Rais Samia Suluhu akiendelea kumkumbatia Majaliwa na Baraza lake Serikali yake haitofanikiwa, Hawana jipya

Rais Samia Suluhu akiendelea kumkumbatia Majaliwa na Baraza lake Serikali yake haitofanikiwa, Hawana jipya

Kila Rais huwa na Vision yake na ambitions zake, vision ya hayati Magufuli ilikuwa Tanzania ya viwanda ambayo ilishindwa chini ya uongozi wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, sijajua vision ya rais mpya Mama Samia kuwa ni ile ile ya Tanzania ya viwanda au atakuja na nyingine au hana vision kabisa.

Mwelekeo wa uongozi wa Serikali ya mama Samia haujawa na sauti moja means mwelekeo mmoja, nafikiri hili linatokana na labda na mama Samia kutoonyesha msimamo wake, jana Waziri mkuu kaja na vipaumbele 6, kimojawapo ni ‘Hakuna kurudi nyuma’ means wanaendeleza ya mtangulizi kana kwamba Rais aliyepo hana vipaumbele vyake, huku Spika akisema hayati Magufuli alikuwa akishauriwa vibaya means tubadilike.

Mimi naona kama kuna mkakati wa makusudi wa kumkwamisha Rais Samia au kumlazimisha afate vision ya mtangulizi wake. Pamoja na kwamba alisema atayaenzi ya mtangulizi wake haina maana yeye hajui anataka Tanzania ya aina gani.

Mkapa alipoingia madarakani alisema atayaenzi ya muasisi wa Taifa Mwalimu Nyerere ‘yale mazuri’ lkn alikuja kubinafsisha mashirika ya umma kinyume na mwasisi wake tena Mwalimu angali akiwa hai.

Bila ya Rais Samia kuja na serikali yake iliyobeba maono yake itamuwia ngumu kuipeleka Tanzania aipendayo, kwa sababu baraza zima bado ni lilelile, linataka kuendeleza yaleyale maana yake ‘halina jipya’, Waziri mkuu bado ni yule yule aliye na vision ya Tanzania ya viwanda iliyoshindwa. Tutegemee miujiza.
Wewe ni mpinzani, ni watu ambao mngependa CCM ianguke ili 2025 iwe rahisi kwenu. Nakuapia Samia akiendelea kumpinga JPM ujue CCM ndiyo mwisho wake. Afadhali tangu jana Bungeni wametoka usingizini. Piga ua JPM ni wa pili kwa taifa hili wakwanza akiwa Mwalimu. JPM ni kete ya kisiasa. Ingawa ulivyo mpuuzi utapinga
 
Ww piga tu domo, hii nchi ni kubwa, ni mjinga tu ndio anaweza kuamini kwamba mama alikuwa na upepo kumzidi JPM, kama angepanga foleni ile 2015, angejiona nafasi yake, by the way mkae mtulie, huyo ni rais wetu wa kurithi anatutunzia nyumba kwa ajali iliyo tupata, 2025 tutafikiri upya... Akifanya vizuri nafasi anayo, akiboronga ndio mtaona rangi ya CCM 2025, atapigwa chenga ya mwili hata kwa chadema yenu mtu atapewa urais. Tunza sana maneno yangu
Poleni sana,
Nyie si ndio waimba mapambio mliokuwa mmejipangia na kuweka matumaini yenu kwa Jiwe kutawala milele.
Mmeshaanza kujenga mnara wa Babeli tena? Mungu aliyeiokoa Tanzania yu hai.
 
Nyie tulieni PM awanyoe vipara, mlidhani kuwa JPM kafa basi enzi za business as usual zimerudi, hapana, Majaliwa ni kiongozi bora sana kamwe hawezi kutolewa hapo alipo mtaumia bure

Go PM.
 
Kwani Rais Samia si anatokana na Baraza la Hayati Magufuli na walitengeneza na kuinadi Ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 sasa mnataka vision gani tena chochote kinachofanyika kiko kwenye blueprint msimfitinishe Rais na chama chake na wananchi kwa maana ya muendelezo wa miradi na falsafa waliyoipigania yeye na marehemu.

