Rais Samia shikilia hapohapo, usirudi nyuma. CHADEMA hawahitaji kubembelezwa

Bi mkubwa kaamua
Mwenyekiti alikofichwa huko akitoka tutasikia
 
Utamponza huyu mama. Dunia imebadilika watu hawaendi vitani na magobore. Think twice
 
Tukiacha polisi kulinda CCM huyo SSH ataachia mwenyewe
 
Naona Bado hamtaki kujifunza kilichomtokea Magufuli...ghadhabu ya Mungu juu yenu bado inawaka subirini tu
 
Wanafanya mambo ya kipuuzi halafu wanataka kuchekewa na kuitwa ikulu ili wakale sambusa za nyama na juice pamoja na chai wakitoka huko waseme Rais ni dhaifu!.
 
Naona Bado hamtaki kujifunza kilichomtokea Magufuli...ghadhabu ya Mungu juu yenu bado inawaka subirini tu
Magufuli aliishi na kifaa ndani ya moyo kwa zaidi ya miaka kumi, siku yake ilifika.

Kuwshughulikia wanaojifanya vichwa ngumu hakuna uhusiano na kifo cha mtu huwezi kufanya ujinga ukategemea kutisha watu kwa tiketi ya laana ya Mungu, hakuna dhana kama hiyo.
 
Hapa anaupiga mwingi kweli, mie mtu akiwa imara na kukataa kupelekeahwa namkubali.
Mama hapa kawakabia juu, hamna kuchomoka
Wanafanya mambo ya kipumbavu halafu wanakuja na vitisho vya kifo. Nani kaumbiwa kuishi milele juu ya dunia hii?.

Wanakufa mapapa wa Vatican sembuse marais wa nchi hizi za afrika!.

Mama awapelekee spana mwanzo mwisho.
 

Utter Non Sense.
 
Ukatili.
 
Wanafanya mambo ya kipumbavu halafu wanakuja na vitisho vya kifo. Nani kaumbiwa kuishi milele juu ya dunia hii?.

Wanakufa mapapa wa Vatican sembuse marais wa nchi hizi za afrika!.

Mama awapelekee spana mwanzo mwisho.
Ukatili imekuwa sera yenu. Mungu atashughulika nanyi!
 
Kugoma kwa wananchi kuingia mitaani kumtafuta mbowe ni jibu Tosha kwa chadema kuwa wamebugi step
 
Kugoma kwa wananchi kuingia mitaani kumtafuta mbowe ni jibu Tosha kwa chadema kuwa wamebugi step
Awawezi maana alishaleta tabaka la kikabila kuwasema kanda ya ziwa na Mbowe ashukuru awajamsulubu wananchi wa kanda ya ziwa.
 
Punguzeni drama watu wafanye kazi ya kukuza uchumi ulioyumba baada ya corona kuitikisa dunia.
Wewe unaona drama watu kujadili katiba. Serious?
Mnaua spirit ya mijadala na confidence ya Vijana.
Hujui kama ni kujenga uelewa wa Elimu ya kiraia?
Mbona CCM mnapenda kufanya watu waendelee kuwa wajinga?
Mjue tu Mungu hana upendeleo!
 
Safi kabisa,mtu wa kawaida kijijini hahitaji katiba mpya,anahitaji maendeleo. Mambo ya katiba mpya ni mkakati mchafu wa mabeberu wa kuyumbisha nchi zetu na hivyo kutawala kirahisi na kuweza kuleta vurugu na vita vya wenyewe kwa wenyewe at a time of their choosing.Ni kweli wapigwe pini tu hawa hatuwahitaji.
 
Wewe unaona drama watu kujadili katiba. Serious?
Mnaua spirit ya mijadala na confidence ya Vijana.
Hujui kama ni kujenga uelewa wa Elimu ya kiraia?
Mbona CCM mnapenda kufanya watu waendelee kuwa wajinga?
Mjue tu Mungu hana upendeleo!
Mmeambiwa na rais tulieni kwanza tuna hali sio nzuri kiuchumi, suala la katiba mpya linahitaji pesa, je mnazo kwa sasa?.

Mkijifanya vichwa ngumu mtapigwa na makarai vichwani, tulizeni mizuka hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…