Pre GE2025 Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Pre GE2025 Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kununua umeme Tena? Bwawa la mwalimu Nyerere halitoshi? Hapa lazima wajanja wanatengeneza namna ya kufuja fedha ya uma.
 
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kusaini mikataba ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini ili Mikoa hiyo ipate umeme wa uhakika na iondokane na adha ya umeme kukatikakatika.

View attachment 3264483
Rais Samia amesema hayo baada ya kufungua mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe kwenye hafla iliyofanyika Mwanga Mkoani Kilimanjaro leo March 09, 2025.

Soma: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje

View attachment 3264591
Rais Samia amesema "Umeme unakatikatika maeneo ya Kaskazini huku lakini Serikali yenu inachukua hatua ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa hii ya Kaskazini ili umeme upatikane masaa 24 muda wote bila kukatikakatika"

"Tuko kwenye hatua za mwisho kusaini mikataba ili tuweze kununua umeme ule uungwe Kanda ya Kaskazini na Wananchi wafaidi na umeme, kwahiyo tutakuwa na umeme wa uhakika, maji ya uhakika kila pahali, Vijiji vyote vina umeme tunakwenda Vitongojo na umeme wa kutosha tunaununua unaingia ili kazi za maendeleo ziendelee"

Chanzo:
Millard Ayo
Kwanini ununue umeme kutoka nje, wakati, tayari tunazalisha wa kutosha pale bwawa LA nyerere, au, ni porojo tu!
 
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kusaini mikataba ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini ili Mikoa hiyo ipate umeme wa uhakika na iondokane na adha ya umeme kukatikakatika.

View attachment 3264483
Rais Samia amesema hayo baada ya kufungua mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe kwenye hafla iliyofanyika Mwanga Mkoani Kilimanjaro leo March 09, 2025.

Soma: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje

View attachment 3264591
Rais Samia amesema "Umeme unakatikatika maeneo ya Kaskazini huku lakini Serikali yenu inachukua hatua ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa hii ya Kaskazini ili umeme upatikane masaa 24 muda wote bila kukatikakatika"

"Tuko kwenye hatua za mwisho kusaini mikataba ili tuweze kununua umeme ule uungwe Kanda ya Kaskazini na Wananchi wafaidi na umeme, kwahiyo tutakuwa na umeme wa uhakika, maji ya uhakika kila pahali, Vijiji vyote vina umeme tunakwenda Vitongojo na umeme wa kutosha tunaununua unaingia ili kazi za maendeleo ziendelee"

Chanzo:
Millard Ayo
Kitu ambacho Samia angewaambia watu wa Kaskazini waone ni point ni suala la kujenga barabara na sio hizi hadithi za kuudhi.
 
Nimependa analysis yako
Umeongea vizuri na Kwa data

I wish vijana wengi wa ccm wangekuwa wanajibu hoja kama hivi
Kama issue ni miundombinu, kwanini Hangaya anadhani kununua umeme kutoka nje ndiyo solution ya umeme kukatikakatika? Huo umeme wa nje utasafirishwa kwa Dreamliner mpaka KIA na kisha kusambazwa kwa bodaboda?
 
Makaa ya Mawe wamepewa wachina kuwekeza kwa Dollars 200.
Daah wangewapa hata Chuo chochote wangefanya kitu kuliko kugawa au kuyauza maana makaa ya mawe yanaweza kuzalisha mafuta ya Diesel pis kwa gharama ndogo sana sema technology hiyo wa karibu wanayo Wachina na SA.
 
Sio tuu Nje Bali ni Ethiopia,Sasa sijajua kama Ndio masharti ya wakopeshaji hela au vipi
View attachment 3264601View attachment 3264602
Kwani kuna mkoa au kanda yenye umeme wa uhakika?
Nilikuwa morogoro mwezi wote wa pili na hakuna siku umeme haukukatika. Hata sasa 8.52pm nimeambiwa umekatika.
Nashauri morogoro wanunuliwe umeme kutoka zanzibar maana umeme wao haukatikikatiki.
 
Miaka zaidi ya 60 madarakani lakini wameshindwa kutatua tatizo la umeme!

Shameful.
 
Kama issue ni miundombinu, kwanini Hangaya anadhani kununua umeme kutoka nje ndiyo solution ya umeme kukatikakatika? Huo umeme wa nje utasafirishwa kwa Dreamliner mpaka KIA na kisha kusambazwa kwa bodaboda?
Umeme kutoka ethiopia kuja Tz utasafirishwa buure kabisa kupitia satellite ya Elon musk. Kuupokea huo umeme mtatumia dish la azam
 
Kwani kuna mkoa au kanda yenye umeme wa uhakika?
Nilikuwa morogoro mwezi wote wa pili na hakuna siku umeme haukukatika. Hata sasa 8.52pm nimeambiwa umekatika.
Nashauri morogoro wanunuliwe umeme kutoka zanzibar maana umeme wao haukatikikatiki.
Sisi tunaotumia wa Zambia ni uhakika
 
Hivi ni kweli kayatamka hayo maneno au ni upotoshaji ulio zoeleka sasa humu JF?
Kama ni kweli kayatamuka, hivi ni kweli anaelewa maana yake ni nini?

