Pre GE2025 Rais Samia: Sijawahi kuua mtu labda sisimizi, jibuni hoja zao msikae kimya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Iling'ara kipindi cha Magufuli, mtu ambae aliuunga mkono mauwaji nakuzima maandamano ya Ukuta kipindi cha Magufuli, hana uhalali wakukemea anayofanya Samia. Maana niyaleyale hasa katika ukandamizaji.
 

Your browser is not able to display this video.
 
Ni muuaji full stop.
Mama Samia kauwa njia za mkato za bandarini, lazima nyoyo ziwaume na vijiba vya rohi viwakabe.

.Siku hizi siwaoni hata wale vijana mnaowaleta kutoma bara huko,bwaliojazana eti wanouza kwa "polomosheni".

Imeuliwa?
 
ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.
😂😂
 
Mama Samia kauwa njia za mkato za bandarini, lazima nyoyo ziwaume na vijiba vya rohi viwakabe.

.Siku hizi siwaoni hata wale vijana mnaowaleta kutoma bara huko,bwaliojazana eti wanouza kwa "polomosheni".

Imeuliwa?
Tulia wewe nyie wote ni wauaji
 
Mafwele pambania ugali baba🐍
 
Kuwa rais wa JMT ndio kunamfanya asiwe muuaji? Ni muuaji fullstop.

Wazanzibari wanadharau sana Watanganyika wanapokuja kujichotea mapesa ya kodi za Watanganyika na kujilimbikizia mali kupitia madaraka.

Matajiri wakubwa wa nchi hii wanamkono wa Wazanzibar waliotutawala ndio maana analeta dharau eti nchi iligubikwa na giza sasa yeye ndio ameleta mwanga .
 
Mh rais anawateua watu ambao wala hata hawana habari ya kumsaidia zaidi ya kujiimarisha wao wenyewe na kula kwa urefu wa kamba bila kufanya kazi, mwisho wa siku mama anajikuta yupo peke yake anapambana
 
Pole sana Rais wangu.
Ulianza vizuri lakini mistake kubwa ni kufikiri Urais ni mtu tu, hapana, Urais ni Taasisi.
Taasisi hii inaongozwa na Rais.
Hii Taasisi imeyumba na vyombo vinafanya kama vitakavyo.
Lawama ni kwenye Taasisi, na Rais asipopata ushauri unaofaa basi Taasisi ya Urais haiko vizuri na Rais anadhalilija.
Mwisho Rais inabidi aisuke Taasisi yake vizuri maana lawama zote zinaishia kwake.
 
Huku kwetu kuna Mama aliwekewa kikao na wanakijiji wakimtuhumu kuwa ni mchawi
Alibisha katakata na solution ulikuwa ni kumuita mtaalamu(mganga)
Ndiye aliyethibitisha kwamba ni mchawi mkweli

Tuwaite investigators tuache longo longo mama kama upo safi hofu yako nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…