Rais Samia: Sekta binafsi ndiyo itakayotutoa kiuchumi, Serikali hatufanyi biashara

Huwa mnachanganya, mnasema sababu ya kutafuta private waendeshe sekta mbalimbali ni sababu watanzania tumeshindwa, ni wavivu wezi wala rushwa, sasa hizo ajira wataajiriwa wapi ikiwa ni wezi na wavivu?
Nenda pale bulyanhulu au ggm ndo utaelewa tunachomanisha, pia tofautisha wasimamizi na wafanyakazi
 
Baada ya mzungu kuwaachia nchi ona sasa wanauwa mpaka waafrika wenzao
Umeme unakatika masaa 14 kwa siku Migahawa inafungwa nyaya za umeme zile za gridi ya taifa zinaibiwa way za umeme wa treni zinaibiwa South Afrika itakuwa kama Tanzania soon.
 
Ni upungufu katika uwezo wa kuongoza serikali. Tanzania haijafikia kiwango cha kusema serikali haifanyi Biashara. Kama serikali za nchi zilizoendelea huko Norway, China, Sweden na Urusi bado zinamiliki na kusimamia baadhi ya biashara, kwa nini sisi tusiweze kama siyo kuogopa majukumu tu. Makampuni makubwa ya mafuta na gesi ya Norway, Finland na Urusi yanimilikiwa kwa kiasi kikubwa na serikali, viwanda vingi vikubwa vya China vinamilikiwa na serikali. Hii dhana ya serikali haiwezi kufanya biashara ndiyo iliyopelekea mashirika kuuzwa hovyo hovyo wakati wa Mkapa na yote yakafa.

Hiyo Bandari ilishaanza kunyooshwa na Kakoko, lakini safishasafisha ya watu wa JPM ikarudisha upuuzi huu. Kama serikali haifanyi biashara basi tujiandae TRC, ATCL, TANESCO na miradi mingine yote kuuzwauzwa tena.

Kama wanataka kubinasfiswa base waliweke kwenye soko la hisa, siyo kutafuta kampuni moja huko kwa mjomba na kuigawia kinyemela. Hatua moja mbele jumulisha na hatua mbili nyuma.

 
Fa
Mbona serikali inanunua midege na yeye anaenda kukaa kwenye kiti cha rubani na kushangaa?
 
Samia ni freemason yeye pamoja na mawaziri wake maamuzi ya kuuza bandari ni amri wamepewa ili kuuwa uchumi wa Tanzania. Lakini nawapa onyo hata mfanye nini hamta shinda kwani Mungu yupo.

Na yeyote yule sellout anaye husika kuuza bandari kwa hawa freemason yatawakuta kama wale walioiba benki na kuchoma moto.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Ndio sababu zinatolewa na serikali kuwa kuoikua hakuna ufanisi, hivyo wanaongeza ufanisi. Ufanisi ulikua hakuna sababu Kama hizo za uzembe, rushwa
Hili linatokana na udhaifu wa usimamizi wa watawala.
 
Ehee

Ova
 
Muulize ATCL huwa wanasafirisha watu bure? Udart yenyewe serikali ni majority share holder je sio biashara?

Mbona hawa watu wanatuona mafala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…