutumie fedha za umma na kodi ya mwananchi???
Huna akili kama ambavyo mmeingia mkataba hauna akili
Mnajitahidi Sana kupotosha lkn hamtazuia chochote, kununua ndege serikali na kuweka kampuni izisimamie haimanishi imekuwa Mali ya aliyepewa kusimamia, we umenunua boda ukampa dere Kwa siku alete elf10 service za pikipik juu yake hiyo haimanishi kuwa pikipik sio yako tena!!Aisee, umeuliza swali zuri sana. Kwanini tuingie gharama za kununa ndege kama azma ya serikali ni kuwagawia Sekta binafsi? Kwanini wasiwaachie hao sekta binafsi wao ndie wanunue hizo ndege. Kwanini tutumie fedha za umma na kodi ya mwananchi???
Huyu SSH ameanza kufura-hakika sikuwa nimefanya makosa kusema baada ya ziara yao uarabuni akiwa na Shaka H Shaka(CCM) kuwa, kulikuwa na marobota ya kutosheleza nguvu za CCM kiuchaguzi....
Safari hii, Uchaguzi haununuliki?
CCM must go!
Badala angenunua teknolojia, yeye anauza bandari 😭😭😭Mama wa ajabu kuwahi kutokea
Wewe ni mbuzi sector binafsi ndio engine ya maendeleo, wewe unafikili watu wote serikalini niwajinga kuingia mkataba bila kufanya cross checking, kuongeza ufanisi kwa kushirikisha watu wenye uwezo sio Jambo baya na wala sio kuuza bandari kama mnavyoeneza conspiracies zenuAkili yako kama ya Samia, unadhani muhimu ni kutoa kila kitu kwa sekta binafsi bila hata kuangalia mkataba unaoingia nao unasema nini!.
Kama una kichwa kidogo kisichotunza kumbukumbu vizuri bora ukae kimya, usinilishe maneno ya wengine, huo ujinga sijawahi tamka wala kuuandika hapa JF.Haupigwi mwingi tena?
Uwezo wa wanawake kwakweli ni wa kuutafakari
Wewe ndio Msigwa??umeshauona??Haupigwi mwingi tena?
IKULU pia tuibinafishe ili tupate ufanisi.Akili yako kama ya Samia, unadhani muhimu ni kutoa kila kitu kwa sekta binafsi bila hata kuangalia mkataba unaoingia nao unasema nini!.
ni Kweli huyu mnazaleti pamoja na mapungufu yake ila aliona mbali.Siku ndungai anasema kuna siku mtamka nchi imeuzwa hakumuelewa sasa mmeanza elewa
Mbona mkali hivi!!!Kama una kichwa kidogo kisichotunza kumbukumbu vizuri bora ukae kimya, usinilishe maneno ya wengine, huo ujinga sijawahi tamka wala kuuandika hapa JF.
Maswali kuntu haya. Ha ha haaaaaa!Wewe ndio Msigwa??umeshauona??
Hiyo ndio haiwezekani sasa. Mapato anadeclare mwekezajiHakuna haja ya kusimamia wskubaliane pesa kamili mwekezaji apate hasara au faida lazima alipe hapo ndio hutaibiwa mapato sasa ni 1.6 trillion tsh kwa hiyo aanza na trillion 2 kwa mwaka baada ya miaka mitano iwe trillion 7 kwa mwaka baada ya miaka mitano iwe 7 plus 10 percent interest kwa mingine mitano itakuwa 15 alafu tukae tuzungumze vipi biashara
Mkapa alifanya haya tukaangukia pua. Huyu mama anarudi kulekulealikopita nkapaRais Samia Suluhu leo Juni 09, 2023 amesema sekta binafsi ndiyo itakayoitoa Tanzania kiuchumi, ameyasema hayo wakati akishiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC).
Rais Samia amesema wajibu wa Serikali ni kutengeza mazingira bora ya kufanya biashara jambo ambalo pia litatanua wigo wa kukusanya kodi.
“Sekta binafsi ndio itakayotutoa kiuchumi, Serikali hatufanyi biashara lakini Sekta binafsi inafanya biashara, wajibu wetu kama Serikali ni kutengeneza mazingira bora ambayo yataleta chachu katika ufanyaji biashara na uwekezaji ili uchumi wetu ukue zaidi”
“Lakini tunavyofanya hivyo tunatanua msingi wa kukusanya kodi kwa upande wa Serikali kwahiyo tukazifanyie kazi kero zote ili tusukume utendaji mzuri wa biashara na uwekezaji nchini”
Alisema Rais Samia