Kama kalishwa tu hayo maneno bila ya kuelewa maelezo, kwa nini asitafute ufafanuzi zaidi mbadala kabla ya kukutapika tu kitu asicho kuwa na uwezo wa kukielewa?

Au tuseme ndio kisha hakikishiwa msaada wa kubaki madarakani na kikundi maalum kinacho nufaika na ujinga huu wanaolifanyia taifa letu.
Inaonyesha huyu anaendeshwa tu, hana lolote analojuwa juu ya jambo lolote.
 
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kusaini mikataba ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini ili Mikoa hiyo ipate umeme wa uhakika na iondokane na adha ya umeme kukatikakatika.

View attachment 3264483
Rais Samia amesema hayo baada ya kufungua mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe kwenye hafla iliyofanyika Mwanga Mkoani Kilimanjaro leo March 09, 2025.

Soma: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje

View attachment 3264591
Rais Samia amesema "Umeme unakatikatika maeneo ya Kaskazini huku lakini Serikali yenu inachukua hatua ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa hii ya Kaskazini ili umeme upatikane masaa 24 muda wote bila kukatikakatika"

"Tuko kwenye hatua za mwisho kusaini mikataba ili tuweze kununua umeme ule uungwe Kanda ya Kaskazini na Wananchi wafaidi na umeme, kwahiyo tutakuwa na umeme wa uhakika, maji ya uhakika kila pahali, Vijiji vyote vina umeme tunakwenda Vitongojo na umeme wa kutosha tunaununua unaingia ili kazi za maendeleo ziendelee"

Chanzo:
Millard Ayo
Sasa ukweli wa umeme wa Gas unaenda kukaa wazi. Kwanini tununue umeme nje wakati tuna umeme wa maji, na Gas?
ChoiceVariable
 
Hivi ni kwann masuala kama haya wananchi huwa hatushirikishwi kabisa kwenye kutoa maoni na maamuzi pia na badala yake tunakuja kupewa taarifa mwishoni ambapo tayari watu wachache wapumbavu wameshakaa na kufanya maamuzi.

Hii katiba yetu kwakweli ni yakipumbavu sana.
 
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kusaini mikataba ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini ili Mikoa hiyo ipate umeme wa uhakika na iondokane na adha ya umeme kukatikakatika.

View attachment 3264483
Rais Samia amesema hayo baada ya kufungua mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe kwenye hafla iliyofanyika Mwanga Mkoani Kilimanjaro leo March 09, 2025.

Soma: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje

View attachment 3264591
Rais Samia amesema "Umeme unakatikatika maeneo ya Kaskazini huku lakini Serikali yenu inachukua hatua ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa hii ya Kaskazini ili umeme upatikane masaa 24 muda wote bila kukatikakatika"

"Tuko kwenye hatua za mwisho kusaini mikataba ili tuweze kununua umeme ule uungwe Kanda ya Kaskazini na Wananchi wafaidi na umeme, kwahiyo tutakuwa na umeme wa uhakika, maji ya uhakika kila pahali, Vijiji vyote vina umeme tunakwenda Vitongojo na umeme wa kutosha tunaununua unaingia ili kazi za maendeleo ziendelee"

Chanzo:
Millard Ayo
Koh koh koh Magu is coughing kwa his grave. Ile Excess ya bwawa jipya iko wapi.
 
Kuwa na Grid Ni salama zaidi usisahau Pia Energy ni National security matters Muunganiko na Majirani Ni kitu Kizuri sana kwasbabu kitakupa wide range ya Choice incase pakitokea Blackout ila Pia Kuhakikisha Nchi Iko Connected yote Na Grid ni Swala zuri zaidi na Majirani iwe kama Back Up kwasababu leo tupo salama Kesho ikitokea Vita na Hao Majirani wanaokuuzia Umeme tegemea Kukatiwa Umeme Ili uwe Gizani
Ww hakika ni zero brain....kwaiyo hiyo back up unayoisemea itakua special kwa ukanda wa kaskazini tu, kanda ya kaskazini pekee ndio Tanzania?
 
Tukisema chadema huwa hawana akili ndiyo mtambue, gharama ya kutengeneza njia kuu ya umeme ya kv 33, toka ilipo kwa sasa mpaka uifikishe mombo ni gharama kubwa mno, kwa kutatua matatizo ya dharura ni heri kuuchukuwa kutoka Kenya, kupeana umeme kibiashara ni jambo la kawaida.(Amerika inaumeme mwingi sana, lakini kanada imeipa umeme amerika wa kibiashara wa makazi 15,000, almost mpaka NY inatumia umeme wa kanada.
Mkuu hivi unakielewa ulichokiandika kweli?...kwamba 33KV gharama ni nn?, ama hujamaanisha 33KV aise?
 
Back
Top Bottom