cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama kaona kina Daimondi wanavyopeana Magari wakati wa bethidey akavutiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama kaona kina Daimondi wanavyopeana Magari wakati wa bethidey akavutiwa.
Marais, Makamu Rais na Mawaziri wakuu wastaafu wanachagua magari mapya kila baada ya miaka mitano If I am not mistaken na service wanafanyiwa bure. Na nyumba wanapewa, mpaka mpishi na mtunza bustani wanapewa.Si rais tu, viongozi wote waandamizi wanapeana maghorofa wakistaafu sasa hivi. Huu ni utaratibu waliojiwekea lakini sisi wapiga kura hatuambiwi.
Kabisa jambo la kheri hili.Nadhani angepewa Quran ingefaa zaidi mzee wetu azidi kuwa karibu na Muumba wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee Mwinyi aache kunesa nesa kwenye shock absorber za V8 kwa raha zake, akaingie kwenye gari ambalo diff linagonga mabonde.
Matumizi mabaya tu ya hela.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa mambo aliofanya Mwinyi angempatia tu la 1.5B hata mawili matatu ivi.
Jamani jamani hadi inaumiza moyo kwa kweli aaaah.Marais, Makamu Rais na Mawaziri wakuu wastaafu wanachagua magari mapya kila baada ya miaka mitano If I am not mistaken, na service wanafanyiwa bure. Na nyumba wanapewa, mpaka mpishi na mtunza bustani wanapewa.
Ninsehemu ya package ya viongozi wa kitaifa wastaafu.
Sasa hapa wamefanya kutangaza tu, lakini hawa viongozi wastaafu wote wanachagua magari na wananunuliwa na serikali tangu wanastaafu.
Hivi alipokuwa Rais hakupewa nyumba??Bado like hekalu alilo jengewa na serikali , na lile no kwa mujibu wa Katina ya nchi kwamba ukistaagu tu u Rais unajengewa nyumba, Sasa hapo nachoka kabisa kwamba u Rais n kazi Kama kazi zingine na yenye mshahara wa juu kabisa lakini eti mtu unajengewa na nyumba
Hawawezi. WamepoteaVipi yule mshamba wenu alikuwa akipita barabarani akigawa kodi za wananchi kama pipi huku mkimpongeza?
Mpongezeni na huyu
Mkuu, hilo la kugawa pesa halikuwa na tija yoyote, zaidi ya kiki tu ....Unakumbuka hizo pesa aligawa kwa watu wa aina gani!?
au ni kuhemkwa
Sasa unaumia nini hao si viongozi wakuu wastaafu?Jamani jamani hadi inaumiza moyo kwa kweli aaaah.
Kwani ukiwa kiongozi mstaafu ndo uwe unachukua fedha za wananchi kiholela? EboooooohSasa unaumia nini hao si viongozi wakuu wastaafu?
Haijatolewa kiholela ni utaratibu tu umewekwa na siyo wa kwanza huyo kupewa, washapewa sana waliopita vingine ukitajiwa humu unaweza kushangaa.Kwani ukiwa kiongozi mstaafu ndo uwe unachukua fedha za wananchi kiholela? Ebooooooh
Nishangae kwa kipi? Hayo ma kasri, etc au? Mbna tushazoea wale tu cake za taifa, hakuna wa kuwazuia.Haijatolewa kiholela ni utaratibu tu umewekwa na siyo wakwanza huyo kupewa washapewa sana waliopita vingine ukitajiwa humu unaweza kushangaa.
Sikufahamu hili, asante.Marais, Makamu Rais na Mawaziri wakuu wastaafu wanachagua magari mapya kila baada ya miaka mitano If I am not mistaken, na service wanafanyiwa bure. Na nyumba wanapewa, mpaka mpishi na mtunza bustani wanapewa.
Ni sehemu ya package kustqqfu ya viongozi wa kitaifa wastaafu.
Sasa hapa wamefanya kutangaza tu, lakini hawa viongozi wastaafu wote wanachagua magari na wananunuliwa na serikali tangu wanastaafu.
Nyie ndiyo wale wanyama niliye sikia huenda kuzalia Kenya na kurudi Tanzania, Mwinyi ana watoto tena wengine Marais walishindwa kumzawadia Gari Kama tunaambiwa kashindwa kupanda V8 lake? Lakini wazee wangapi wapo vijijini hawana hata punda wa kumpanda ili waende tu hata msikitini ama kanisani? We unaye unga mkono hilo jaribu kuwaza Mara nyingi he ni sawa, Vipi kuhusu mama Maria Nyerere mbona yeye hata hakumbukwi kwa lolote? Hivi kweli tumefikia hapa, Tena mtu anaongea kabisa kashindwa kupanda V8, aieseeKwahiyo mlitaka ajinunulie halafu ajizawadie mwenyewe? Nini maana ya zawadi? Hivi angezawadiwa cake ya kufikisha miaka 96 pale ukumbini mngepiga kelele?
Magufuli aliwapa nyumba hiyo nayo mnasemajeKwani yeye mwinyi hana hiyo hela ya kununua Benz? Au hajui km anatakiwa kununua Benz imrahisishie ufasiri? Mambo mengine yanakera sana.