Kumbe hujanielewa ,kelele zote wanazopiga hawa machedema wanaamini kuwa katiba mpya itawapa ubunge ,too low kwa kweliKwahio inaonyesha wazi kuwa unajua kuna uchafu mwingi umefanywa na unaendelea kufanywa ili wabunge wa upinzani wasiingie bungeni, ndio maana mataga akili zenu zinapenda kuburutwa tuu
Ndio ,afaddhali awathibiti mapema aisee kabla hawajamletea madhara ,majinga kabisa haya madude yakiongozwa na umbea Mzee MboweHawa wahuni wanamtisha rais?
Makato yapo kwa wote hayachagui CCM wala CHADEMA mpuuzi weweMama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako.
Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge.
Mama katika nchi hizi za Africa haiwezi kuja kutokea Maendeleo kwa kubembelezana na kuvumilia wanasiasa uchwara. Gia uliyoingiza sasa nenda nayo hiyohiyo nakuhakikishia utafika salama pale unapotaka kwenda.
Hawa wanasiasa uchwara wa chadema ulijaribu kama kuwabembeleza hivi mwanzoni, lilikuwa kosa kubwa sana kwako.
Hawa watu hawajahi kuwa na shukrani kwa mamlaka na siku zote huwa hawaheshimu mamlaka.
Hivyo nakuomba endelea kuwapiga pin hivihivi mpaka maji waite mma, usije kuwapa nafasi tena ya kufanya huu ujinga unaitwa katiba mpya.
Peleka vikosi vya polisi popote wanapokusanyika, Yani iwe bampa to bampa.
Hayo matakataka yote yanatokana na ubovu wa katiba hii iliyopo.Kwani mambo hayo si aliondoka nayo magu?
Sasa hivi mama anaupiga mwingi, anawakomesha mataga, sukuma gang na kufuta legacy
Nchi hii watanzania wanaweza kujipigania bila wanasiasa wenye agenda zao, mbona tozo kila raia alipaza sauti na ikasikika Hadi Rais akasema lizungumuzwe, Pia unapo deal na watu wenye power you have to be smart na kuja na long strategy Sasa hii agenda ya katiba Raia wengi hawaijali maana haiwagusi direct na hamna elimu ya kutosha, pia kuanza kutumia nguvu bila kutii mbona imeanza awamu hii tu wakati wa jiwe watu waliufyata mikia
Huna jipya.Mkutano wa ndani au mkutano wa hadhara unaofanyika ndani? Spana tuu nyie washenzi
Nani amebomoa uchumi wa Kati?CHADEMA wanamdharau sana Rais SSH kwa kuwa ni mpole, wanataka afuate matakwa yao. Hapana akifanya hivyo atakuwa siyo Rais wa Tanzania. Freeman Mbowe yeye mwenyewe hachezewi hivi akiwa Mwenyekiti wa CHADEMA.
Tumemuona alivyolinda kiti chake cha UENYEKITI mpaka kwa kumwaga damu. Kwa nini wasimsikilize Rais SSH aliposema Katiba isubiri kwanza ajenge uchumi?
Mbona waliufyata kwa Mwendazake ambaye alikuwa katili kupitiliza? Wananchi watawachoka kwa kuwa chama cha harakati na matukio. Kajipangeni namna ya ku-deal na Rais SSH. Wananchi wanamkubali anavyochukua hatua kupanga uchumi.
Na Katiba hajakataa, kasema nipeni muda.
Lakini akina Mbowe wanataka wamuendeshe kama gari bovu? HAPANA huyu ni Rais wetu wote na anayoyafanya tunayaona
Hata yule aliepo ubelgini na Canada ,wale si wanalishwa?mbowe si anachangiwa na wanachadema ?sidhani kama hawa wana maisha magumu na ndio maana maisha yao yote ni kupinga pinga tu chochote hata kama hakina mantiki ,juzi nilimsikia huyu mpuuzi wenu akisema eti watanzania walazimishwe chanjo ya CoronaMaisha magumu yapo kwa wote
Hapo ndipo unapoweka wazi ujinga wako na Mwenyekiti wenu yaani mawazo yenu ya kijinga ya kuwa katiba mpya yatawaweka Chadema Madarakani...hivi asingekufa Mwendazake Mama yenu angekuwa wapi?Katiba mpya ya kuwezesha chadema kushika madaraka ndio itaniletea pesa?
Kabisa maana walianza NAMUONYA RAIS, mara lissu anamchimba biti mara wanaanza kupanga maandamanoMama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako.
Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge.
Mama katika nchi hizi za Africa haiwezi kuja kutokea Maendeleo kwa kubembelezana na kuvumilia wanasiasa uchwara. Gia uliyoingiza sasa nenda nayo hiyohiyo nakuhakikishia utafika salama pale unapotaka kwenda.
Hawa wanasiasa uchwara wa chadema ulijaribu kama kuwabembeleza hivi mwanzoni, lilikuwa kosa kubwa sana kwako.
Hawa watu hawajahi kuwa na shukrani kwa mamlaka na siku zote huwa hawaheshimu mamlaka.
Hivyo nakuomba endelea kuwapiga pin hivihivi mpaka maji waite mma, usije kuwapa nafasi tena ya kufanya huu ujinga unaitwa katiba mpya.
Peleka vikosi vya polisi popote wanapokusanyika, Yani iwe bampa to bampa.