Ile miradi ilikuwa ni kwa mitazamo ya Magufuli, na Rais huyu anaweza kufanya atakavyo.
 
Kila Rais huwa na Vision yake na ambitions zake, vision ya hayati Magufuli ilikuwa Tanzania ya viwanda ambayo ilishindwa chini ya uongozi wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, sijajua vision ya rais mpya Mama Samia kuwa ni ile ile ya Tanzania ya viwanda au atakuja na nyingine au hana vision kabisa.

Mwelekeo wa uongozi wa Serikali ya mama Samia haujawa na sauti moja means mwelekeo mmoja, nafikiri hili linatokana na labda na mama Samia kutoonyesha msimamo wake, jana Waziri mkuu kaja na vipaumbele 6, kimojawapo ni ‘Hakuna kurudi nyuma’ means wanaendeleza ya mtangulizi kana kwamba Rais aliyepo hana vipaumbele vyake, huku Spika akisema hayati Magufuli alikuwa akishauriwa vibaya means tubadilike.

Mimi naona kama kuna mkakati wa makusudi wa kumkwamisha Rais Samia au kumlazimisha afate vision ya mtangulizi wake. Pamoja na kwamba alisema atayaenzi ya mtangulizi wake haina maana yeye hajui anataka Tanzania ya aina gani.

Mkapa alipoingia madarakani alisema atayaenzi ya muasisi wa Taifa Mwalimu Nyerere ‘yale mazuri’ lkn alikuja kubinafsisha mashirika ya umma kinyume na mwasisi wake tena Mwalimu angali akiwa hai.

Bila ya Rais Samia kuja na serikali yake iliyobeba maono yake itamuwia ngumu kuipeleka Tanzania aipendayo, kwa sababu baraza zima bado ni lilelile, linataka kuendeleza yaleyale maana yake ‘halina jipya’, Waziri mkuu bado ni yule yule aliye na vision ya Tanzania ya viwanda iliyoshindwa. Tutegemee miujiza.

Huo mkakati wa kumkwamisha ukoje? Si uweke hapa? Mnapata nini kuona watu wanafukuzwa kazi? madaraka?
Muacheni Rais aamue jinsi aonavyo inafaa. Haya mambo yenu ya kutafutiana kazi kwa lazima hayana nafasi kwenye zama hizi. walifanikiwa wachache enzi za mwalimu
 
Inaonekana kuna walafi wanautamani uwaziri mkuu, kama kawaida yetu wanasiasa wa kibongo kwa kutafuta vyeo ni hatari!
 
Kila Rais huwa na Vision yake na ambitions zake, vision ya hayati Magufuli ilikuwa Tanzania ya viwanda ambayo ilishindwa chini ya uongozi wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, sijajua vision ya rais mpya Mama Samia kuwa ni ile ile ya Tanzania ya viwanda au atakuja na nyingine au hana vision kabisa.

Mwelekeo wa uongozi wa Serikali ya mama Samia haujawa na sauti moja means mwelekeo mmoja, nafikiri hili linatokana na labda na mama Samia kutoonyesha msimamo wake, jana Waziri mkuu kaja na vipaumbele 6, kimojawapo ni ‘Hakuna kurudi nyuma’ means wanaendeleza ya mtangulizi kana kwamba Rais aliyepo hana vipaumbele vyake, huku Spika akisema hayati Magufuli alikuwa akishauriwa vibaya means tubadilike.

Mimi naona kama kuna mkakati wa makusudi wa kumkwamisha Rais Samia au kumlazimisha afate vision ya mtangulizi wake. Pamoja na kwamba alisema atayaenzi ya mtangulizi wake haina maana yeye hajui anataka Tanzania ya aina gani.

Mkapa alipoingia madarakani alisema atayaenzi ya muasisi wa Taifa Mwalimu Nyerere ‘yale mazuri’ lkn alikuja kubinafsisha mashirika ya umma kinyume na mwasisi wake tena Mwalimu angali akiwa hai.

