Rais Samia Suluhu ahutubia Mabunge ya Kenya: Biashara kushamiri, Vikwazo Mipakani kutatuliwa, Udugu kudumishwa

Rais Samia Suluhu ahutubia Mabunge ya Kenya: Biashara kushamiri, Vikwazo Mipakani kutatuliwa, Udugu kudumishwa

Mama Samia is on a Diplomatic Charm Offensive from the word GO.

Watanzania kwa kwei tumefurahu, sasa tunaongea na wenzetu majirani na dunia nzima kwa wavelength moja inayoeleweka.

Kuwa na uhusiano mzuri na jirani yako si tu jambo la msingi bali vile vile ni hesabu nzuri kibiashara.

Kuna watu wanlaumu kila step ya Mama , lakini hao tuwasamehe kwani hawajui potential ya urafiki, inavyoweza kuibua biashara ambazo hata wao hawakutazamia.

Go, Samia! GO!
Hakika huyu ni BIG MAMA.

Nimesikiliza hotuba ya Mama SSH mwanzo mwisho...huyu mama amemfunika Hayati Jiwe kwa mbali sana kwene maswala ya KIDPLOMASIA. Mama Samia ameonesha hekima, busara na maarifa ya hali ya juu kwenye ku-SULUHU-isha migogoro!

Mimi amenimaliza aliposema Kenya wana UHURU(Rais) na Tanzania tuna SULUHU(Rais)!

Maana yake ni kwamba Kenya wana Uhuru wa kufanya Biashara na Tanzania wana Suluhu ya kumaliza Matatizo/Migogoro ya Kibiashara inapojitokeza!! Kongole sana mama yetu. Uko juu sana.
 
Rais Samia amemshukuru Spika wa bunge la Kenya kwa kumpa heshima ya kuhutubia mabunge mawili ya nchi hiyo kwa pamoja.

Rais Samia amesema yeye ni Rais wa pili kutoka Tanzania kupewa heshima ya kuhutubia bunge hilo linaloheshimika duniani akiwa ametanguliwa na mstaafu Jakaya Kikwete.

Rais Samia amesema bunge la Kenya linavutia kwa upana wa demokrasia yake.

Kazi Iendelee!
Bunge la Tanzania linavutia kwa Spika na Naibu Wao kukiuka Katiba Kuwaonea Wapinzani kudhurumu Haki zao
 
Rais Samia amemshukuru Spika wa bunge la Kenya kwa kumpa heshima ya kuhutubia mabunge mawili ya nchi hiyo kwa pamoja.

Rais Samia amesema yeye ni Rais wa pili kutoka Tanzania kupewa heshima ya kuhutubia bunge hilo linaloheshimika duniani akiwa ametanguliwa na mstaafu Jakaya Kikwete.

Rais Samia amesema bunge la Kenya linavutia kwa upana wa demokrasia yake.

Kazi Iendelee!
dunga atakua kanuna huko
 
Ukweli Mungu ametupa

Rais ambaye muda wote anaiweka nchi mbele katika matamshi yake. Hasemi Mimi anasema Tanzania. Hotuba yake Bungeni Kenya imefunika. Very composed President. Hakuna mbwembwe na kujimwambafai. Mungu mlinde Rais wetu Samia. Mpe miaka mingi. Mpe afya na muondolee Maradhi na maadui. Tunakuombea mama yetu.
Yuko vizuri.
 
Rais Samia amemshukuru Spika wa bunge la Kenya kwa kumpa heshima ya kuhutubia mabunge mawili ya nchi hiyo kwa pamoja.

Rais Samia amesema yeye ni Rais wa pili kutoka Tanzania kupewa heshima ya kuhutubia bunge hilo linaloheshimika duniani akiwa ametanguliwa na mstaafu Jakaya Kikwete.

Rais Samia amesema bunge la Kenya linavutia kwa upana wa demokrasia yake.

Kazi Iendelee!
Bunge la Ndugai na magufuli marehemu halina tofauti na lile la Somalia
 
Ukweli Mungu ametupa

Rais ambaye muda wote anaiweka nchi mbele katika matamshi yake. Hasemi Mimi anasema Tanzania. Hotuba yake Bungeni Kenya imefunika. Very composed President. Hakuna mbwembwe na kujimwambafai. Mungu mlinde Rais wetu Samia. Mpe miaka mingi. Mpe afya na muondolee Maradhi na maadui. Tunakuombea mama yetu.
Hebu nikuulize jambo, baada ya sifa kemkem hizi:

Hujasahau kitu (jambo) hapo, au ni siri ya baadae, hapo unaposema "Mungu ampe miaka mingi...", ili atawale 10, au mitano zaidi?
 
Rais Samia amemshukuru Spika wa bunge la Kenya kwa kumpa heshima ya kuhutubia mabunge mawili ya nchi hiyo kwa pamoja.

Rais Samia amesema yeye ni Rais wa pili kutoka Tanzania kupewa heshima ya kuhutubia bunge hilo linaloheshimika duniani akiwa ametanguliwa na mstaafu Jakaya Kikwete.

Rais Samia amesema bunge la Kenya linavutia kwa upana wa demokrasia yake.

Kazi Iendelee!
Kwani job ndugai yeye anasemaje kuhusu hiyo democrasia bungeni?
 
Huo urafiki na ujirani wa Kenya umeanza jana? Ama hizo fursa za Urafiki na ujirani na Kenya zimetokea jana mama Samia alipoenda Kenya?

Ndio maana hii nchi haiwezi kupata maendeleo watanzania wanaendeshwa na mihemko. Wanachemka haraka kama maziwa nakupoa haraka.

Hata Magufuli alipoanza miezi 6 ya kwanza ilikua hivi hivi, leo hii huyu mama mnampa sifa za kijinga hata miezi 2 hajamaliza ofisini.

Muda ni mwalimu mzuri, ngoja tusubiri mnaoimba mapambio na kutoa sifa za kijinga tunawapa muda tu.

Yaani mtu anaongea kama vile sisi na Kenya ujirani umeanza jana.
 
Back
Top Bottom