HV kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM katiba mpya ipo? Ndio utajua kuwa mnachezeshwa makida makida tuuChadema wanapodai katiba mpya ni kwaajili yako na wajukuu zako, unapoongea tumia akili
Hapa anaupiga mwingi kweli, mie mtu akiwa imara na kukataa kupelekeahwa namkubali.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaupiga mwingi
Katiba ya wapi hii hii ya Tanzania au mnachezeshwa shere tuu.Uchaguzi 2025 utaendeshwa na katiba hii.Ccm hakuna wakuwabembeleza, pia twende Sina mna polis , tuone Kama sonoma itawaacha salama, mmelikoroga mtalinywa, hakuna wa kuwabembeleza ,katiba mtaandika na inakuja hakuna wa kuzuia, na mwachieni Mbowe na wengine ,ni lazima na sio ombi,
Hii kitu kinachoitwa Uhuru wa kujieleza wabongo, hasa uliowataja, hawajui kuutumia. Matusi, kejeli, nk ni kawaida yao. Mama, fuata Magu's Model.Mama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako.
Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge.
Mama katika nchi hizi za Africa haiwezi kuja kutokea Maendeleo kwa kubembelezana na kuvumilia wanasiasa uchwara. Gia uliyoingiza sasa nenda nayo hiyohiyo nakuhakikishia utafika salama pale unapotaka kwenda.
Hawa wanasiasa uchwara wa chadema ulijaribu kama kuwabembeleza hivi mwanzoni, lilikuwa kosa kubwa sana kwako.
Hawa watu hawajahi kuwa na shukrani kwa mamlaka na siku zote huwa hawaheshimu mamlaka.
Hivyo nakuomba endelea kuwapiga pin hivihivi mpaka maji waite mma, usije kuwapa nafasi tena ya kufanya huu ujinga unaitwa katiba mpya.
Peleka vikosi vya polisi popote wanapokusanyika, Yani iwe bampa to bampa.
Mbona inakuja, ilo Halina ubishi ,utabisha tu KWA macho ya kibinadamKatiba ya wapi hii hii ya Tanzania au mnachezeshwa shere tuu.Uchaguzi 2025 utaendeshwa na katiba hii.
Number 4 was good politician and a bad president,Number 5 was the opposite of number 4Mkuu
Nadhani unafeli
Hii violence unayofanyia legal opposition ukabaki salama
Magufuli hakubaki salama....na mnataka akopi huko...Tunarudi North Korea
Tukirudi North Korea,mama hana maisha marefu
Hapo ni Mwanza tu,likitoka mwanza litaenda Arusha,likitoka Arusha litaenda pengine,kila mkoa utakua unashika watu 1,000 mikoa 25 utashika watu 25,000,una jela hiyo wewe maiti?
Na as kamata inavyozidi kwenda na mikutano inakua mingi,hii sio solution endelevu
Fanya hivi,ita bunge vyama vya upinzani viwe outlawed
Then ua viongozi wote,then uone whats next!
Tumieni ubongo zenu,au muombeni Kikwete formula....
Soon Lissu anakuja,mabalozi wote wataanza kutoa matamko sasa hivi,then sijui utakua unakaaje huko Ikulu?
Kumbuka 50% ya Tanzania wanapenda opposition......Narudia tena 50%....umize vichwa acheni majibu mafupi ya kipumbavu
Katiba tunaitaka,whether you like it or not!
Mkuu Hebu pata siku ukiwa free upitie comments za page BBC swahili kule FB!!Mkuu
Nadhani unafeli
Hii violence unayofanyia legal opposition ukabaki salama
Magufuli hakubaki salama....na mnataka akopi huko...Tunarudi North Korea
Tukirudi North Korea,mama hana maisha marefu
Hapo ni Mwanza tu,likitoka mwanza litaenda Arusha,likitoka Arusha litaenda pengine,kila mkoa utakua unashika watu 1,000 mikoa 25 utashika watu 25,000,una jela hiyo wewe maiti?
Na as kamata inavyozidi kwenda na mikutano inakua mingi,hii sio solution endelevu
Fanya hivi,ita bunge vyama vya upinzani viwe outlawed
Then ua viongozi wote,then uone whats next!
Tumieni ubongo zenu,au muombeni Kikwete formula....
Soon Lissu anakuja,mabalozi wote wataanza kutoa matamko sasa hivi,then sijui utakua unakaaje huko Ikulu?
Kumbuka 50% ya Tanzania wanapenda opposition......Narudia tena 50%....umize vichwa acheni majibu mafupi ya kipumbavu
Katiba tunaitaka,whether you like it or not!
Hatuwezi kukubali hawa vichaa wachache wa Chadema watuletee matatizo. Mama kazi iendeleeMama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako.
Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge.
Mama katika nchi hizi za Africa haiwezi kuja kutokea Maendeleo kwa kubembelezana na kuvumilia wanasiasa uchwara. Gia uliyoingiza sasa nenda nayo hiyohiyo nakuhakikishia utafika salama pale unapotaka kwenda.
Hawa wanasiasa uchwara wa chadema ulijaribu kama kuwabembeleza hivi mwanzoni, lilikuwa kosa kubwa sana kwako.
Hawa watu hawajahi kuwa na shukrani kwa mamlaka na siku zote huwa hawaheshimu mamlaka.
Hivyo nakuomba endelea kuwapiga pin hivihivi mpaka maji waite mma, usije kuwapa nafasi tena ya kufanya huu ujinga unaitwa katiba mpya.
Peleka vikosi vya polisi popote wanapokusanyika, Yani iwe bampa to bampa.