Bila ya Rais Samia kuja na serikali yake iliyobeba maono yake itamuwia ngumu kuipeleka Tanzania aipendayo, kwa sababu baraza zima bado ni lilelile, linataka kuendeleza yaleyale maana yake ‘halina jipya’, Waziri mkuu bado ni yule yule aliye na vision ya Tanzania ya viwanda iliyoshindwa. Tutegemee miujiza.
Kipi kimekwama ambacho umekiona baraza hilo halijafanya?
Au ni ndoto za kichawi unaota?
 
Ni kweli maana akina Majaliwa wanaimba ndege na pambio za Magu yeye anaimba wimbo wa Tzn ya kuwajaza watu pesa wakati uchazi wa step ni tofauti kabisa.

Fukuza huyo pm weka wako mbona JL alimtimua EL na mambo yakaenda sawa tuu?

Pili shika uenyekiti wa chama ndio umtimue
 
Kila Rais huwa na Vision yake na ambitions zake, vision ya hayati Magufuli ilikuwa Tanzania ya viwanda ambayo ilishindwa chini ya uongozi wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, sijajua vision ya rais mpya Mama Samia kuwa ni ile ile ya Tanzania ya viwanda au atakuja na nyingine au hana vision kabisa.

Mwelekeo wa uongozi wa Serikali ya mama Samia haujawa na sauti moja means mwelekeo mmoja, nafikiri hili linatokana na labda na mama Samia kutoonyesha msimamo wake, jana Waziri mkuu kaja na vipaumbele 6, kimojawapo ni ‘Hakuna kurudi nyuma’ means wanaendeleza ya mtangulizi kana kwamba Rais aliyepo hana vipaumbele vyake, huku Spika akisema hayati Magufuli alikuwa akishauriwa vibaya means tubadilike.

Mimi naona kama kuna mkakati wa makusudi wa kumkwamisha Rais Samia au kumlazimisha afate vision ya mtangulizi wake. Pamoja na kwamba alisema atayaenzi ya mtangulizi wake haina maana yeye hajui anataka Tanzania ya aina gani.

Mkapa alipoingia madarakani alisema atayaenzi ya muasisi wa Taifa Mwalimu Nyerere ‘yale mazuri’ lkn alikuja kubinafsisha mashirika ya umma kinyume na mwasisi wake tena Mwalimu angali akiwa hai.

Bila ya Rais Samia kuja na serikali yake iliyobeba maono yake itamuwia ngumu kuipeleka Tanzania aipendayo, kwa sababu baraza zima bado ni lilelile, linataka kuendeleza yaleyale maana yake ‘halina jipya’, Waziri mkuu bado ni yule yule aliye na vision ya Tanzania ya viwanda iliyoshindwa. Tutegemee miujiza.
Kama "vision" ni nzuri na ina maslahi makubwa kwa Taifa, kwa nini isifuatwe? Lazima ifuatwe hakuna namna.

Rest in power JPM aka The Master of Infrastructures aka Mwamba wa Afrika.
 
Kila Rais huwa na Vision yake na ambitions zake, vision ya hayati Magufuli ilikuwa Tanzania ya viwanda ambayo ilishindwa chini ya uongozi wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, sijajua vision ya rais mpya Mama Samia kuwa ni ile ile ya Tanzania ya viwanda au atakuja na nyingine au hana vision kabisa.

Mwelekeo wa uongozi wa Serikali ya mama Samia haujawa na sauti moja means mwelekeo mmoja, nafikiri hili linatokana na labda na mama Samia kutoonyesha msimamo wake, jana Waziri mkuu kaja na vipaumbele 6, kimojawapo ni ‘Hakuna kurudi nyuma’ means wanaendeleza ya mtangulizi kana kwamba Rais aliyepo hana vipaumbele vyake, huku Spika akisema hayati Magufuli alikuwa akishauriwa vibaya means tubadilike.

Mimi naona kama kuna mkakati wa makusudi wa kumkwamisha Rais Samia au kumlazimisha afate vision ya mtangulizi wake. Pamoja na kwamba alisema atayaenzi ya mtangulizi wake haina maana yeye hajui anataka Tanzania ya aina gani.

