Kama ni kwa jeuri hizi waislam wataanzisha kampeni yaoissue ni moja tu, jihesabuni. Anzeni kwenye ngazi ya familia mpaka kwenye misikiti na kwa wakristo mkitaka kujihesabu anzeni kwenye vipaimara na ubatizo, ila sisi Tanzania tutakuhesabu kama mwananchi.
Unataka niongee lugha yangu uku wewe unataka tuige mambo ya nchi zingine yasiyo na faida hapa kwetu.maana mambo ya nigeria,somalia yanatuhusu nini sisi.Mara ngapi tumesikia vikundi vya kidini vikigombana na serikali kwenye baadhi ya hizo nchi zako ulizozitaja.kwahiyo unataka nasisi tuwe wajinga kama hao.
haya mambo ya dini ni upuuzi mtupu nakumbuka sensa ya mwisho kuna dini moja hivi yenye misimamo mikali iligoma kabisa kuhesabiwa wakidai kuwa ni haramu, kuna baadhi ya nyumba maafisa sensa walitimuliwa na kareti, sasa nashangaa sasa hivi wanang'ang'ania kuhesabiwa wakati mwanzo walidai ni haramu. Tuache double standards
dini yako peleka ukale na mkeo. Zama hizi nguvu ya teknolojia na uchumi ndiyo itakayoonyesha mustakabari wa mtu mmoja mmoja na jamiiHawa CCM sijui Nyerere wanamuonaje na kumchukuliaje, Nyerere alikuwa ni binadamu na alikuwa na madhaifu sana, Nyerere hakuwa mkweli kuna siku alisema angemuwahi Rais wa 2010 akiwa hai.
Suali la dini ni suali zuri katika nchi kujua watu wako wala halina mtafaruku wowote ni figure tu kama nchi unajua Tanzania kwa mfano kuna waislamu kiasi gani na wakiristo kiasi gaini labda ambao hawana dini ni kiasi gani kujua mahitaji vile vile katika shughuli za maendeleo.
Hili suali nchi nyingi wanauliza, hata katika CV lakini mafomu mingi ya online lipo hili suali lina umuhimu katika mahitaji na sio kuwagawa watu.
Lakini ukija kwa wanaokataa sijui tuseme ni hofu au kitu gani sijuI au ndio hizo fikira za Nyerere labda wanaogopa waislamu kuonekana ni wengi kuliko wakiristo maana aslimia 99% wanaopinga suali hili la dini ni wakristo, hawa watu wana hofu sana kujiona wako kidogo.
Nadhani kuna watu hawatakubali kuhesabiwa kama hili suali halipo
dini yako peleka ukale na mkeo. Zama hizi nguvu ya teknolojia na uchumi ndiyo itakayoonyesha mustakabari wa mtu mmoja mmoja na jamii
Atacheka kwa jinsi watu walivyo vigeugeuDuhh,,mwanaume mzima unaandika haya!!! Hata mtoto mdogo atakucheka
Ni mikoa 6 tu ambayo angalau idadi ya waisilamu na wakristo haijazidiana sana nayo ni Tanga, Mtwara, Dar, Lindi , Pwani na mkoani kigoma ni wilaya ya kigoma ujiji. Kwingine kote hakuna waisilam wa kihiivyo kwa hiyo acheni kuipaka matope serikali kwamba eti inapendelea wakristo. Kutokana na ukweli huo ndio maana hakuna mkristo anaelalamikia serikali ya zanzibar kwamba inawabagu wakristo.Wakuu wa mikoa, wa wilaya, wakurugenzi
Na kadhalika,
Usinambie nyie hamkusoma utaanzisha ligi nyingine ujue
Ni mikoa 6 tu ambayo angalau idadi ya waisilamu na wakristo haijazidiana sana nayo ni Tanga, Mtwara, Dar, Lindi , Pwani na mkoani kigoma ni wilaya ya kigoma ujiji. Kwingine kote hakuna waisilam wa kihiivyo kwa hiyo acheni kuipaka matope serikali kwamba eti inapendelea wakristo.
Kutokana na ukweli huo ndio maana hakuna mkristo anaelalamikia serikali ya zanzibar kwamba inawabagu wakristo.
Sijatakaa kwamba ni wengi ndio maana nimesema idadi haitofautiani sana hii ni hata bila kutumia sensa ni kutumia tu akili ya kawaidaUnajua unachokiongea? Pwani yote+tanga na kigoma mbali na vijisensa vyenu vya uongo lakini kwa macho tu waisilamu ni wengi sana. Eti hawatofautiani sana 😁😁
Hata wakilalamika wataonekana wapumbavu tu, heri wawe wapole tu,,,maana zanzibar ni nchi ya kiislamu, waisilamu ni zaidi ya 90% pale . So hata wakilalamika ni kazi bure tu 😁😁
Sijatakaa kwamba ni wengi ndio maana nimesema idadi haitofautiani sana hii ni hata bila kutumia sensa ni kutumia tu akili ya kawaida
Mambo ya kabila na dini sio vipaumbele vya maendeleo ya Taifa letu. Watu wanataka ajira, maji, barabara zinazopitika etc.
