Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Wafanyabiashara wanajielewa Mama.Amekunogeshaeh! Ngoja waweke dole kwenye karatasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafanyabiashara wanajielewa Mama.Amekunogeshaeh! Ngoja waweke dole kwenye karatasi
Masopa naasikio yako...Kwa kweli Mama Samia anatoa moyo katika kuendeleza ushirikiano na nchi jirani.
Hakika huyu ni BIG MAMA.Mama Samia is on a Diplomatic Charm Offensive from the word GO.
Watanzania kwa kwei tumefurahu, sasa tunaongea na wenzetu majirani na dunia nzima kwa wavelength moja inayoeleweka.
Kuwa na uhusiano mzuri na jirani yako si tu jambo la msingi bali vile vile ni hesabu nzuri kibiashara.
Kuna watu wanlaumu kila step ya Mama , lakini hao tuwasamehe kwani hawajui potential ya urafiki, inavyoweza kuibua biashara ambazo hata wao hawakutazamia.
Go, Samia! GO!
Kenya?!!waambie marafiki zetu watuletee ushahidi..
Bunge la Tanzania linavutia kwa Spika na Naibu Wao kukiuka Katiba Kuwaonea Wapinzani kudhurumu Haki zaoRais Samia amemshukuru Spika wa bunge la Kenya kwa kumpa heshima ya kuhutubia mabunge mawili ya nchi hiyo kwa pamoja.
Rais Samia amesema yeye ni Rais wa pili kutoka Tanzania kupewa heshima ya kuhutubia bunge hilo linaloheshimika duniani akiwa ametanguliwa na mstaafu Jakaya Kikwete.
Rais Samia amesema bunge la Kenya linavutia kwa upana wa demokrasia yake.
Kazi Iendelee!
dunga atakua kanuna hukoRais Samia amemshukuru Spika wa bunge la Kenya kwa kumpa heshima ya kuhutubia mabunge mawili ya nchi hiyo kwa pamoja.
Rais Samia amesema yeye ni Rais wa pili kutoka Tanzania kupewa heshima ya kuhutubia bunge hilo linaloheshimika duniani akiwa ametanguliwa na mstaafu Jakaya Kikwete.
Rais Samia amesema bunge la Kenya linavutia kwa upana wa demokrasia yake.
Kazi Iendelee!
Yuko vizuri.Ukweli Mungu ametupa
Rais ambaye muda wote anaiweka nchi mbele katika matamshi yake. Hasemi Mimi anasema Tanzania. Hotuba yake Bungeni Kenya imefunika. Very composed President. Hakuna mbwembwe na kujimwambafai. Mungu mlinde Rais wetu Samia. Mpe miaka mingi. Mpe afya na muondolee Maradhi na maadui. Tunakuombea mama yetu.
Yaani mtu akipata cheo anafikiri yeye anajua kuliko wote na mamlaka ni yake tuAu lile nundu kichwani laweza kupasuka lenyewe!
Ndugai ukimwangalia hadi unasikia hasira jinsi anavyo lifedhehesha bunge letu.
Mfano hai ni mwanamke kumsifu bwana wa jirani....Hii ya Mwanaume kumsifia mke wa jirani maana yake nini?
Yaani huyu mke anakalibia kuachwa.
Bunge la Ndugai na magufuli marehemu halina tofauti na lile la SomaliaRais Samia amemshukuru Spika wa bunge la Kenya kwa kumpa heshima ya kuhutubia mabunge mawili ya nchi hiyo kwa pamoja.
Rais Samia amesema yeye ni Rais wa pili kutoka Tanzania kupewa heshima ya kuhutubia bunge hilo linaloheshimika duniani akiwa ametanguliwa na mstaafu Jakaya Kikwete.
Rais Samia amesema bunge la Kenya linavutia kwa upana wa demokrasia yake.
Kazi Iendelee!
Hebu nikuulize jambo, baada ya sifa kemkem hizi:Ukweli Mungu ametupa
Rais ambaye muda wote anaiweka nchi mbele katika matamshi yake. Hasemi Mimi anasema Tanzania. Hotuba yake Bungeni Kenya imefunika. Very composed President. Hakuna mbwembwe na kujimwambafai. Mungu mlinde Rais wetu Samia. Mpe miaka mingi. Mpe afya na muondolee Maradhi na maadui. Tunakuombea mama yetu.
Kwani job ndugai yeye anasemaje kuhusu hiyo democrasia bungeni?Rais Samia amemshukuru Spika wa bunge la Kenya kwa kumpa heshima ya kuhutubia mabunge mawili ya nchi hiyo kwa pamoja.
Rais Samia amesema yeye ni Rais wa pili kutoka Tanzania kupewa heshima ya kuhutubia bunge hilo linaloheshimika duniani akiwa ametanguliwa na mstaafu Jakaya Kikwete.
Rais Samia amesema bunge la Kenya linavutia kwa upana wa demokrasia yake.
Kazi Iendelee!
Kipindi hicho kukiongea ukweli unabambikiwa kusi ya uhujumu uchumi.Masopa naasikio yako...
Sikusikia kipindi yote 2015 - 2021
Weya weya yuuu?
Ndio nyie mlio na laana.Hana jipya zaidi ya kujipendekeza huko, yuko katika fast track ya kuuza na kuruhusu kila ujinga nchini...
Duuuuuu walevi wa bia au mbege! Walevi na waheshimiwe na watu woteBunge la Tanzania, chini ya Ndugai, ni aheri ya kikao cha walevi.