Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ya Emirates inafanya biashara ktk mfumo wa kibinafsi, na wanajielewa, watz mashirika ya kibiashara yote mmeua na bado mnangangania kuyaendesha ili muendelee kuiba na kutafuna jasho la watz majizi makubwa nyie.Mbona Serikali ya Emirate Dubai inafanya Biashara kwani hao mliowauzia Bandari ni Kampuni ya Serikaki DP Dubai hata Kampuni za China mlizowapa Bagamoyo ni za Serikali pia, huyu raisi wenu aisee, duh, mnakodisha Qatar Airways Serikali nzima kwenda USA Qatar Airways ni za Serikali pia, …
Hivi huyu ni binadamu kweli? Isije kuwa tunaongozwa na jini jamani.., mazingira bora ni kuuza bandari zote za Tanganyika kwa kipindi kisicho na kikomo?Rais Samia Suluhu leo Juni 09, 2023 amesema sekta binafsi ndiyo itakayoitoa Tanzania kiuchumi, ameyasema hayo wakati akishiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC).
Rais Samia amesema wajibu wa Serikali ni kutengeza mazingira bora ya kufanya biashara jambo ambalo pia litatanua wigo wa kukusanya kodi.
Halafu kwanini za Zanzibar zimeachwa?!! Hiki kitu mimi kinaniuma sanaWewe mama utukome,ndo uuze Bandari zetu?
Heshima ni kitu cha bureWewe mama utukome,ndo uuze Bandari zetu?
Aliyekwambia hatuangalii mkataba ni Nani we unaiona serikali ya Samia ni ya kipumbavu mpaka ishindwe kufanya mikataba mizuri? Hivi nyie majizi mnataka hiyo bandari iendelee kudumaa mpaka lini?Akili yako kama ya Samia, unadhani muhimu ni kutoa kila kitu kwa sekta binafsi bila hata kuangalia mkataba unaoingia nao unasema nini!.
Huo mkataba wa uendeshaji ni wa miaka mingapi?We ni andazi kuruhusu sekta binafsi kuendesha bandari ndo kuuza bandari? Majizi na wapinga maendeleo mshindwe kabisa.
Sawa nakubali lakini sio ubinafsishaji horela wa bandari kwa kisingizio Cha sekta binafsiRais Samia Suluhu leo Juni 09, 2023 amesema sekta binafsi ndiyo itakayoitoa Tanzania kiuchumi, ameyasema hayo wakati akishiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC).
Rais Samia amesema wajibu wa Serikali ni kutengeza mazingira bora ya kufanya biashara jambo ambalo pia litatanua wigo wa kukusanya kodi.
Heshima kwa mwizi?Big no.Sikuzaliwa Tanganyika kwa bahati mbaya.Heshima ni kitu cha bure
NyanokoSerikali ya Emirates inafanya biashara ktk mfumo wa kibinafsi, na wanajielewa, watz mashirika ya kibiashara yote mmeua na bado mnangangania kuyaendesha ili muendelee kuiba na kutafuna jasho la watz majizi makubwa nyie.
Ndo ujue sasa ,wizi mtupu.Halafu kwanini za Zanzibar zimeachwa?!! Hiki kitu mimi kinaniuma sana
Heshima ina gharama yake, heshima inajengwa, hakuna heshima kwa kuuza bandari, no!Heshima ni kitu cha bure
Kama mnaitazama hiyo mikataba halafu mnaweka saini zenu baada ya kusoma terms za kijinga na kinyonyaji kama zile, basi nyie ni wapumbavu, hamfai kutuongoza.Aliyekwambia hatuangalii mkataba ni Nani we unaiona serikali ya Samia ni ya kipumbavu mpaka ishindwe kufanya mikataba mizuri? Hivi nyie majizi mnataka hiyo bandari iendelee kudumaa mpaka lini?
Wewe mama utukome,ndo uuze Bandari zetu?
Tena atukomee kabisaaa, si akafanye hayo huko kwao Zenjii.Wewe mama utukome,ndo uuze Bandari zetu?