We jamaa 😂😂😂Haya mambo yanaenda kitaalamu zaidi, mishahara sio kama mnada wa masufuria unatangazwa hadharani.
Uswazi tu ukienda umenunua nyama au samaki hujaweka kwenye mfuko usioonyesha ndani, unaweza kurogwa, sembuse mshahara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa 😂😂😂Haya mambo yanaenda kitaalamu zaidi, mishahara sio kama mnada wa masufuria unatangazwa hadharani.
Uswazi tu ukienda umenunua nyama au samaki hujaweka kwenye mfuko usioonyesha ndani, unaweza kurogwa, sembuse mshahara
Na kodi"ASITUONGEZEE MISHAHARA, ATUSHUSHIE BEI YA VYAKULA"
Mishahara ya wafanyakazi itapandishwa kwa kimya kimya Ili kuepuka Upandaji wa bei za bidhaa endapo itatangazwa hadharani
Rais Samia amesema Mambo ni Moto mambo ni fire!
Source ITV
Sipo huko mkuuWewe hufanyi kazi Mkuu?
Unawezaje kujiondoa kwenye kundi la wafanyakazi ikiwa wewe ni mtu mzima?
Ungejua tu🤣🤣🤣🤣Utakuwa kula kulala wewe.
Amna au Amina!?Amna kitu apo porojo tupu.
Porojo, kitu ambacho alipaswa kuwasaidia ni kutoa tozo kwenye miamala ya ATM. Unaongeza sh 8000 , alafu unaweka tozo kwenye ATM kila muamala unapofanyika. Hapo unakua umemsaidia nini huyo mfanyakazi?Namuamini Rais Samia , ni mtu wa kimya kimya lakini kazi inafanyika.
unatumia vibaya Imani yakoNamuamini Rais Samia , ni mtu wa kimya kimya lakini kazi inafanyika.
Mm n familia yangu tumekubaliana na comments yako kwa 100%.Namuamini Rais Samia , ni mtu wa kimya kimya lakini kazi inafanyika.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]wanafanyaga kusudiiiUliechagua na kutengeneza tshirt za cwt...Mungu anakuona!!!
Hakuna Lolote Bora Mzilankende Alikuwa Hapandishi Na Wafanyabiashara WanatulizwaVipi Leo anakuja na package au wasubiri kwanza
Kumbe kuna watu wanaweza kupandisha tu bei za bidhaa bila sababu ya msingi...??? FCC wanakuwa wapi muda huo?Sijui, ila nawaza hawa ambao tukiongeza mishahara tu nao wanapandisha bidhaa bei [emoji848]
Jioni wakitoa barua zao zile kuwa wameongeza % kadhaa,najua utakuja kupongeza "wanaupiga mwingi"...watanzania shida kweliHaya mambo yanaenda kitaalamu zaidi, mishahara sio kama mnada wa masufuria unatangazwa hadharani.
Uswazi tu ukienda umenunua nyama au samaki hujaweka kwenye mfuko usioonyesha ndani, unaweza kurogwa, sembuse mshahara