Mkapa alipoingia madarakani alisema atayaenzi ya muasisi wa Taifa Mwalimu Nyerere ‘yale mazuri’ lkn alikuja kubinafsisha mashirika ya umma kinyume na mwasisi wake tena Mwalimu angali akiwa hai.

Bila ya Rais Samia kuja na serikali yake iliyobeba maono yake itamuwia ngumu kuipeleka Tanzania aipendayo, kwa sababu baraza zima bado ni lilelile, linataka kuendeleza yaleyale maana yake ‘halina jipya’, Waziri mkuu bado ni yule yule aliye na vision ya Tanzania ya viwanda iliyoshindwa. Tutegemee miujiza.
Ukisikia kiherehere ndio hichi, unasema magufui alifeli kwenye viwanda kivipi wakati alikuwa bado na miaka mitano mbele ofisini.

Unataka raisi Samia aje na maonoyake gani wakati tayari wana mipango iliyopangwa pamoja wakati wanaomba ridhaa ya kuongoza kwa wananchi??,

Maono tayari yapo kwenye kurasa za ilani walizokuwa wanatembea nazo kuomba kura.

Watanzania waliwaparidhaa ya kuongoza nchi kutokana na ahadi zao walizo toa, na nimiezi michache tu imepita tangu tumalize uchaguzi hatuja sahau walicho ahidi, sasa wewe sijui unataka abadilishe nini.
 
Najua kabisa ww una akili nyingi sana na unajaribu kuleta siasa za kilaghai kwani unajua Majaliwa anafuata mle mle yale aliyokuwa amepanga kuyafanya Hayati DKT MAGUFULI.Mwisho namshauri Mama yetu kipenzi cha Watanzania wanyonge hawa aendelee kufanya kazi na walewale kwani wamefanya kazi kubwa mpaka kufikia mahali tilipo.
Wale wale kina Bashiru?
 
Wewe ni mpinzani, ni watu ambao mgependa CCM ianguke ili 2025 iwe rahisi kwenu. Nakuapia Samia akiendelea kumpinga JPM ujue CCM ndiyo mwisho wake. Afadhali tangu jana Bungeni wametoka usingizini. Piga ua JPM ni wa pili kwa taifa hili wakwanza akiwa Mwalimu. JPM ni kete ya kisiasa. Ingawa ulivyo mpuuzi utapinga
Magufuli ameacha mbegu mbaya sana kwamba hakosolewi na nyie mmejazwa upuuzi huo, atapingwa tu mpende msipende.
 
Nyie tulieni PM awanyoe vipara,mlidhani kuwa JPM katika basi enzi za business as usual zimerudi,hapana ,Majaliwa ni kiongozi bora sana kamwe hawezi kutolewa hapo alipo mtaumia bure

Go PM.
Msifuni kama mlivyokuwa mnamjaza kichwa mwendazake, yetu macho.
 
Katiba ndioo inaikwamisha nchi, ingetakiwa kuwe na Brand New phase ya uongozi kwa kuitishwa uchaguzi mpya, ki ukweli mama samia ana uwanja mpya wa kufanya jipya la kumdifine kwenye miaka hii mimne iliyobaki.
 
Ukisikia kiherehere ndio hichi, unasema magufui alifeli kwenye viwanda kivipi wakati alikuwa bado na miaka mitano mbele ofisini.

Unataka raisi Samia aje na maonoyake gani wakati tayari wana mipango iliyopangwa pamoja wakati wanaomba ridhaa ya kuongoza kwa wananchi??,

Maono tayari yapo kwenye kurasa za ilani walizokuwa wanatembea nazo kuomba kura.

Watanzania waliwaparidhaa ya kuongoza nchi kutokana na ahadi zao walizo toa, na nimiezi michache tu imepita tangu tumalize uchaguzi hatuja sahau walicho ahidi, sasa wewe sijui unataka abadilishe nini.
Hivi karibuni kabla ya kifo chake ulimsikia akiimba Tanzania ya viwanda.
 
Back
Top Bottom