King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Nenda pale bulyanhulu au ggm ndo utaelewa tunachomanisha, pia tofautisha wasimamizi na wafanyakaziHuwa mnachanganya, mnasema sababu ya kutafuta private waendeshe sekta mbalimbali ni sababu watanzania tumeshindwa, ni wavivu wezi wala rushwa, sasa hizo ajira wataajiriwa wapi ikiwa ni wezi na wavivu?
Mwenyewe anakiri alifeli form four.Samia ana akili sana.
Umeme unakatika masaa 14 kwa siku Migahawa inafungwa nyaya za umeme zile za gridi ya taifa zinaibiwa way za umeme wa treni zinaibiwa South Afrika itakuwa kama Tanzania soon.Baada ya mzungu kuwaachia nchi ona sasa wanauwa mpaka waafrika wenzao
Imekuuma Sana Chief Hangaya Mangungo Kupewa Za Uso.Heshima ni kitu cha bure
Tifautisha akili na elimu.Mwenyewe anakiri alifeli form four.
Ni upungufu katika uwezo wa kuongoza serikali. Tanzania haijafikia kiwango cha kusema serikali haifanyi Biashara. Kama serikali za nchi zilizoendelea huko Norway, China, Sweden na Urusi bado zinamiliki na kusimamia baadhi ya biashara, kwa nini sisi tusiweze kama siyo kuogopa majukumu tu. Makampuni makubwa ya mafuta na gesi ya Norway, Finland na Urusi yanimilikiwa kwa kiasi kikubwa na serikali, viwanda vingi vikubwa vya China vinamilikiwa na serikali. Hii dhana ya serikali haiwezi kufanya biashara ndiyo iliyopelekea mashirika kuuzwa hovyo hovyo wakati wa Mkapa na yote yakafa.Rais Samia Suluhu leo Juni 09, 2023 amesema sekta binafsi ndiyo itakayoitoa Tanzania kiuchumi, ameyasema hayo wakati akishiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC).
Rais Samia amesema wajibu wa Serikali ni kutengeza mazingira bora ya kufanya biashara jambo ambalo pia litatanua wigo wa kukusanya kodi.
“Sekta binafsi ndio itakayotutoa kiuchumi, Serikali hatufanyi biashara lakini Sekta binafsi inafanya biashara, wajibu wetu kama Serikali ni kutengeneza mazingira bora ambayo yataleta chachu katika ufanyaji biashara na uwekezaji ili uchumi wetu ukue zaidi”
“Lakini tunavyofanya hivyo tunatanua msingi wa kukusanya kodi kwa upande wa Serikali kwahiyo tukazifanyie kazi kero zote ili tusukume utendaji mzuri wa biashara na uwekezaji nchini”
Alisema Rais Samia
Akili ni kuuza Bandari.Tifautisha akili na elimu.
Mbona serikali inanunua midege na yeye anaenda kukaa kwenye kiti cha rubani na kushangaa?Rais Samia Suluhu leo Juni 09, 2023 amesema sekta binafsi ndiyo itakayoitoa Tanzania kiuchumi, ameyasema hayo wakati akishiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC).
Rais Samia amesema wajibu wa Serikali ni kutengeza mazingira bora ya kufanya biashara jambo ambalo pia litatanua wigo wa kukusanya kodi.
“Sekta binafsi ndio itakayotutoa kiuchumi, Serikali hatufanyi biashara lakini Sekta binafsi inafanya biashara, wajibu wetu kama Serikali ni kutengeneza mazingira bora ambayo yataleta chachu katika ufanyaji biashara na uwekezaji ili uchumi wetu ukue zaidi”
“Lakini tunavyofanya hivyo tunatanua msingi wa kukusanya kodi kwa upande wa Serikali kwahiyo tukazifanyie kazi kero zote ili tusukume utendaji mzuri wa biashara na uwekezaji nchini”
Alisema Rais Samia
Kubinafsisha, mbona TICTS hukuitolea povu?Akili ni kuuza Bandari.
Ticts na Dp mikataba yao inafanana??Kubinafsisha, mbona TICTS hukuitolea povu?
Haelewi huyo Bi TozoWewe mama utukome,ndo uuze Bandari zetu?
Kwahiyo wewe tatizo lako ni nini?Mkataba? Uarabu?au Samia asifanikiwe tu kwasababu uliyempenda kafa?Ticts na Dp mikataba yao inafanana??
[emoji1787][emoji1787]Pole mkuu, get well soon.Waje hata sasa hivi, nipo hapa Muhimbili watanikuta.
Hili linatokana na udhaifu wa usimamizi wa watawala.Ndio sababu zinatolewa na serikali kuwa kuoikua hakuna ufanisi, hivyo wanaongeza ufanisi. Ufanisi ulikua hakuna sababu Kama hizo za uzembe, rushwa
EheeSamia ni freemason yeye pamoja na mawaziri wake maamuzi ya kuuza bandari ni amri wamepewa ili kuuwa uchumi wa Tanzania. Lakini nawapa onyo hata mfanye nini hamta shinda kwani Mungu yupo.
Na yeyote yule sellout anaye husika kuuza bandari kwa hawa freemason yatawakuta kama wale walioiba benki na kuchoma moto.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Muulize ATCL huwa wanasafirisha watu bure? Udart yenyewe serikali ni majority share holder je sio biashara?Mbona Serikali ya Emirate Dubai inafanya Biashara kwani hao mliowauzia Bandari si ni Kampuni ya Serikaki DP Dubai hata Kampuni za China mlizowapa Bagamoyo ni za Serikali pia, huyu raisi wenu aisee, duh, mnakodisha Qatar Airways Serikali nzima kwenda USA Qatar Airways ni za Serikali pia, …
Umeandika vingi sana ,Kwahiyo wewe tatizo lako ni nini?Mkataba? Uarabu?au Samia asifanikiwe tu kwasababu uliyempenda kafa?