Rais Samia Suluhu Hassana ametoa wito kwa wananchi kujitokeza katika zoezi la sensa huku akisema suala jipya lililoongezwa ni swali kuhusu anuani za makazi.
Amesema hakutakuwa na swali la kuhusu dini ya mtu kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Rais Julius Nyerere, hivyo hakutakuwa na swali la namna hiyo.
Rais ameyasema hayo akiongea na wanawake Zanzibar.
Kwa mfano, waislamu ni wengi kuliko wakristu..inatusaidia nini? Mbona wayahudi wako wachache na wanawatesa waarabu kama wanavyotaka? Tuache ajenda za kijinga. Ni watu wajinga pekee wanaoishi dunia hii kwa kujifanya wako karibi sana na Mungu na kuanza kubagua wenzaoSijatakaa kwamba ni wengi ndio maana nimesema idadi haitofautiani sana hii ni hata bila kutumia sensa ni kutumia tu akili ya kawaida
Fafanua mgawanyo wa mambo gani kama sio kuendekeza ligi zisizo na kichwa wala
Akikujibu nistue, maana hajui sensa inalenga nini.Fafanua mgawanyo wa mambo gani kama sio kuendekeza ligi zisizo na kichwa wala miguu.
Kwa nini Wakristo ndio huwa wanapinga kwa nguvu zote hili suala? Wanaogopa nini? Nini kilichojificha hawataki kijulik
Naweza kujibu kwa uelewa watu mdogo, kwamba Tanzania sio nchi ya kidini japo watanzania wana dini zao wenyewe tena kwa kuchagua kwao kwa hiari yao wenyewe bila kushurutishwa. Kwa maana hiyo basi naona ni wazi kwamba serikali kama nchi yaani Tanzania haina na wala haiwezi kupima au kusema neno lolote kwa mwananchi yeyote mwenye dini yake (labda avunje sheria za nchi kupitia dini yake atakiona kilichomtoa kanga manyoya). Ni wazi Nyerere alicheza kama pele kwenye hili kwamba tanzania inatambua kua watanzania wana imani kwenye dini zao ila Tanzania haimpangii mtanzania kuabudu katika iman ipi. NAONA KIPENGELE CHA DINI NI OVER, HAKIIHUSU SERIKALI NA NDO MAANA SERIKALI IMEKATAA NA SIO WAKRISTO WAMEKATAA, SERIKALI YA KIKWETE (MWISLAAM) 2012 HAKUKUBALI KIPENGELE CHA Dini, HATA SASA SERIKALI YA SAMIA (HUYU MAMA NI MUISLAAM KABISA) NAYE KAKATAAA. HIVYO NDUGU WAISLAAM HII AGENDA HAIPINGWI NA WAKRISTO, MUMNYOKEE SAMIA ASEME NENO KAMA HAMUWEZI BASI MSIWAONEE WAKRISTO KUWENI NA BUSARA.Kwa nini Wakristo ndio huwa wanapinga kwa nguvu zote hili suala? Wanaogopa nini? Nini kilichojificha hawataki kijulikane?
Tatizo ni akili za kushikiwa! Mtu timamu wa dunia hii ya kisasa ya teknolojia hawezi waza tope la udongo mweusi ambalo halina faida zaidi ya kilimo tu, kama ilivyo dini ni mahusiano kati ya muumini na mungu tu... Hamna lingine.Kazi gani kutangaza dini? Hivi hata hizo kazi zipo ngapi tunazogombania, watu wengi wapo kitaa hawana kazi badala ya kujadili kama Taifa tutafanya nini kila mtu apate cha kufanya ili apate ujira unangangania kugawana vichache vilivyopo na sio kwa kipimo cha skills Bali imani kweli tuna safari ndefu
Swali pendwa la dini liwepo, ili tiwaonyeshe kwamba sisi waislam ni wengi nchi hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Rais Samia Suluhu Hassana ametoa wito kwa wananchi kujitokeza katika zoezi la sensa huku akisema suala jipya lililoongezwa ni swali kuhusu anuani za makazi.
Amesema hakutakuwa na swali la kuhusu dini ya mtu kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Rais Julius Nyerere, hivyo hakutakuwa na swali la namna hiyo.
Rais ameyasema hayo akiongea na wanawake Zanzibar.
Hahaha noumaa, Angalia Afghanistani huko waislaam kindakindaki (achana na wa huku bongo wa mchongo) huko wameshindwa hio inayoitwa Sharia na Mahakama ya Kiislam wanakimbia nchi yao ya Ki-Taleban.kwani kuanzisha hiyo mahakama ni mpaka mjue mpo wangapi?? we huoni watu wanajaa misikitini na kwenye swala ya Eid?, kama mnataka kuanzisha anzisheni lakini sio kwa sababu ya kutaka kujua mpo wangapi
leo mtaanza tujue tupo wangapi, kesho mtafata tujue idadi ya wasunni, washia au wahamadia, basi msunni aanzishe mahakama yake na nyie mahakama yenu basi vurugu tupu